Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,013
Katika kufuatilia kwa makini ndo utagundua ubanaishaji wa vyombo kama tbc,kama nia ni kuweka taarabu ,nadhan ingewekwa muda mwingine,
mkuu,leo ndo imedhihirika rasmi znz ni nchi. shein kukagua gwaride la jeshi na kupigiwa mizinga. serikali tatu oyeeeeeee. tanganyika oyeeeeeeer.