Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Katika kufuatilia kwa makini ndo utagundua ubanaishaji wa vyombo kama tbc,kama nia ni kuweka taarabu ,nadhan ingewekwa muda mwingine,

mkuu,leo ndo imedhihirika rasmi znz ni nchi. shein kukagua gwaride la jeshi na kupigiwa mizinga. serikali tatu oyeeeeeee. tanganyika oyeeeeeeer.
 
Hivi kuna wimbo wa taifa wa Tanganyika?

Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

Na mkiondoka tunabaki navyo nyote. .. benki kuu, hosipitali kuu, majengo ya wizara, miundombinu ya polisi, miundombinu ya jeshi, uwanja wa taifa, jengo la bunge, na vingine vyote vilivyojengwa kwa jina la muungano but mlivyokuwa hamna akili hamkupigania hata kimoja kijengwe kwenu.... masikini wakubwa nyie
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

Acha chuki zako kwa kanisa katoliki.endelea kumuabudu mungu wako.Acha wengine wamwabudu Mungu wao
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

Haaahaa mawazo mgando,serikali yeny ndo tatizo la muungano hangaikeni ni na watawala tena wote ni wa chama flani sioni sababu ya kumtaja Pengo kwani yeye ni nani kwenye serikali yenu.
 
Wabaguzi ni SMZ hata leo magari ya serikali hamjabadili number na kuandika SUK(serikali ya Umoja wa Kitaifa)bado ni SMZ serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Leo sherehe zilikaa ki CCM na mkawatenga kabisa CUF dhambi ya Ubaguzi itawatafuna milele
 
Ndiyo maana tunasema Muungano wetu unamatatizo, ila kwa hali ilivyo Mgeni rasmi ndo uhwa anakuwa wa mwisho kuingia ukumbini, hivyo wapo sahihi. Lakini ktk mamlaka anayoyale ya Zanzibar tu.
Mimi huwa najiuliza JWTZ, polisi, ni majeshi ya muungan iweje yakaguliwe na Rais wa Zanzibar? wakati yeye si amiri jeshi mkuu?


Leo Zanzibar wanahadhimisha miaka 50 ya mapinduzi(yanaitwa matukufu ingawa sababu ya kuitwa hivyo siijui).
Pamoja na mambo mengine nimeiona bendera ya Zanzibar huku ikiwa na kialama kidogo cha bendera ya Jamhuri hii ya muungano wa Tanzania juu pembeni.

Kiprotokali wameingia wageni mbalimbali kabla ya rais wa taifa la Zanzibar hajaingia
Ukiangalia protokali hii utagundua kuwa wageni walioingia kabla ya rais wa Zanzibar ni pamoja na mgeni rais wa jamhuri hii ya muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri hii ya muungano wa Tanzania alipigiwa wimbo wa Taifa la Tanzania

Lakini alipoingia rais wa Zanzibar naye alipigiwa wimbo wa taifa huru la Zanzibar

Mimi nina maswali ambayo naomba wana jf munijibu kiufasaha kwani yananichanganya sana!!
1....Kiitifaki rais wa Zanzibar na rais wa Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania nani yuko juu ya mwenzake kimadaraka?

2...Rais wa Zanzibar akija Tanzania bara huwa anakuja kama nani na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akienda Zanzibar anaenda kama nani?

3..Rais wa Zanzibar anaruhusiwa kuingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama nani pale ambapo rais wa Jamhuri ya Muungano anahutubia bunge?
4..Wabunge wa Zanzibar wanaingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Taznaina kama akina nani?
5..Endapo sherehe za muungano zitafanyika Zanzibar mgeni rasmi atakuwa nani?


Mods naomba msiondoe uzi huu wala msiuchanganye na uzi mwingine ili tupate majibu kutoka kwa waelewa wa haya mambo,

Mods nawaomba sana kwa hili!!!
 
Zanzibar sio Nchi. Ni Jimbo. Laa sivyo, walikua wapi siku zote! Ah.
 
wadau!!
Ninaomba kwa mwenye mashairi ya wimbo wa taifa wa zanzibar atuwekee,niko najarib kufuatilia kwa tv lakin maneno hayasikiki!!

Nhoja nikutafutie hiyo taarabu nikuwekee usikilize, chunga mori usije ukapanda
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

ardhi gani mnayoporwa kanchi kenyewe sijui kana sijui ekari tatu zile
 
Hapa tunaigiza tu kuwa kuna muungano ila jifikra zaidi ni ukaliaji wa nchi zawatu kimafia zaidi.
 
Nadhani wimbo isiwe ishu,tujadili dhana ya huo muungano dosari na faida zake,ingawa kuna mvutano wa chinichini,
 
Leo,neno zanzibar kama nchi limetumika kwelikweli,naona ni salamu kwa mizengo pinda
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

kuritadisha ndio kufanyaje!?
 
Kuna wakati mmoja kati ya wale watangazaji alisema zanzibar leo imezizima! Mwenzake kwa haraka alidakia haijazizima! Kiswahili kinatabu!
 
Subirini hotuba ya mpemba wao huyu baadae..tunasema kuna mawaziri mizigo lakn zanzbar wanakoelekea nimzigo tena wakujitakia kwa Jamhuri ya Muungano wa Tz.
 
Back
Top Bottom