Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wanaimba hivi; Wewe Munguuu tubaliki siye wazenjiii, maana twashangaa siye twakaliwa na watanganyika, hii nchi yetu wenyewe wazenjiii, Wewe Mungu wabaliki uamshooo, maana bila wao Zanzibari ni buleeee! Wewe Mungu mbaliki Sulutan wa Omaniiii
 
ile nyimbo ya offside trick poleeee samaaaki poole...ndo anthem yao
 
Nimesikitika sana kuona wimbo wa Taifa la Zanzibar wakati unapigwa leo kwenye kuadhimisha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar TBC wameweka Taarabu ili tusiujue? Au wamefanya hivyo kwa Manufaa ya nani? Naomba msaada wenu
 
Katika kufuatilia kwa makini ndo utagundua ubanaishaji wa vyombo kama tbc,kama nia ni kuweka taarabu ,nadhan ingewekwa muda mwingine,
 
Mtangazaji,amehoji eti kwa nini,rais shein hajaongozana na mkuu wa majeshi!, kama kwenye sherehe za uhuru wa Tanganyika
 
wadau!!
Ninaomba kwa mwenye mashairi ya wimbo wa taifa wa zanzibar atuwekee,niko najarib kufuatilia kwa tv lakin maneno hayasikiki!!
 
Leo Zanzibar wanahadhimisha miaka 50 ya mapinduzi(yanaitwa matukufu ingawa sababu ya kuitwa hivyo siijui).
Pamoja na mambo mengine nimeiona bendera ya Zanzibar huku ikiwa na kialama kidogo cha bendera ya Jamhuri hii ya muungano wa Tanzania juu pembeni.

Kiprotokali wameingia wageni mbalimbali kabla ya rais wa taifa la Zanzibar hajaingia
Ukiangalia protokali hii utagundua kuwa wageni walioingia kabla ya rais wa Zanzibar ni pamoja na mgeni rais wa jamhuri hii ya muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri hii ya muungano wa Tanzania alipigiwa wimbo wa Taifa la Tanzania

Lakini alipoingia rais wa Zanzibar naye alipigiwa wimbo wa taifa huru la Zanzibar

Mimi nina maswali ambayo naomba wana jf munijibu kiufasaha kwani yananichanganya sana!!
1....Kiitifaki rais wa Zanzibar na rais wa Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania nani yuko juu ya mwenzake kimadaraka?

2...Rais wa Zanzibar akija Tanzania bara huwa anakuja kama nani na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akienda Zanzibar anaenda kama nani?

3..Rais wa Zanzibar anaruhusiwa kuingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama nani pale ambapo rais wa Jamhuri ya Muungano anahutubia bunge?
4..Wabunge wa Zanzibar wanaingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Taznaina kama akina nani?
5..Endapo sherehe za muungano zitafanyika Zanzibar mgeni rasmi atakuwa nani?


Mods naomba msiondoe uzi huu wala msiuchanganye na uzi mwingine ili tupate majibu kutoka kwa waelewa wa haya mambo,

Mods nawaomba sana kwa hili!!!
 
wadau!!
Ninaomba kwa mwenye mashairi ya wimbo wa taifa wa zanzibar atuwekee,niko najarib kufuatilia kwa tv lakin maneno hayasikiki!!

Muungu ametubarikia unguja na pemba pia, sote tunashangiria, jamhuri kutuletea.
 
Ni ujinga tu, mbona Rais wa jamhuri yupo uwanjani na kausikiliza?
 
Leo Zanzibar wanahadhimisha miaka 50 ya mapinduzi(yanaitwa matukufu ingawa sababu ya kuitwa hivyo siijui).
Pamoja na mambo mengine nimeiona bendera ya Zanzibar huku ikiwa na kialama kidogo cha bendera ya Jamhuri hii ya muungano wa Tanzania juu pembeni.

Kiprotokali wameingia wageni mbalimbali kabla ya rais wa taifa la Zanzibar hajaingia
Ukiangalia protokali hii utagundua kuwa wageni walioingia kabla ya rais wa Zanzibar ni pamoja na mgeni rais wa jamhuri hii ya muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri hii ya muungano wa Tanzania alipigiwa wimbo wa Taifa la Tanzania

Lakini alipoingia rais wa Zanzibar naye alipigiwa wimbo wa taifa huru la Zanzibar

Mimi nina maswali ambayo naomba wana jf munijibu kiufasaha kwani yananichanganya sana!!
1....Kiitifaki rais wa Zanzibar na rais wa Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania nani yuko juu ya mwenzake kimadaraka?

2...Rais wa Zanzibar akija Tanzania bara huwa anakuja kama nani na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akienda Zanzibar anaenda kama nani?

3..Rais wa Zanzibar anaruhusiwa kuingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama nani pale ambapo rais wa Jamhuri ya Muungano anahutubia bunge?
4..Wabunge wa Zanzibar wanaingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Taznaina kama akina nani?
5..Endapo sherehe za muungano zitafanyika Zanzibar mgeni rasmi atakuwa nani?


Mods naomba msiondoe uzi huu wala msiuchanganye na uzi mwingine ili tupate majibu kutoka kwa waelewa wa haya mambo,

Mods nawaomba sana kwa hili!!!
Nadhani askofu Pengo and co wanamajibu.
 
Nimesikitika sana kuona wimbo wa Taifa la Zanzibar wakati unapigwa leo kwenye kuadhimisha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar TBC wameweka Taarabu ili tusiujue? Au wamefanya hivyo kwa Manufaa ya nani? Naomba msaada wenu

Labda taarabu hiyo ndo wimbo wa zenji
 
Kama ni umoja wa kitaifa mbona CCM wamepitisha Chipukizi wao CUF wao wako wapi mbona hatuwaelewi?
 
Wakili mashuhuri Tundu Liss aliyaeleza haya kitambo lkn akina Werema Na Chikawe wakawa kama mbuzi anaepigiwa gitaa!
 
Back
Top Bottom