Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Ni wewe ulio na ufinyu wa fikira. Kwani ulishawahi kuniona nikaenda unakuabudu kuomba msaada. Usiwe mjin ga kwani nilikwishakwambia kuwa mimi sina chembe ya wasiwasi na ninachokiamini kwani si abudu kile ninachokitengeneza. Usiwe mjinga wa kututowa katika mambo ya maana ukatupeleka kwenye ukungu. Hiyo dini yako ni yako na sikukatazi kujidanganya . Kama unataka mambo ya kidini basi nenda kwenye jukwwaa lake . Na ikiwa mambo ya Zanzibar basi kufa kihoro utatuona tunayeya tu.

haha..kwa akili yako zenj ina ya kuonea gere..hata wanywa gongo huw anao wakisalewa huona wengine wanawaonea sana wivu.

Kwani nai anaabudi alichokitengeneza...nyie ni wajinga kwelikweli..Mwenzio kaniambia eti naabudu msalama..nikamuuliza ule mwezi mchaga (kwetu mwezi mchanga ni kipindi cha vichaa,hata mbwa na paka huwa kwa veterinary sana), na nyota ni km msalaba tuu .Ndio maana siku hizi kuna red crescent , wakasema sanamu na picture....siku hizi kuna sanamu na picture za buraq kibao ktk nyumba waislam, na bado waislam wanaiga vitu vingi sana wanavyovipinga..ni km vile wanatamani kila kingeekwa vyema kw ajina la dini yao.
 
Watanganyika kwa nn hawawezi muungano na nchi nyengine?

Kwa vile Zenj ni sehemu ya bara na wao ndio wameijenga.wengi wa wazenj ni watumwa toka bara...na njaa zao huwa zinaishia bara.
 
haha..kwa akili yako zenj ina ya kuonea gere..hata wanywa gongo huw anao wakisalewa huona wengine wanawaonea sana wivu.

Kwani nai anaabudi alichokitengeneza...nyie ni wajinga kwelikweli..Mwenzio kaniambia eti naabudu msalama..nikamuuliza ule mwezi mchaga (kwetu mwezi mchanga ni kipindi cha vichaa,hata mbwa na paka huwa kwa veterinary sana), na nyota ni km msalaba tuu .Ndio maana siku hizi kuna red crescent , wakasema sanamu na picture....siku hizi kuna sanamu na picture za buraq kibao ktk nyumba waislam, na bado waislam wanaiga vitu vingi sana wanavyovipinga..ni km vile wanatamani kila kingeekwa vyema kw ajina la dini yao.


Haha ha ah ! Kwani ndivyo nilivyokwambia hivyo? Pole nilikusudia kua unaamini kitu ulichokitengenza mwenyewe yaani imani yako na muono wako juu ya Zanzibar ni vitu visvyo na ukweli. Lakini binaadamu mara zote hutafsiri jambo kwa mapenzi yake nawe umerogewa na udini. Sasa kama hivyo ulivyosema kuwa unaabudu unachokitengeneza mwenyewe inaapply na imani yako ya dini basi nakurudia tena kuwa hilo ni lako mwenyewe. Nijuavyo mimim kuna jukwaa la dini na nikitaka kuzungumzia masuala ya dini nitakwendaga huko!
 
Haha ha ah ! Kwani ndivyo nilivyokwambia hivyo? Pole nilikusudia kua unaamini kitu ulichokitengenza mwenyewe yaani imani yako na muono wako juu ya Zanzibar ni vitu visvyo na ukweli. Lakini binaadamu mara zote hutafsiri jambo kwa mapenzi yake nawe umerogewa na udini. Sasa kama hivyo ulivyosema kuwa unaabudu unachokitengeneza mwenyewe inaapply na imani yako ya dini basi nakurudia tena kuwa hilo ni lako mwenyewe. Nijuavyo mimim kuna jukwaa la dini na nikitaka kuzungumzia masuala ya dini nitakwendaga huko!

