William Malecela: Dissaster waiting to happen

William Malecela: Dissaster waiting to happen

William ulikuwa una maana gani uliposema hutaki diplomasia na kazi unayotaka inahusisha diplomasia?

Diplomacy has nothing to do with kukubaliana ama kukataliana, either way can still be done through diplomacy.
 
kwenye thread kuna hoja kama kumi naomba na hizo nyingine zijadiliwe!!
Facebook, Mapokezi ya Migiro, National Service N.k
1.5/10 ndo anazo stahili kutokana na hoja za mleta thread
ANGALIZO: tujiandae na mtoto wa LUSINDE nae yuko njiani
 
nipe source ya hapo! La sivyo usitumie JF ku-character assasinate mwingine!

Eleza umepata wapi hili na kama unajua fiscal policies za nchi yeyote nathani huwezi kusema kuingia Euro zone kwa Greece hakujaleta impact kwenye uchumi wake ikizingatiwa haikuwa na competitive manufacturing edge (technologywise) compared to countries like Germany! hata UK yenyewe imepata tabu! sasa sijui unaongelea hili toka wap!

Inshort japokuwa Bw. Malecela hana uelewa wa Economic blocks esp. on how they works, Hayuko conversant enough on how they work ila huyu aliyeandika hapa nae si muelewa wa mambo pia! naona amedhamiria kumchafua Bw. Malecela tu!

- Wala huwezi kunichafua wakari sijachafuka, mimi sio mchumi isipokuwa by professional ni Politician na ni Marine Engineer, kama ni ubaharia nimeufanya kwa level ya Assistant Engineeer,

HOWEVER: Siamini kwamba takwimu za EAC kwamba GDNP per capiter ya EAC inaweza kuwa $ 588, ndio maana ninasema tunahitaji kuwa makini sana na kuelekea kwenye one Currency kwa sababu kama tunaenda na this kind of takwimu kama the guidance then tutaumia tu!

William.
 
William ulikuwa una maana gani uliposema hutaki diplomasia na kazi unayotaka inahusisha diplomasia?

Diplomacy has nothing to do with kukubaliana ama kukataliana, either way can still be done through diplomacy.

- Nimesema Historia ya EAC tuiangalie bila kuchanganya Diplomasia.

William.
 
kwenye thread kuna hoja kama kumi naomba na hizo nyingine zijadiliwe!!
Facebook, Mapokezi ya Migiro, National Service N.k
1.5/10 ndo anazo stahili kutokana na hoja za mleta thread
ANGALIZO: tujiandae na mtoto wa LUSINDE nae yuko njiani

- Maneno ya Lusinde, hayana nafasi hapa!, well, sasa naomba kwenda kulala huku bongo ni late sasa!

William.
 
- Hakuna Diplomasia kwenye Historia ndio maana tumekalia Diplomasia wenzetu wanatuzidi akili, sina mpango wa kuwa Mbunge wa namna hiyo hata siku moja, hatuwezi kujenga Jumuiya ambayo ni unbalanced kwa sababu tu tunataka tuonekane tunajua Diplomasia kwa hili mkuu sina cha kukuomba msamaha, ninasema hivi Kenya ndio waliovunja Jumuiya in the first place na sasa ndio machampion wa kuundwa kwa haraka haraka Jumuiya mpya na hasa One Currency na Federation, ninasema kwa haya mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima ashituke, sasa na wao kwa sababu wanajua tunao wananchi kama wewe ambao wako tayari kuuuza nchi kwa maneno ya kuheshimu Diplomasia, ndio maana wanakuja kwa kasi ya ajabu sana, ninasema hapana!

- Otherwise, nitajibu maswali ambayo yana valid arguments muhimu kwa wananchi na Taifa, ukiona sikujibu ujue halina mshiko!

William.
Yani nimeipenda jeuri hii yani Willy nimeikubali sana japo u mwanaccm umeonyesha a true colour I hope you will be a true son of the land.Wakubwa wengi ndani ya CCM wameuza Nchi kwa kuponzwa na tabia ya kujipendekeza na vigezo vichafu vya Diplomasia.Nimeshukuru umekaa New York Centre of the all stupidy and dirty games of the world in economics, politics and culture and true umeonyesha kweli umekuwa exposed na hasa siasa za dunia ambazo umejifunza kupitia jiji hilo la kwanza duniani.

