Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,998
Habari za asubuhi wana JF,
Kuna wimbi kubwa mtaani la wazee na wanawake kujiingiza kwenye kamari (kubeti), tatizo umasikini au ndio maendeleo ya soka nchini?
Nakumbuka World Cup last year kila mtu ni kubeti tu, ukikutana na wazee, wanawake wa mtaani wanataka uwafundishe kubeti na wakisikia fulani kashinda mkeka wanachanganyikiwa, na wao wanajitahid kubeti kwa nguvu ili washinde. Unakuta familia nzima wanabeti!
Viongozi wa dini nao wanabeti kisirisiri, nilishawahi kumshitukia mmoja. Mnajifanya wema Sana kukataza,na tuwe mbali na dhambi ya kamari kumbe na nyie mpo addicted na kamari.
Na wastaafu wengi wakiona tu hela inakaribia kuisha nao wanajiingiza kwenye kubeti, mwisho wa siku hela imekata wanakuwa addicted na kamari, kazi kupiga vizinga watu ili wakabeti.
Vijana tupambane na life ili tusitumie uzee wetu kwenye kamari, kubeti ni kama burudani sio kazi.
Naomba kuwasilishaa.
Kuna wimbi kubwa mtaani la wazee na wanawake kujiingiza kwenye kamari (kubeti), tatizo umasikini au ndio maendeleo ya soka nchini?
Nakumbuka World Cup last year kila mtu ni kubeti tu, ukikutana na wazee, wanawake wa mtaani wanataka uwafundishe kubeti na wakisikia fulani kashinda mkeka wanachanganyikiwa, na wao wanajitahid kubeti kwa nguvu ili washinde. Unakuta familia nzima wanabeti!
Viongozi wa dini nao wanabeti kisirisiri, nilishawahi kumshitukia mmoja. Mnajifanya wema Sana kukataza,na tuwe mbali na dhambi ya kamari kumbe na nyie mpo addicted na kamari.
Na wastaafu wengi wakiona tu hela inakaribia kuisha nao wanajiingiza kwenye kubeti, mwisho wa siku hela imekata wanakuwa addicted na kamari, kazi kupiga vizinga watu ili wakabeti.
Vijana tupambane na life ili tusitumie uzee wetu kwenye kamari, kubeti ni kama burudani sio kazi.
Naomba kuwasilishaa.