OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,239
- 103,916
Wanajukwaa kuna taarifa zinazidi kuenea kwamba hizi dawa zina sumu ya kuua. Hizo ni dawa za kuchoma kwa ajili ya kuua mbu.
Kuna clip inatembea kwenye groups za WhatsApp ikitutaka kutotumia dawa hizi.
Natoa wito kwa wizara ya afya na TBS kutoa tamko kuhusu ukweli wa dawa hizo. Ikibainika zina madhara wahusika wafunguliwe kesi ya mauaji kwa sababu wana wajibu wa kuzuia