#COVID19 Wizara ya Afya: Kuna tishio la Wimbi la Nne la Virusi vya Corona

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Wizara ya Afya imesema hivi karibuni kumekuwa na tishio la kutokea Wimbi la Nne kutokana na taarifa za ongezeko la visa vipya na kuwepo kwa wasafiri wengi ndani na nje ya Nchi katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka

Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho Omicron, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Serikali imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo

Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia vipukusi, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
 

Attachments

  • TAMKO_KUHUSU_HATUA_ZA_KUJIKINGA_DHIDI_YA_TISHIO_LA_WIMBI_LA_NNE.pdf
    386.9 KB · Views: 21
Wizara ya Afya imesema hivi karibuni kumekuwa na tishio la kutokea Wimbi la Nne kutokana na taarifa za ongezeko la visa vipya na kuwepo kwa wasafiri wengi ndani na nje ya Nchi katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka

Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho Omicron, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Serikali imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo

Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia vipukusi, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Yaani wewe ndiyo umeisikia leo na kuifanya ni habari haswaaa?
 
Kunawa mikono ni ustaarabu, na utamaduni mzuri wa kuzuia magonjwa kama amoeba, Typhoid, na hiyo Korona.

Kunawa mikono ni ustaarabu, iwe endelevu
 
Wizara ya Afya imesema hivi karibuni kumekuwa na tishio la kutokea Wimbi la Nne kutokana na taarifa za ongezeko la visa vipya na kuwepo kwa wasafiri wengi ndani na nje ya Nchi katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka

Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho Omicron, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Serikali imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo

Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia vipukusi, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Kirusi kipya cha korona ati chanjo haioni ndani. Ukichanjwa unaweza kuambukizwa au kuambukiza. INAFIKIRISHA
IMG-20211126-WA0010.jpg
 
Wizara ya Afya imesema hivi karibuni kumekuwa na tishio la kutokea Wimbi la Nne kutokana na taarifa za ongezeko la visa vipya na kuwepo kwa wasafiri wengi ndani na nje ya Nchi katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka

Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho Omicron, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Serikali imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo

Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia vipukusi, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Tunaomba hii kovidi mpya ipite na JIZI LA TOZO
 
Wizara ya Afya imesema hivi karibuni kumekuwa na tishio la kutokea Wimbi la Nne kutokana na taarifa za ongezeko la visa vipya na kuwepo kwa wasafiri wengi ndani na nje ya Nchi katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka

Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho Omicron, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Serikali imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo

Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia vipukusi, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Wewe ni raia wa nchi gani? Uganda au wapi
 
Yani wanasayansi washasema chanjo za mwanzo hazifui dafu kwa hii strain mpya, halafu waziri anasisitiza watu wachanje.

Aiseeeeeee.
Kuchanjwa ni deal kwa wauza nchi, waziri akiwa ni mdau ktk wauza nchi lazima achochee watu wachanjwe ili mipango ya wauza nchi ifaulu
 
Back
Top Bottom