Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,008
- 142,667
ajabu mtu kama Dr PhD Econ. Shayo wamemtosa wanapeleka watu mabaharia ambao hata hawajui jinsi fiscal policies na tariffs zinavyokuwa set na pia what is a common market! hebu nikuulize unaelewa nini kuhusu Protectionism Bw Malecela? Na non tariff barriers? maana ninachoona unapeleka u-nationalist kule bungeni na si kuweka level ground for every member to benefit
"Dr." Shayo? Tafadhali ndugu, tafadhali sana.