Hakika wazee wetu wengi ni waoga wa wazungu na wageni,unaweza ukaona hata wanavyoongea na kuwatreat wanadiplomasia,yani wanakuwa humble mpaka inachafua vibaya sana.Kumbe haya majamaa toka uko kwao uwa yematayarishwa na michezo michafu ya kidplomasia na mara nyingi wanawasanifu kinoma.

Hapa ndipo namkumbuka Mwalimu Nyerere,na speech yake kuwa zamani watanzania walikuwa wanaheshimika sana uko Nchi za watu mtanzania alikuwa akiinuka kuongea watu wote wanakaa kimya kumsikiliza anaongea mtu hata kama mtu alitaka kutoka akavute ugolo wake inabidi asitishe kwanza shughuli yake hiyo mpa umalize hotuba .

Kweli umeisha New York umesima kimataifa na unawajua, unawajua wanadiplomasia wa dunia.wazee wako wanawaamini kuliko watanzania wenzao
 
- Mkuu wala hunisumbui na wala hujwahi kunisumbua, tatizo ni wewe na kivuli chako ambacho huwa unapigana nacho kila unapoona jina langu likitajwa kwa mazuri, ndio maana ninakuonea huruma sana maana mimi ndio ninaondoka hivyo, wewe kazi ni kulia lia huku kwenye mitandao, pole sana mimi mwendo ni kwa mbele ndio maana sijawahi kukuogopa wala kukimbia, maana huwa hatukimbii mtu anayedai hoja za Lusinde kwenye mada ya EAC, tunaita ni upunguani!

William.

Mie sina nia ya kukusumbua, ninaposumbua nasumbuka mwenyewe.

Mie nia yangu ni kuona kila anayetaka uongozi watu wanamuelewa kwa kina, na mpaka sasa umetuhakikishia kwamba mtoa mada hajakosea aliposea wewe ni "disaster waiting to happen" kwa sababu hujaingia bungeni tu ushaanzisha beef na Kenya, ushasema huheshimu diplomasia, ukiingia bungeni je?

Hujawahi kuniogopa wala kukimbia wakati unakimbia hata unavyoandika, halafu hata kukimbia kwenyewe unaogopa kukimbia unabaki kuaga aga mara mia.

Hujajibu maswali ya Emmanuel hapo juu, hujajibu maswali yangu, kuna mkuu mwingine kauliza maswali hujajibu.

Utaweza kazi kweli wewe kama unashindwa kujibu maswali ya JF tu?
 
William ulikuwa una maana gani uliposema hutaki diplomasia na kazi unayotaka inahusisha diplomasia?

Diplomacy has nothing to do with kukubaliana ama kukataliana, either way can still be done through diplomacy.

Ndio maana kwenye posts zake hapa na pia kwenye ile interview yake anaanza kwa kusema: "Mimi nasema hivi.......", mara "nasema hivi......" That speaks a lot about the person.
 
- Nimesema Historia ya EAC tuiangalie bila kuchanganya Diplomasia.

William.

EAC ni chombo kilichoundwa katika msingi wa diplomasia, sasa wewe utasemaje "Historia ya EAC tuiangalie bila kuchanganya diplomasia"? Unaelewa unachosema wewe?
 
- Nimesema Historia ya EAC tuiangalie bila kuchanganya Diplomasia.

William.
Mkuu samahani, nadhani tulikuwa hatuajaelewana.

Cha msingi pointi yangu ni kuwa hata kama ukaenda kutuwakilisha kwenye bunge la EA, na ukawa na msimamo huu kwamba hatuko tayari, hilo lenyewe ni diplomasia.

Diplomasia si lazima mkubaliane, cha msingi kabisa na nia dhabiti ya diplomasia ni kukubaliana bila ku arouse hostility.Huo ndo msingi wa diplomasia.Hata defintion yake itakupa maana hiyo.

So huwezi kutenganisha diplomasia na kazi unayoiomba, diplomacy ni kama bread and butter(metaphor) ya kazi yako.

Kama wewe ni samaki, kwenye kazi yako hiyo, diplomacy ndo maji, jiulize utaishije.
 
sijaelewa ndugu yangu Mbunge mtarajiwa alikuwa ana maana gani kwenye hoja hii

9. William anasema kuwa
achievements zake kubwa
ilikuwa ni kuandaa sherehe
ya kumpokea Asha Migiro
alipoteuliwa kuwa Deputy SG
wa Ban Ki Moon, mimi binafsi sioni kama hiyo ni
issue na sioni kama ni
achievement ya maana.

maelezo ya kina yana hitajika hapa.....
 
