William Malecela: Dissaster waiting to happen

William Malecela: Dissaster waiting to happen

Nakubali, Geza Ulole alivyoiweka ilisound kama vile watu wanaotakiwa wachaguliwe ni wenye doctorate peke yake.

Ninaamini Doctorate can be a plus, lakini siyo kwamba ndo a basic requirement.

Geza Ulole amesema "Wamemwacha Dr", ninaamini hilo peke yake siyo sababu ya kuqualify kwa Shayo over the others.

Otherwise i aggree you always need "the right education" and formal.

tuna kawambwa... naye ni Dr....

we need quality plus good track record, academic na utumishi uliotukuka
 
- Baaada ya kusafiri 90% ya Dunia na wala sijawahi kufungwa jela hata siku moja nikiwa nje, wala kuvunja sheria yoyote nikiwa nje ni dalili tosha kwamba ninajua maana ya Diplomasia kuliko maelezo, isipokuwa for sure sina uelewa wa Diplomasia za kujadili Lusinde kwenye mada ya EAC, kwa hizo kweli wewe ni mtu kichwa sana! ha! ha! ha! ha!

William.
absolutely contradikshen indeed.... aisii:yo:
 
Sasa angalau umesomeka kuhusu huyu jamaa. Ni kweli anaonekana hafahumu mazingira ya siasa za Tanzania. William ajifunze kuwa mashabiki wa CHADEMA si washabiki wa siasa bali ni mashabiki wa kupigania uchumi bora!
 
Safi sana hiki ndicho mie nilikuwa nakitafuta, 10/10

Kuhusu jkt to hell, mie sijapita jkt lakini najihisi niko mzalendo sana,

hizi ni akili za kutaka kulazimisha wengine wawe na nidhamu ya uoga ili wao waendelee kutukamua.hizi ndo akili za watoto wa viongozi wa nchi hii na baba zao. Wanakaa kwa hofu muda wote ndo maana wanawasakama wanachuo wanaowahisi wanajihusisha na siasa ili wasijekomaa na kuwazidi. Wanaota ndoto za kututawala milele! Hivi kaka yangu willy hawa wote wanaotugeuka kwa wazungu na kuwapatia ardhi yetu kwa miaka 100 si wamepita jkt? Wanaokaa na kupitisha sheria za kutupatia asilimia 3 ya madini yetu si wamepitia jkt? Wanaochota fedha za miradi na kuhamishia kwao si wamepita jkt? Huo uzalendo sie tutautoa wapi? Au ndo mipango ya kuzuia vijana wasiingie vyuoni na watoto wenu mnakimbizia kusoma nje? Vijana wa leo tunawachukia kwa sababu mmekuwa wavivu wa kufikiri. Kitu kidogo sana mnahangaika nacho miaka kumi bila jibu.! Willy wewe ni MVIVU WA KUFIKIRI kwa sababu akili yako umeitega kwenye kupata madaraka tu. Huwezi ukaniambia jkt itarudisha uzalendo na unajua kwamba mali za umma nchi hii zinahujumiwa na watu waliopita jkt! Hivi unajua kwamba kuna vijana ambao wameathirika na VVU? Hao utawaweka kundi lipi maana hawatakiwi kufanya shughuli nzito kama za jeshini? Au wao wanaruhusiwa kutokuwa wazalendo?
 
- Baaada ya kusafiri 90% ya Dunia na wala sijawahi kufungwa jela hata siku moja nikiwa nje, wala kuvunja sheria yoyote nikiwa nje ni dalili tosha kwamba ninajua maana ya Diplomasia kuliko maelezo, isipokuwa for sure sina uelewa wa Diplomasia za kujadili Lusinde kwenye mada ya EAC, kwa hizo kweli wewe ni mtu kichwa sana! ha! ha! ha! ha!

William.
You can't be serious here! Diplomasia inayozungumzwa hapa si ya kusafiri kama wewe bali upeo wa mambo na uwezo wa kubeba nchi katika mabega yako katika maswala muhimu yanayohusu mstakabali wetu! BTW sijawahi kuona ukichangia chochote kuhusu economic blocks hapa ndani ya JF! what happened of a sudden unataka kutuwakilisha hapo Arusha at the EA Assembly? Au ndo ntoke vp? Mi ningekuwa kwenye interviewing panel, haki ya Mungu usingepita!
 
You can't be serious here! Diplomasia inayozungumzwa hapa si ya kusafiri kama wewe bali upeo wa mambo na uwezo wa kubeba nchi katika mabega yako katika maswala muhimu yanayohusu mstakabali wetu! BTW sijawahi kuona ukichangia chochote kuhusu economic blocks hapa ndani ya JF! what happened of a sudden unataka kutuwakilisha hapo Arusha at the EA Assembly? Au ndo ntoke vp? Mi ningekuwa kwenye interviewing panel, haki ya Mungu usingepita!

- Ni lazima kuchangia panel ya uchumi hapa JF ndio utakwua mbunge bora EAC!

Es!
 
You can't be serious here! Diplomasia inayozungumzwa hapa si ya kusafiri kama wewe bali upeo wa mambo na uwezo wa kubeba nchi katika mabega yako katika maswala muhimu yanayohusu mstakabali wetu! BTW sijawahi kuona ukichangia chochote kuhusu economic blocks hapa ndani ya JF! what happened of a sudden unataka kutuwakilisha hapo Arusha at the EA Assembly? Au ndo ntoke vp? Mi ningekuwa kwenye interviewing panel, haki ya Mungu usingepita!

