William Malecela: Dissaster waiting to happen

William Malecela: Dissaster waiting to happen

ajabu mtu kama Dr PhD Econ. Shayo wamemtosa wanapeleka watu mabaharia ambao hata hawajui jinsi fiscal policies na tariffs zinavyokuwa set na pia what is a common market! hebu nikuulize unaelewa nini kuhusu Protectionism Bw Malecela? Na non tariff barriers? maana ninachoona unapeleka u-nationalist kule bungeni na si kuweka level ground for every member to benefit

"Dr." Shayo? Tafadhali ndugu, tafadhali sana.
 
- Baaada ya kusafiri 90% ya Dunia na wala sijawahi kufungwa jela hata siku moja nikiwa nje, wala kuvunja sheria yoyote nikiwa nje ni dalili tosha kwamba ninajua maana ya Diplomasia kuliko maelezo, isipokuwa for sure sina uelewa wa Diplomasia za kujadili Lusinde kwenye mada ya EAC, kwa hizo kweli wewe ni mtu kichwa sana! ha! ha! ha! ha!

William.

Contradiction tupu. Mara siheshimu diplomasia, mara najua diplomasia kuliko maelezo.

Naona kama hujui maelezo kuliko maelezo.

Na communication skills ni muhimu sana kwa kiongozi.

Kama unashindwa kujieleza hapa JF tu huko bungeni utaweza?
 
hii ndio tanzania tunayoitaka na hao ndo viongozi tunao watarajia..
 
Anakwambia

HOWEVER: Siamini kwamba takwimu za EAC kwamba GDNP per capiter ya EAC inaweza kuwa $ 588, ndio maana ninasema tunahitaji kuwa makini sana na kuelekea kwenye one Currency kwa sababu kama tunaenda na this kind of takwimu kama the guidance then tutaumia tu!

William.

Huyo "GDNP per capiter" ni mnyama gani jamani?

Is this the best we can do?

Mimi ninavyowaambia watu kwamba tuna deal na pretender hapa wengine wananiona kama natia chumvi, mnaoelewa hivi vitu mnaona jamani?

Yaani mtu anajivua nguo mwenyewe hivi hivi ilimradi na yeye aonekane anajua!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Nakubali, Geza Ulole alivyoiweka ilisound kama vile watu wanaotakiwa wachaguliwe ni wenye doctorate peke yake.

Ninaamini Doctorate can be a plus, lakini siyo kwamba ndo a basic requirement.

Geza Ulole amesema "Wamemwacha Dr", ninaamini hilo peke yake siyo sababu ya kuqualify kwa Shayo over the others.

Otherwise i aggree you always need "the right education" and formal.

nimesema Dr. PhD Econ. na si Dr. tu....! sasa wakiwa wanapanga fiscal policies for the block in monetary union sijui baharia wako atachangia nini pale! kuna vitu vingine havihitaji masihara! Bongo watu wanashinda uongozi kutokana na majina!
 
nimesema Dr. PhD Econ. na si Dr. tu....! sasa wakiwa wanapanga fiscal policies for the block in monetary union sijui baharia wako atachangia nini pale! kuna vitu vingine havihitaji masihara! Bongo watu wanashinda uongozi kutokana na majina!

Hahaha,

Umemsoma baharia kashachangia "GDNP per capiter"

Mzee Malecela mpungie mwanao kwanza, anakutia aibu hapa. Hivi mmemsomesha shule gani huyu?
 
Unadhani "Dr." Shayo anafaa?
yes kwa vile economic blocks involves economic knowledge! Yeye na Dr Mndolwa wanafaa sana kusimamia interests zetu na si watu kama wakina Fancy Nkuhi, Shyrose Bhanji (mtu media n mass communication sijui atasaidia nini kwenye economic blocks)!

Na pia wakina Janeth Mmari, Janet Mbene japokuwa wengine waliobaki sijui specializations kama wamefanya mambo yanayohusiana na uchumi basi ni candidates wazuri
 
Yup...ndo huyo huyo!

Huyu hata hiyo doctorate yake tushaitilia mashaka, hana integrity. Ka plagiarize kitu very unnecessary halafu easily traceable.

Ananipa mashaka kama yuko alright upstairs.
 
Contradiction tupu. Mara siheshimu diplomasia, mara najua diplomasia kuliko maelezo.

Naona kama hujui maelezo kuliko maelezo.

Na communication skills ni muhimu sana kwa kiongozi.

Kama unashindwa kujieleza hapa JF tu huko bungeni utaweza?

- Yaaani mtu ameweza kujieleza mbele ya wabunge na akakubalika, wewe umewahi kujieleza wapi mkuu ukakubalika?

Es!
 
Hahaha,

Umemsoma baharia kashachangia "GDNP per capiter"

Mzee Malecela mpungie mwanao kwanza, anakutia aibu hapa. Hivi mmemsomesha shule gani huyu?

- Ungeanza na yule mzee aliyeuza ubunge kwa ajili hela ndogo sana aibu sana!, talking about baba na aibu kama baba anauzaa ubunge watoto utegemee nini sio ndio hii kujifanya kujua huku JF kumbe baba ni mchawi! ha! ha! ha!

Es!
 
Anakwambia



Hahahaha,

If it wasn't this serious I could have said you just gotta love this comedy show.

Is this the best we can do?

Huyu ndiye wa kwenda kukaa na vipanga wa Kenya na Uganda wanaotumia mental jujitsu kupata inroads? Si atapewa mikataba kusaini asijue hata kuisoma huyu?

William New York ulikuwa unafanya nini miaka yote hata kiingereza cha kuunga unga hapa JF kinakupiga chenga? Hapo umezaliwa katika familia "bora", ungezaliwa madongokuinama je?
ndiyo maana siku zote sitawaelewa na kuwaamini magamba!
 
basi mmeshinda jamaa ni noma kwa plagiarism nilimsahau namtoa Dr Shayo basi Mndolwa na hao wengine wapitishwe!
 
- Ungeanza na yule mzee aliyeuza ubunge kwa ajili hela ndogo sana aibu sana!, talking about baba na aibu kama baba anauzaa ubunge watoto utegemee nini sio ndio hii kujifanya kujua huku JF kumbe baba ni mchawi! ha! ha! ha!

Es!

Umerudi naona.

Mzee gan huyo aliyeuza ubunge? Au unaanza zile style zako za kila siku za "nilikuona kwenye basement party DC" waati mtu hata humjui.

Mzee gani aliyeuza ubunge? Ubunge unauzwauzwaje kwanza?

Wewe kubali tu umekaa New York miaka yote hata kiingereza hujajua, you are not even a "quick study" tuseme tukupeleke bungeni ujifunzie humohumo. Not that it is advisable to experiment anyway.
 
ajabu mtu kama Dr PhD Econ. Shayo wamemtosa wanapeleka watu mabaharia ambao hata hawajui jinsi fiscal policies na tariffs zinavyokuwa set na pia what is a common market! hebu nikuulize unaelewa nini kuhusu Protectionism Bw Malecela? Na non tariff barriers? maana ninachoona unapeleka u-nationalist kule bungeni na si kuweka level ground for every member to benefit
mKUU Dr Shayo ni dupe but we do also have to accept that CCM has lost the culture of picking talents, they are more to "mwenzetu" at any cost....
 
Back
Top Bottom