Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Inaelekea ni wimbo mzuri. Mwenye kuufahamu atuwekee maneno yake hapa.

Asante.

 
Wekeni mistari ya huu wimbo.

Nimekuja kugundua, CCM haijaiacha Zanzibar salama pia
 
Wimbo wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar upo kabla ya Muungano.
Tukiuimba wakati wa parade kila asubuhi tangu enzi hizo na wala haujawahi kuachwa kuimbwa hata leo katika skuli zote za Zanzibar.

MUNGU AMETUBARIKIA UNGUJA NA PEMBA YOTE.
SOTE TUNASHANGILIA JAMHURI KUTULETEA.
 
Back
Top Bottom