- Diplomasia ya kupiga mke na kufngwa jela, si unaijua sana right? ha1 ha! ha!

Es.
 
- Hiii ni kuvunja sheria za JF kwa ku-specualte ID ya member mwingine usiyemjua, nimewafahamisha mods so!, kwa mwalimu mzima wa University majuu ni aibu sana, huna hoja? ha! ha! ha!

Es!
you are right, ila hakuna kama wewe kwenye speculation ya ID

Umeshawahi kuniita kila majina hadi Bala, na hata kusema unapajua kwangu....

MEMORIZE BUDDY!!!... MEMORIZE
 
Huyu hata hiyo doctorate yake tushaitilia mashaka, hana integrity. Ka plagiarize kitu very unnecessary halafu easily traceable.

Ananipa mashaka kama yuko alright upstairs.

- Si ungeanza na wewe mwenyewe na familia yako kwanza mkuu kuhusu akili, s evidence zipo au tuziweke hapa?

Es!
 
Hivi William Malecela ndiye W. J. Malecela alias Field Marshal Es alias FMes alias Sauti ya Umeme alias @ New York?

Ndiyo, hakika huyo ni mtu mmoja mwenye ID mbili. Vilevile ni mwanahisa wa tovuti hii ya JF.
 
you are right, ila hakuna kama wewe kwenye speculation ya ID

Umeshawahi kuniita kila majina hadi Bala, na hata kusema unapajua kwangu....

MEMORIZE BUDDY!!!... MEMORIZE

- nimesema one thing for sure ninajua kwamba kwenu kuna kichaa cha asili katika familia yako na evidence ninazo.

Es!
 
- Si ungeanza na wewe mwenyewe na familia yako kwanza mkuu kuhusu akili, s evidence zipo au tuziweke hapa?

Es!

Heeeeeeh,

Mi nishakupa ruhusa tangu kwenye thread ile ya ulivyokimbia child support NYC, mkeo akakunyima sponsorship ya kukaa US, ukarudi bongo na mid-life crisis.

Leo unadanganya watu umerudi kutumikia wananchi.

Kila mtu anakujua ukilemewa huishi kutunga story, ushambambika story moja hiyo hiyo Mzee Mbegu, Fundi Mchundo, Kuhani mpaka Kiranga.

Upuuzi wako unadanganya sana halafu unasahau kwamba umedanganya, unarudia uongo ule ule kwa mtu mwingine.

Mtu mzima hatishiwi nyau.
 
- Lusinde, Diplomasia, ID speculation, imbecile, ........? Hatulalamiki we just hit back hard!

Genius!

Es!
READ POST #188 QUOTING YOUR CRY BABY TO MODS... AND JUST AFTER THAT YOU CONTINUED SPECULATING... HAVENT USED ANY OTHER ID CALLING TO YOU... IMBECILE IS NOT AN ID, ITS A CONDITION DUDE...

congratulations anyway
 
Heeeeeeh,

Mi nishakupa ruhusa tangu kwenye thread ile ya ulivyokimbia child support NYC, mkeo akakunyima sponsorship ya kukaa US, ukarudi bongo na mid-life crisis.

Leo unadanganya watu umerudi kutumikia wananchi.

Kila mtu anakujua ukilemewa huishi kutunga story, ushambambika story moja hiyo hiyo Mzee Mbegu, Fundi Mchundo, Kuhani mpaka Kiranga.

Upuuzi wako unadanganya sana halafu unasahau kwamba umedanganya, unarudia uongo ule ule kwa mtu mwingine.

Mtu mzima hatishiwi nyau.

- Kunyimwa viza au mke wako kuliwa na ofisa wa ubalozi? Vipi kupiga mke na kufungwa jela mwanaume mtuzima badala ya kupigana na wanaume wenzako? ha! ha! ha! halafu vipi baba kuiba hela za credit cards ha! ha! na uchawi ofisini! nyani bwana vigumu sana kuojiona mwenyewe!

- Utauza chupi za wanawake hapo dukani mpaka unakufa! ha! wanaume wanarudi bongo wanasimama na kugombea ubunge, wewe utakwua hivyo hivyo kulia lia na kusema mambo ya ndoa za wengine mwanaume mzima kulishwa na demu, kupewa amri na demu, kichaa kwenye familia, unatisha sana mkuu!

Es!
 
READ POST #188 QUOTING YOUR CRY BABY TO MODS... AND JUST AFTER THAT YOU CONTINUED SPECULATING... HAVENT USED ANY OTHER ID CALLING TO YOU... IMBECILE IS NOT AN ID, ITS A CONDITION DUDE...

congratulations anyway

- Nonsense! zile zile tabia zako za kichaa cha familia na kuwekwa mjini na demu, kichwa kikubwa akili hamna kama anavyosema mkewako mwenyewe, jenga kwenu wacha kufikia protea na madeni mpaka unakopa kwa wanaume wengine kama wewe, aibu na kujifanya matai na masuti na akili sana, ha! ha! utalijua jiji maana si unakumbuka jamaa wa ubalozi wa bongo! ha! ha1 ha!

Es!
 
Back
Top Bottom