Dont tell me naongea na mwehu hapa...nilichoandika na ulichtafsiri ni tofauti sana.Hata ulichoandika kipo very shallow na kinapingana cheyewe,kila mstari unakwenda njia yake.
 
Dont tell me naongea na mwehu hapa...nilichoandika na ulichtafsiri ni tofauti sana.Hata ulichoandika kipo very shallow na kinapingana cheyewe,kila mstari unakwenda njia yake.


Tii hii hii! Unajuwa rafiki yangu, saikoloji ndiyo inayokusumbuwa, ukifikiri kwa vile wewe ni mwehu, mwenzako hawezi kuigiza wehu.
Wewe ni mbishi, jeuri na mwenye dharau kiasi kwamba ungekuwa unabaki kwenye ubishi tu lakini unapofika ukadharau wenzako ndipo hiyo sifa iliyobaki inapochukua nafasi.
Pole ndugu yangu kama umekwazika , lakini tambua kuwa tunahitaji kuheshimiana na kutofautiana kusiwe sababu ya kudharauliana. Kwanini unadharau kila mtu anaepingana nawe kimawazo? Hatujuwani pengine unaemdharau akawa ana maana zaidi.
 
Ninajua kuwa nchi ya Zanzibar ina rais wake, jeshi lake, bunge lake, katiba yake, baraza lake la mawaziri, bendera yake ya taifa, wimbo wake wa Taifa na mipaka yake iliyofafanuliwa vyema katika katiba yake. Ninaomba yeyote mwenye kuufahamu wimbo wa taifa wa Zanzibar aniwekee mistari na hata audio ili niufahamu vizuri wakati huu na sisi huku Tanganyika tukijiandaa kutengeneza wimbo wetu wa taifa la Tanganyika ili mistari isiingiliane kama ilivyo sasa ambapo wimbo wa taifa wa Tanzania ni kama mtu alikopi na kupesti wimbo wa Taifa wa Afrika ya kusini "Nkosi sikeleli Afrika" ambapo tofauti ni lugha tu lakini tune na maneno hakuna tofauti kubwa!
 
mungu ametubarikia uunguja na pemba yote

sote tunashangiria jamhuri kutuletea mungu ametubarikiaaaaa unguja na pemba yoteeee
 
mungu ametubarikia uunguja na pemba yote

sote tunashangiria jamhuri kutuletea mungu ametubarikiaaaaa unguja na pemba yoteeee

Hivi wimbo wa Taifa JMT bado unaimbwa huko Visiwani?
 
Hakuna wimbo wa Tanganyika kwanza ni kitu gani hicho Tanganyika... zanziba ni nchi tangu zamani
 
Hakuna wimbo wa Tanganyika kwanza ni kitu gani hicho Tanganyika... zanziba ni nchi tangu zamani

Hongera wewe mwenye Zanzibar yako kama nchi na sisi tunaililia Tanganyika! Tanganyika ipo na nadhani ilikuwa na wimbo wake mpaka 1964(I stand to be corrected) sasa kwakuwa tunaelekea kuwa na Tanganyika kama nchi kama ilivyo Zanzibar si vibaya tukianza kufikiria mambo muhimu ya utambulisho wa taifa letu kama ilivo kwa Zanzibar ambapo nasikia mmeanza mchakato wa kuwa na sarafu yenu. Napongeza msimamo na juhudi zenu za kupigania nchi yenu lakini si vizuri kutubeza na sisi wa TG yaani Tanganyika kupigania nchi yetu ingawa tuna vibaraka wa chache wasiotaka TG iwepo
 
Wimbo wa taifa la Zanzibar huu hapa

 
Last edited by a moderator:
Wimbo wa taifa la Zanzibar huu hapa]

Asante mkuu nimeusikia ukiwa katika ala tupu sasa sijui maneno yake ni yepi? Na bendera yao nimeiona wamechomekea ka kipande ka bendera ya Tanzania kimtindo kwenye kona ili wakati wowote iwe rahisi kukaondoa!
 
Back
Top Bottom