Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Hajaongelea uhuru wa Zenj..kaongelea serikali Mbili au Moja..concern ya ke hapa ni usalama na haki kwa mainority..Zenj haijaweza kabisa ktk hilo eneo.

Padri kwenye siasa hana makosa,lakini mashekhe wa uamsho wakitaka mamlaka ya kujitawala zanzibar ni wachochezi,bado tu hutaki kuamini mfumo kristo ndio muungano?
 
Hhahahah umeme wenyewe umeletwa na Norway kwa taarifa yako, hilo la umeme halitutishi sababu ni muda mfupi tu tutaanza kuchimba gesi yetu na tutakuwa tunauza nje. Musiwe na wasiwasi hata ukivunjka leo wazanzibari hawakosi umeme.
 
Umekamilika halafu leo hamuewezi soma kitabu kimoja kikawatosha...?Kwa taarifa yako vitabu vyote vya waislam havitoshi msaidia muislam...Ila Biblia moja ian mtosha Mkristu.

Mi sijazungumzia kitabu kwa sababu naelewa bibilia yenu imechakachuliwa na wale mabwana zenu wa kulee vaticann
 
haha....sioni ulihchojibu zaidi ya kuomba huruma hapa...mna maadili gani ya kuringia nyie.kutwa nzima mnalambana ktk mapori yenu...kutwa nzima mnaongea hila dhidi ya wenzenu, miaka yote hamjajifunza shukrani....mna laana ya Okello na Sadaka za Wakristu zilizowanunua na kuwaweka huru halafu mkarudi kwa aliyewatumikisha bila hata kutoa shukrani kwa Mungu.

Asiejuiwa neno haambiwi maana na aliye na dini na anaejidai ni vitu viwili tofauti. Alienacho hajilabu na mwenye kitu original hahitaji kujitangaza. Hivyo una hiari kununua kama kilivyo dukani au ngoja cha mchina ulichonacho halafu pita ukijitangaza!
 
Padri kwenye siasa hana makosa,lakini mashekhe wa uamsho wakitaka mamlaka ya kujitawala zanzibar ni wachochezi,bado tu hutaki kuamini mfumo kristo ndio muungano?

kachagua moja kma Yesu alivyosema huwezi kuwa na Mabwana wawili....ni km vile kwa sheria zetu hapa..ama uwe mfanya bishara au uwe mfanyakazi wa umma, ama ukane uraia wetu au uukubali ila si kote..waulize masheikh wako km wanaweza hilo.
 
Mi sijazungumzia kitabu kwa sababu naelewa bibilia yenu imechakachuliwa na wale mabwana zenu wa kulee vaticann

Miaka yote mnakesha na al-kitabu bado hamjaelewa kilichoandikwa..?Kwa taarisha yako al-kitabu haisemi kuwa Biblia imebadilishwa na walioshutumiwa na al kitabu kubadili maandiko ni wayahudi..ambao hat kwenye Biblia pia wanalaumiw akwa hilo.
 
Asiejuiwa neno haambiwi maana na aliye na dini na anaejidai ni vitu viwili tofauti. Alienacho hajilabu na mwenye kitu original hahitaji kujitangaza. Hivyo una hiari kununua kama kilivyo dukani au ngoja cha mchina ulichonacho halafu pita ukijitangaza!

kwani nani kakuambia ninapoteza muda hapa kukimbizana na dini?Ukristu si dini ni Injili..ni habari Njema..ni Neno la Mungu..na wakristu ni wafuasi wa hilo Neno.....nyie ndio mpo ktk mnachokiita kila kitu,utamaduni,siasa, etc....
 
kwani nani kakuambia ninapoteza muda hapa kukimbizana na dini?Ukristu si dini ni Injili..ni habari Njema..ni Neno la Mungu..na wakristu ni wafuasi wa hilo Neno.....nyie ndio mpo ktk mnachokiita kila kitu,utamaduni,siasa, etc....

Hilo ni tatizo lako! Nikukumbushe tu kuwa mada ni bendera na wimbo wa Taifa, hayo mengine wewe baki nayo mwenyewe!
 
Hilo ni tatizo lako! Nikukumbushe tu kuwa mada ni bendera na wimbo wa Taifa, hayo mengine wewe baki nayo mwenyewe!

