Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Nimefurahi kuusikia kwa Mara ya kwanza wimbo wa Taifa wa waZanzibar ukiwakilisha katika final za kombe la cecafa nchini Kenya. Wimbo umeonyesha uwakilishi halisi wa wazanzibar na si kuwakilisha Tanzania.
Hongereni wazanzibar kwa kujitambua.


Kuna Watu takataka sana Dunia hii, sasa wewe Zanzibar hata ikijitenga na sisi utafsidika nini?
 
naenda shule nlosoma nirudishiwe chenji kwenye ada yangu...bhaaaa!
yani tangu nianze vududu hawajanifundisha wimbo wa taifa wa zanzibar??akati ipo tanzania
hapana aiseee
 
Kikwete kajifanya kujipendekeza kwenye social media kuhusu timu ya Zanzibar, Jussa kamwambia hebu tupishe hapa, sisi sio Tanganyika na wewe huitakii Zanzibar mema kihivyo.
 
Wakuu mimi ni miongoni mwa walioalikwa kwenye shughuli ya uzinduzi wa Hotel ya kisasa ya nyota 5 ya Azam , japo kiukweli ilishaanza kutumika kitambo kidogo kabla ya uzinduzi wenyewe, nawapongeza sana Azam kwa kuchagiza maendeleo ya Zanzibar.

Mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Rais wa Tanzania Mh Magufuli kulipigwa nyimbo mbili za mataifa husika, mmoja ni ule uliyozoeleka wa Mungu ibariki ambao ni wimbo wa Taifa la Tanzania, lakini baadaye ukapigwa wimbo mwengine mzuri sana ambao tulinong'onezwa kwamba ni wimbo wa Taifa la Zanzibar!

Baada ya kuambiwa hayo binafsi nilifarijika sana na kujisikia fahari kubwa sana kwa Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964, na nichukue wasaa huu kuwapongeza sana Wazanzibar wote kwa wimbo mzuri sana wa Taifa lao.

Ningependa kujua huu wimbo wa Taifa la Zanzibar ulianza kutumika rasmi mwaka gani, ama ulikuwepo tangu Mapinduzi ya 1964?

Mungu ibariki Zanzibar
 
Back
Top Bottom