My brother, don't be surprised, this is how myopic ccm-brainwashed people are, especially those with an agenda to maintain their chukua chako mapema status.
 
Anakwambia

mimi sio mchumi isipokuwa by professional ni Politician na ni Marine Engineer

Hahahaha,

If it wasn't this serious I could have said you just gotta love this comedy show.

Is this the best we can do?

Huyu ndiye wa kwenda kukaa na vipanga wa Kenya na Uganda wanaotumia mental jujitsu kupata inroads? Si atapewa mikataba kusaini asijue hata kuisoma huyu?

William New York ulikuwa unafanya nini miaka yote hata kiingereza cha kuunga unga hapa JF kinakupiga chenga? Hapo umezaliwa katika familia "bora", ungezaliwa madongokuinama je?
 
Ndio maana kwenye posts zake hapa na pia kwenye ile interview yake anaanza kwa kusema: "Mimi nasema hivi.......", mara "nasema hivi......" That speaks a lot about the person.
Sijaisikiliza bado hiyo interview.
 
ajabu mtu kama Dr PhD Econ. Shayo wamemtosa wanapeleka watu mabaharia ambao hata hawajui jinsi fiscal policies na tariffs zinavyokuwa set na pia what is a common market! hebu nikuulize unaelewa nini kuhusu Protectionism Bw Malecela? Na non tariff barriers? maana ninachoona unapeleka u-nationalist kule bungeni na si kuweka level ground for every member to benefit
 
ajabu mtu kama Dr PHD Econ. Shayo wamemtosa wanapeleka watu mabaharia ambao hata hawajui jinsi fiscal policies na tariffs zinavyokuwa set na pia what is a common market! hebu nikuulize unaelewa nini kuhusu Protectionism Bw Malecela
Mkuu tuna hadi Dr Barubaru humu,hayo yaache kwasasa, "leadership is action, not education".
 
Na Tumbo kubwa pia ulivaa au ulivalishwa na maproducers. Tafuta shughuli zingine za kufanya mkuu..Wacheni siasa za kuwanyonya watanzania?

Kazi kweli kweli...Kumbe kuna uhusiano wa tumbo kubwa ,siasa na kuwanyonya waTZ?Hii mpya..
Ushauri kwa Wiliam.. Usikasirike unapokosolewa ila zingatia kwani criticism nyingi huwa zinajenga.
Halafu Gym pia inakuhusu sana ili upate nguvu ya kushindana na wakenya/Rwanda.
 
ajabu mtu kama Dr PHD Econ. Shayo wamemtosa wanapeleka watu mabaharia ambao hata hawajui jinsi fiscal policies na tariffs zinavyokuwa set na pia what is a common market! hebu nikuulize unaelewa nini kuhusu Protectionism Bw Malecela

GezaUlole heshima yako aisee
huyo DR Shayo unamjua kweli au na wewe unamsikia tu?
kuna threads tele kumhusu huyo hapa
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu tuna hadi Dr Barubaru humu,hayo yaache kwasasa, "leadership is action, not education".

But you may need the right education - not necessarily formal education- to know which action to take.

So far William hajajionyesha kwamba ana education yoyote, formal or informal.

Mtu mwenye formal education ndogo tu hawezi kujiumbua kwa kuandika.

mimi sio mchumi isipokuwa by professional ni Politician na ni Marine Engineer

Na hata asiye formal education anayefaa hawezi kutoka baru hapa bila hata ya kutoa strategy yake kwa muhtasari kama alivyoulizwa.
 
But you may need the right education - not necessarily formal education- to know which action to take.

So far William hajajionyesha kwamba ana education yoyote, formal or informal.
Nakubali, Geza Ulole alivyoiweka ilisound kama vile watu wanaotakiwa wachaguliwe ni wenye doctorate peke yake.

Ninaamini Doctorate can be a plus, lakini siyo kwamba ndo a basic requirement.

Geza Ulole amesema "Wamemwacha Dr", ninaamini hilo peke yake siyo sababu ya kuqualify kwa Shayo over the others.

Otherwise i aggree you always need "the right education" and formal.
 
Back
Top Bottom