Mwenyewe umerudi ktk mada...mnataka tulazimisha tuone dini ambayo haijaweza hata kuwaondoa ktk miseries ,zaidi y akuwaongezea tuione kuwa ndio best na ya ukweli.
 
Mwenyewe umerudi ktk mada...mnataka tulazimisha tuone dini ambayo haijaweza hata kuwaondoa ktk miseries ,zaidi y akuwaongezea tuione kuwa ndio best na ya ukweli.

Ni wewe ulio na ufinyu wa fikira. Kwani ulishawahi kuniona nikaenda unakuabudu kuomba msaada. Usiwe mjin ga kwani nilikwishakwambia kuwa mimi sina chembe ya wasiwasi na ninachokiamini kwani si abudu kile ninachokitengeneza. Usiwe mjinga wa kututowa katika mambo ya maana ukatupeleka kwenye ukungu. Hiyo dini yako ni yako na sikukatazi kujidanganya . Kama unataka mambo ya kidini basi nenda kwenye jukwwaa lake . Na ikiwa mambo ya Zanzibar basi kufa kihoro utatuona tunayeya tu.
 
Watanganyika kwa nn hawawezi muungano na nchi nyengine?
 
Kuna watu hawataki ijulikane kuwa Zanzbar inao wimbo wake wa taifa mbali na ule wa Muungano! Wimbo wa Tanganyika upo wapi?

Kabla ya Muungano Tanganyika walikuwa wanatumia wimbo gani?...
 
unajua ukiongea sana busra huonekana ni tusi, mi nadhani kabla ya kutengana ni bora kila mtu arudi kwao yaani wazanzibari waende kwao na watanganyika warudi kwao, halafu ndo zoezi la vitambulisho vya uraia vingetolewa ili wakija bara kununua mahindi waje kwa passport na visa, kifupi hii ndoa imekuwa taiti sana kiasi kwamba mpaka wivu wa upendo umetoweka kabisa zanzibar haina mapendo na tanganyika na tanganyika haina mapendo na zanzibar, kama vipi tumwite mshenga ili taraka itoke tumwagikane kila mtu kivyake. wazanzibar wanajifanya majeuri sana, hawataki kuelewa kabisa. wimbo wa taifa wamepata mwaka 2000 pamoja na bendera, jeshi wanalo linaitwa KU ama jeshi la kujenga uchumi bara linaitwa JKT. Tuwaachie kipande chao nasi tubaki na mafya, na kijisiwa kingine cha mwanza kulee. kama mpango mzima serikali moja tu...
 
Amani amani amani .......tusilete wageni kuharibu amani yetu.
 
Eh! Hukujua kuwa Zanzibar ni nchi!! Nashangaa wanaoshabikia serikali mbili!!! Wazanzibari wenyewe kwa vitendo vyao wanaonyesha kuwa hawana haja na muungano. Tunawang'ang'ania wanini?
Nimesikitika sana kuona wimbo wa Taifa la Zanzibar wakati unapigwa leo kwenye kuadhimisha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar TBC wameweka Taarabu ili tusiujue? Au wamefanya hivyo kwa Manufaa ya nani? Naomba msaada wenu
 
unajua ukiongea sana busra huonekana ni tusi, mi nadhani kabla ya kutengana ni bora kila mtu arudi kwao yaani wazanzibari waende kwao na watanganyika warudi kwao, halafu ndo zoezi la vitambulisho vya uraia vingetolewa ili wakija bara kununua mahindi waje kwa passport na visa, kifupi hii ndoa imekuwa taiti sana kiasi kwamba mpaka wivu wa upendo umetoweka kabisa zanzibar haina mapendo na tanganyika na tanganyika haina mapendo na zanzibar, kama vipi tumwite mshenga ili taraka itoke tumwagikane kila mtu kivyake. wazanzibar wanajifanya majeuri sana, hawataki kuelewa kabisa. wimbo wa taifa wamepata mwaka 2000 pamoja na bendera, jeshi wanalo linaitwa KU ama jeshi la kujenga uchumi bara linaitwa JKT. Tuwaachie kipande chao nasi tubaki na mafya, na kijisiwa kingine cha mwanza kulee. kama mpango mzima serikali moja tu...

usilolijua ni ucku wa kiza z'bar imepata wimbo wa taifa inawezekana hata waz... wako hawajaja duniani na serekali moja kajiunge na DRC Congo mfanye hiyo serekali moja
 
Back
Top Bottom