Makato ya Bima ya Afya NHIF ni Lazima, Kwanini Kuwalazimisha Wanachama Hospitali za Umma Zisizo na Dawa?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,798
71,218
Serikali inafanya wizi wa mchana kabisa, iweje sasa hivi Wanachama wa Bima ya Afya ya Taifa hawawezi kutibiwa tena hospitali binafsi maana wanakataliwa na taarifa haijatolewa bali wanatakiwa kwenda hospitali za serikali tuu na huko unakuta dawa nyingi hazipo inakubidi ukanunue nje?

Mbona hii serikali imekalia kujipa sifa tuu lakini chini ya kapeti ni AIBU YA KUSHINDWA mambo mengi hasa hii awamu ya sita?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Serikali inafanya wizi wa mchana kabisa, iweje sasa hivi Wanachama wa Bima ya Afya ya Taifa hawawezi kutibiwa tena hospitali binafsi maana wanakataliwa na taarifa haijatolewa bali wanatakiwa kwenda hospitali za serikali tuu na huko unakuta dawa nyingi hazipo inakubidi ukanunue nje?
Mbona hii serikali imekalia kujipa sifa tuu lakini chini ya kapeti ni AIBU YA KUSHINDWA mambo mengi hasa hii awamu ya sita?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe uko mkoa gani, mbona hapa Dar private tunaingia bila kikwazo?
 
Serikali inafanya wizi wa mchana kabisa, iweje sasa hivi Wanachama wa Bima ya Afya ya Taifa hawawezi kutibiwa tena hospitali binafsi maana wanakataliwa na taarifa haijatolewa bali wanatakiwa kwenda hospitali za serikali tuu na huko unakuta dawa nyingi hazipo inakubidi ukanunue nje?
Mbona hii serikali imekalia kujipa sifa tuu lakini chini ya kapeti ni AIBU YA KUSHINDWA mambo mengi hasa hii awamu ya sita?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Baada ya masaa machache nitalipua wahusika wote wa jambo hili na nitawataja wahusika wote ,bila huruma , Kama Mmbwai na iwe Mmbwai
 
Niliandika humu kwamba kimbembe cha Bima kitaanza January. Yako wapi?

Na bado kuhusu mtaala mpya kwa wanafunzi wanaoenda kujiunga kidato cha kwanza. Wazazi fuatilieni.

Unaweza kukuta ndoto za mwanao kuwa mhandisi, mtaalamu wa tehama, mwanasheria, n k zimeyeyushwa na mwalimu fulani huko shuleni.

Utakuta mwanao kawekwa mkondo wa kuoka mikate na kutengeneza kachori.
 
Serikali inafanya wizi wa mchana kabisa, iweje sasa hivi Wanachama wa Bima ya Afya ya Taifa hawawezi kutibiwa tena hospitali binafsi maana wanakataliwa na taarifa haijatolewa bali wanatakiwa kwenda hospitali za serikali tuu na huko unakuta dawa nyingi hazipo inakubidi ukanunue nje?
Mbona hii serikali imekalia kujipa sifa tuu lakini chini ya kapeti ni AIBU YA KUSHINDWA mambo mengi hasa hii awamu ya sita?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mbona kadi zinatumika Hospitali zote, acha maneno ya kuokota mtaani, umeenda Hospitali private umekataliwa huduma? Jaribu kufanya utafiti kabla ya kupotosha jamiii.
 
Serikali inafanya wizi wa mchana kabisa, iweje sasa hivi Wanachama wa Bima ya Afya ya Taifa hawawezi kutibiwa tena hospitali binafsi maana wanakataliwa na taarifa haijatolewa bali wanatakiwa kwenda hospitali za serikali tuu na huko unakuta dawa nyingi hazipo inakubidi ukanunue nje?
Mbona hii serikali imekalia kujipa sifa tuu lakini chini ya kapeti ni AIBU YA KUSHINDWA mambo mengi hasa hii awamu ya sita?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ukisikia neno Utawala wa Kiimla tafsiri yake ndio hiyo, ni mwendo wa kushurutishana tu, hakuna cha hoja, maoni au ushauri wala nini. Amri ni moja tu.
 
Halafu mabingwa wa kuita mtawala ni dikteta siwaoni kabisa awamu hii ambapo hilo ndilo linafanyika kwa weledi bila kificho. Watanzania ni watu wanafiq sijapata kuona mfano wake.
Wanafiki tu washapewa hela na michango afu na business bubu zao zimefunguliwa
 
Serikali inafanya wizi wa mchana kabisa, iweje sasa hivi Wanachama wa Bima ya Afya ya Taifa hawawezi kutibiwa tena hospitali binafsi maana wanakataliwa na taarifa haijatolewa bali wanatakiwa kwenda hospitali za serikali tuu na huko unakuta dawa nyingi hazipo inakubidi ukanunue nje?
Mbona hii serikali imekalia kujipa sifa tuu lakini chini ya kapeti ni AIBU YA KUSHINDWA mambo mengi hasa hii awamu ya sita?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
TAARIFA KWA UMMA.
IMG-20240107-WA0000.jpg
 
Mkuu wewe uko mkoa gani, mbona hapa Dar private tunaingia bila kikwazo?
Kuna mgomo baridi, Mimi Niko Dar nimekwenda dispensary ya mtaani mara mbili Mwaka huu naambiwa vitabu vya Bima vimejaa hawajaletewa vingine.

Tatizo ni la wizara ya afya na NHIF kurekebisha vifurushi ambavyo kimsingi vinawabana watowa huduma.

Hata kama sekta ya afya ni huduma lakini hakuna mtu ambaye yupo tayari kutengeneza hasara badala ya faida, hata Mimi sifanyi ujinga huo.

Hii dharau yote ni Kwa sababu wao Bima zao ni Premium anaingia hata Agha Khan au kupelekwa nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom