William Malecela: Dissaster waiting to happen

Na Tumbo kubwa pia ulivaa au ulivalishwa na maproducers. Tafuta shughuli zingine za kufanya mkuu..Wacheni siasa za kuwanyonya watanzania?

- Well, lets say hii nayo ni hoja wewe huoni mimi ni lijitu la miraba minne, I mean kama ningekua mfupi na mtumbo mkubwa hapo kweli, lakini kama unanifahamu vizuri unajua kwamba ni miraba minne na kazi tupu! ha! ha! ha! ha! ha!

William.
 
- Hakuna Diplomasia kwenye Historia

Historia gani unayoizungumzia wewe isiyo diplomasia? Au ndiyo unatutaarifu mapema kwamba utaenda kutu-Lusinde huko kwa kusema mambo bila diplomasia?

ndio maana tumekalia Diplomasia wenzetu wanatuzidi akili,

Kufikiri kwamba diplomasia haiwezi kufanywa kwa akili ni kukosa akili. Yaani wewe ushaona choice hapa ni either diplomacy or brute force, and diplomacy is foolish, brutish speech is admirable.

Sasa wewe unaweza kuniambia kwamba una tofauti na Lusinde wewe zaidi ya severity of words tu? Kwa nini nisiamini kwamba unaweza kuingia bungeni siku moja ukatupa diplomasia zote za kibunge na kuanza kubwabwaja ovyo?

sina mpango wa kuwa Mbunge wa namna hiyo hata siku moja,

Huyu bwana anatutangazia mapema kwamba hana mpango wa kuwa mbunge anayefuata diplomasia hata siku moja. Watu kama hawa ni hatari hasa katika uhusiano wa kimataifa. Lusinde anaweza kubwabwaja mambo yakaishaia ndani, akienda kubwabwaja huyu bunge la Afrika ya Mashariki akikutana na mpuuzi mwenzake anayemjibu ovyo nchi zinaweza kupigana vita.

hatuwezi kujenga Jumuiya ambayo ni unbalanced kwa sababu tu tunataka tuonekane tunajua Diplomasia

Sijasema tujenge jumuiya unbalanced kwa sababu tunataka tuonekane tunajua diplomasia. Nionyeshe wapi nimesema hivyo. To the contrary nimekuuliza utateteaje interests za Tanzania katika jumuiya, una mkakati gani, hujajibu.

Nimekuuliza pros and cons za East African Federation kwa Tanzania. Hujajibu.

Una majibu?

kwa hili mkuu sina cha kukuomba msamaha,

Sijakuombwa uombe msamaha, unajishtukia.

ninasema hivi Kenya ndio waliovunja Jumuiya in the first place na sasa ndio machampion wa kuundwa kwa haraka haraka Jumuiya mpya na hasa One Currency na Federation,

Lugha yako haijakaa kujenga jumuiya, bali kuzuia. Unataka Jumuiya au hutaki? Utaweza kututajia pros and cons? Utaweza kututajia mkakati wako kuhakikisha watanzania hawapunjwi? Utaweza vipi kuwahakikishia Watanzania kwamba hutalipuka bungeni na kusababisha embarassment huku ukijifikiria unawatetea wananchi?

ninasema kwa haya mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima ashituke, sasa na wao kwa sababu wanajua tunao wananchi kama wewe ambao wako tayari kuuuza nchi kwa maneno ya kuheshimu Diplomasia,

Ni mtu mwenye akili ndogo tu anayeweza kuona diplomasia kama weakness. Wenye upeo wanajua maana ya "mental jujitsu" za diplomasia ni nini.

ndio maana wanakuja kwa kasi ya ajabu sana, ninasema hapana!

Hizi kauli za ku dismiss diplomasia wakati unaenda kwenye chombo cha kidiplomasia ndizo zinahalalisha wanaosema wewe ni intellectual pigmy na hapa unapotaka kwenda si saizi yako.

- Otherwise, nitajibu maswali ambayo yana valid arguments muhimu kwa wananchi na Taifa, ukiona sikujibu ujue halina mshiko!

William.

Nimekuuliza open ended questions ambayo kama wewe una mkakati unapata uwanja wa kujimwaya. Tupe makakti wako.
 
Historia gani unayoizungumzia wewe isiyo diplomasia? Au ndiyo unatutaarifu mapema kwamba utaenda kutu-Lusinde huko kwa kusema mambo bila diplomasia?



Kufikiri kwamba diplomasia haiwezi kufanywa kwa akili ni kukosa akili. Yaani wewe ushaona choice hapa ni either diplomacy or brute force, and diplomacy is foolish, brutish speech is admirable.

Sasa wewe unaweza kuniambia kwamba una tofauti na Lusinde wewe zaidi ya severity of words tu? Kwa nini nisiamini kwamba unaweza kuingia bungeni siku moja ukatupa diplomasia zote za kibunge na kuanza kubwabwaja ovyo?



Huyu bwana anatutangazia mapema kwamba hana mpango wa kuwa mbunge anayefuata diplomasia hata siku moja. Watu kama hawa ni hatari hasa katika uhusiano wa kimataifa. Lusinde anaweza kubwabwaja mambo yakaishaia ndani, akienda kubwabwaja huyu bunge la Afrika ya Mashariki akikutana na mpuuzi mwenzake anayemjibu ovyo nchi zinaweza kupigana vita.



Sijasema tujenge jumuiya unbalanced kwa sababu tunataka tuonekane tunajua diplomasia. Nionyeshe wapi nimesema hivyo. To the contrary nimekuuliza utateteaje interests za Tanzania katika jumuiya, una mkakati gani, hujajibu.

Nimekuuliza pros and cons za East African Federation kwa Tanzania. Hujajibu.

Una majibu?



Sijakuombwa uombe msamaha, unajishtukia.



Lugha yako haijakaa kujenga jumuiya, bali kuzuia. Unataka Jumuiya au hutaki? Utaweza kututajia pros and cons? Utaweza kututajia mkakati wako kuhakikisha watanzania hawapunjwi? Utaweza vipi kuwahakikishia Watanzania kwamba hutalipuka bungeni na kusababisha embarassment huku ukijifikiria unawatetea wananchi?



Ni mtu mwenye akili ndogo tu anayeweza kuona diplomasia kama weakness. Wenye upeo wanajua maana ya "mental jujitsu" za diplomasia ni nini.



Hizi kauli za ku dismiss diplomasia wakati unaenda kwenye chombo cha kidiplomasia ndizo zinahalalisha wanaosema wewe ni intellectual pigmy na hapa unapotaka kwenda si saizi yako.



Nimekuuliza open ended questions ambayo kama wewe una mkakati unapata uwanja wa kujimwaya. Tupe makakti wako.

- Well, mkuu punguza jzba zako na mimi, nitajibu maswali yanayohusu mada tu kama una mengine ya Lusinde naomba ufungulie mjadala wake, Taifa letu lina wabunge mnaowapigia kelele kwa sababu wewe huwezi kwenda kugombea, badala yake ni kukaaa kulia lia hapa nenda uchukue fomu na wewe ugombee uwaondoe hao wabunge!

- Otherwise, naona unaandika pumba sana mkuuu, maana unajifanya kujua kila kitu wakati hoja zako mwenyewe zinakuishitaki kwamba ni mtupu, I mean wananchi wanajadili EAC hapa wewe unaleta Lusinde jamani hawa Great Thinker wengine kweli ni Disaster in waiting! ha! ha! ha! ha!

William.
 
- Well, mkuu punguza jzba zako na mimi, nitajibu maswali yanayohusu mada tu kama una mengine ya Lusinde naomba ufungulie mjadala wake, Taifa letu lina wabunge mnaowapigia kelele kwa sababu wewe huwezi kwenda kugombea, badala yake ni kukaaa kulia lia hapa nenda uchukue fomu na wewe ugombee uwaondoe hao wabunge!

- Otherwise, naona unaandika pumba sana mkuuu, maana unajifanya kujua kila kitu wakati hoja zako mwenyewe zinakuishitaki kwamba ni mtupu, I mean wananchi wanajadili EAC hapa wewe unaleta Lusinde jamani hawa Great Thinker wengine kweli ni Disaster in waiting! ha! ha! ha! ha!

William.

Wewe uliyesema huamini katika diplomasia na Lusinde mna tofauti gani? Kimsingi mtizamo wenu ni mmoja tu, habari hii hii ya kutothamini diplomasia ndiyo iliyomuwezesha Lusinde kutukana jukwaani, kwa nini tuamini kwamba wewe hutafanya vituko kwa kufuatisha mkondo huo huo wa "kutothamini diplomasia"?

Hivi katika myopic wordview yako, baada ya watanzania kuwa embarrassed na Lusinde, leo tunasikia mtu mwingine anataka kuwa mbunge wetu EA, anasema hajali diplomasia kabisa na "katika historia hakuna diplomasia" (hujajibu historia gani) utawezaje kusema kwamba wananchi tukidai kuhakikishiwa kwamba mtu anayetaka kuwa mbunge hataenda kubwabwaja maneno ya kuanzisha vita huko bungeni tutakuwa tunaongea mambo yaliyo "out of context"?


Wewe ambaye unataka maswali yanayohusu mada mbona hujajibu maswali yaliyokwishaulizwa ya kuhusu pros and cons of EAF?

Nakuuliza mara ya tatu kama si zaidi kuhusu mkakati wako, mbona unajiumauma na sioni jibu hata la nutshell summation au point plan?
 
Kiranga...."mwache W. Malechela apumzike"......Nilimuuliza more or less the same issue kwen ile thread yake ya sala..kwamba zaidi ya hizo common rhetorics za ardhi, kenya kuvunja jumuiya, kuharakisha political federation na kadhalika, yeye ana kitu gani "unique" ambacho anaweza kutushawishi wapiga kura kumwamini na kumtuma atuwakilishe? Sijaona jibu..ni kama unavommuuliza maswali marahisi ya kututajia cons and prons au atupe basi strategy yake,,,,naona tunabakimkwen historia na diplomasia tu...
 
Wewe uliyesema huamini katika diplomasia na Lusinde mna tofauti gani?

Wewe ambaye unataka maswali yanayohusu mada mbona hujajibu maswali yaliyokwishaulizwa ya kuhusu pros and cons of EAF?

Nakuuliza mara ya tatu kama si zaidi kuhusu mkakati wako, mbona unajiumauma na sioni jibu hata la nutshell summation au point plan?

- Kujiuma uma ni kuleta Lusinde kwenye mjadala serious kwa Taifa kama huu, wakati JF ina Demokrasia inayokuruhusu kuanzisha mjadala wa Lusinde, sasa mjdala wa EAC unauliza Lusinde wananchi wenye akili timamu watajiuliza kama wewe ni mzima au kama kweli ni M-Tanzania kama sisi wengine, ndio maana sikujibu on your lines kwa sababu ukibishana na mjinga na wewe utaonekana mjinga sana especially, inapojadiliwa EAC mtu anakuja na Lusinde? ha1 ha! ha! ha! ha!

- I MEAN TALKING ABOUT DISASTER INWAITING!

William.
 
Kiranga...."mwache W. Malechela apumzike"......Nilimuuliza more or less the same issue kwen ile thread yake ya sala..kwamba zaidi ya hizo common rhetorics za ardhi, kenya kuvunja jumuiya, kuharakisha political federation na kadhalika, yeye ana kitu gani "unique" ambacho anaweza kutushawishi wapiga kura kumwamini na kumtuma atuwakilishe? Sijaona jibu..ni kama unavommuuliza maswali marahisi ya kututajia cons and prons au atupe basi strategy yake,,,,naona tunabakimkwen historia na diplomasia tu...

- Haya unaona wewe mwenyewe unasema kwenye Mada ya Sala, uliuliza maswali ya "kitu unique" ha! ha! ha! ha! ha! ha! jamani naaanza kuchoka kujibu this kind of comedy arguments maana ni waste of time kwa wasomaji hasa Great Thinkers!

William.
 
What are you disagreeing with mkuu, kuna opposing views zimeletwa katika thread hapa sasa kama hujaeleza una disagree na zipi unakuwa jujasema kitu.

Mleta Maada amenifurahisha sana. Ameuliza maswali ya Msingi sana ambayo na mimi nilikuwa nayo moja kwa moja baada ya kusikiliza Interview ya William. Kwa kweli point zake nyingi hazikuwa organised na sijasikia substance hata kidogo.

He didnt sound competent enough in Interview, and I would worry letting him as EALA MP
 
- Kujiuma uma ni kuleta Lusinde kwenye mjadala serious kwa Taifa kama huu, wakati JF ina Demokrasia inayokuruhusu kuanzisha mjadala wa Lusinde, sasa mjdala wa EAC unauliza Lusinde wananchi wenye akili timamu watajiuliza kama wewe ni mzima au kama kweli ni M-Tanzania kama sisi wengine, ndio maana sikujibu on your lines kwa sababu ukibishana na mjinga na wewe utaonekana mjinga sana especially, inapojadiliwa EAC mtu anakuja na Lusinde? ha1 ha! ha! ha! ha!

- I MEAN TALKING ABOUT DISASTER INWAITING!

William.

Mie sijamleta Lusinde humu.

Wewe kwa kusema hutaheshimu diplomasia ndiye uliyeanzisha u-Lusinde katika thread hii. Lusinde kimsingi matusi yake yote yametokana na kutoheshimu diplomasia na itifaki za uongozi.

Sasa wewe umesema hutaheshimu diplomasia, nikaona mule mule. Ikabidi nikuulize, usije kupewa uongozi watu wakasema hawakujua kumbe ushaanza kusema mapema hapa kwamba huna diplomasia.

Ndiyo maana nikakuuliza, utawahakikishiaje Watanzania kwamba hutaenda bungeni na kulipuka kama mtovu wa diplomasia mwenzako Lusinde?

Na zaidi ya yote, nimekupa maswali ya msingi yanayohusu EAF, hujayajibu, inaonekana huna majibu kama alivyosema mdau hapo juu.

Hata kuja na pros and cons za EAF tu kumekushinda unaenda kukalia mambo unayosema si ya msingi?

Umeshindwa kutoa point form strategy yako?

Halafu unataka watu wakuchukulie seriously?
 
- Great, isipokuwa mimi Uzalendo wangu ulikuwa enforced kwa 100% kutokana na kupitia JKT Mwaka mmoja kwa mujibu wa sheria ya taifa.

William.
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwa EAC, lakini la jkt sikubaliani maana mafisadi karibu wote wa leo wamepita jkt, na viongozi karibu wote wamepita jkt, labda nielimisha uzalendo unaongelea hapa wa kujivunia jkt nini?

Yawezekana kweli kwa 100% uzalendo wako umetokana na jkt, lakini wewe ni mmoja kati ya viongozi karibu wote, kwa hiyo wengine tunaona uzalendo unaotokana na jkt ni uzalendo-reciprocal

Ningefurahi kama kila kitu unachokiongelea ungekuwa unatoa vivid examples za pros na cons zake kama ulivyofanya kwenye eac ya 1977, tulivyoathirika.

Sipo kuki-criticize ila kueleweshana tu namna gani twende kama nakosea unanirekebisha twende namna hii.
 
Mleta Maada amenifurahisha sana. Ameuliza maswali ya Msingi sana ambayo na mimi nilikuwa nayo moja kwa moja baada ya kusikiliza Interview ya William. Kwa kweli point zake nyingi hazikuwa organised na sijasikia substance hata kidogo.

He didnt sound competent enough in Interview, and I would worry letting him as EALA MP

- Kulinganisha na mbunge yupi wa EAC unayemjua au uliyewahi kumsikia? I mean the whole interview was about msimamo wangu kuhusu EAC nimeurudia tena pale juu, incompetent kulinganisha na mbunge yupi mkuu? ha1 ha! ha! karibu sana mkuu, ingawa siamini mleta mada anaweza kupoteza muda wote huu kujadili interview ambayo ni incompetent, sasa hiyo inasema nini kuhusu uwezo wa mleta mada kufikiri? ha! ha!

- I mean I did the interview na I am proud of it, again wewe ni mtu mmoja against wengi sana hasa kutoka kwenye Diplomacy World waliofurahishwa sana na majibu yangu, so Demokrasia ni kukubali kutokubaliana au? ha! ha! ha! ha! ha!

William.
 
tumekuwa na mahusiano na china kwa muda mrefu toka enzi za mwalimu na tumefaidika sana na uhusiano huo bila kujenga federation, sioni haja wala faida ya kuwa na federation ya EAC, so namuunga ndg malecela kwa suala la EAC na nasema TO HELL WITH EAC FEDERATION
 
Mie sijamleta Lusinde humu.

Wewe kwa kusema hutaheshimu diplomasia ndiye uliyeanzisha u-Lusinde katika thread hii. Lusinde kimsingi matusi yake yote yametokana na kutoheshimu diplomasia na itifaki za uongozi.

Sasa wewe umesema hutaheshimu diplomasia, nikaona mule mule. Ikabidi nikuulize, usije kupewa uongozi watu wakasema hawakujua kumbe ushaanza kusema mapema hapa kwamba huna diplomasia.

Ndiyo maana nikakuuliza, utawahakikishiaje Watanzania kwamba hutaenda bungeni na kulipuka kama mtovu wa diplomasia mwenzako Lusinde?

Na zaidi ya yote, nimekupa maswali ya msingi yanayohusu EAF, hujayajibu, inaonekana huna majibu kama alivyosema mdau hapo juu.

Hata kuja na pros and cons za EAF tu kumekushinda unaenda kukalia mambo unayosema si ya msingi?

Umeshindwa kutoa point form strategy yako?

Halafu unataka watu wakuchukulie seriously?

- Well, again nitakwua mwenda wazimu nikijadili Lusinde kwenye mada ya EAC, eti unaongelea maneno ya kunichukulia serious? REALLY? yaaani baada ya kupita michakato yote niliyoipita kufikia hapa unasema kuna wa kuuliza kama nipo serious?

- Lets say wananchi watakuchukulia wewe kuwa ni more serious kuliko mimi kwa sababu unauliza Lusinde kwenye EAC, then kwa nini usije kuchukua fomu mkuu? ha! ha! ha1 ha! ha! I mean this is funnny now!

William.
 
Hivi William na Kiranga mna ki-beef labda ambacho wengine hatukijui?

- Mkuu wangu Nyani, mimi Mgombea Ubunge wa EAC niliyepitishwa na CC na Bunge la CCM niwe na bifu na mtu anayefikiri anaonyesha kua na akili sana kwa kujadili Lusinde kwenye mjadala wa EAC? Are you kidding me or what? ha! ha! ha! ha!

-HUJANITENDEA HAKI HAPO NYANI!

William.
 
Hivi William na Kiranga mna ki-beef labda ambacho wengine hatukijui?


Haha NN nadhani ni hoja tu, si u know how hot it can get

Sasa hivi W. Malecela keshaenda public sasa atuambie walau mikakati yake ..lakini wapi....
 
Haha NN nadhani ni hoja tu, si u know how hot it can get

Sasa hivi W. Malecela keshaenda public sasa atuambie walau mikakati yake ..lakini wapi....

- Siwezi kuongea mikakati kwenye mada ya msimamo kama the interview ilivyokuwa, nitakwua kama kichaa!

William.
 
- Well, again nitakwua mwenda wazimu nikijadili Lusinde kwenye mada ya EAC, eti unaongelea maneno ya kunichukulia serious? REALLY? yaaani baada ya kupita michakato yote niliyoipita kufikia hapa unasema kuna wa kuuliza kama nipo serious?

- Lets say wananchi watakuchukulia wewe kuwa ni more serious kuliko mimi kwa sababu unauliza Lusinde kwenye EAC, then kwa nini usije kuchukua fomu mkuu? ha! ha! ha1 ha! ha! I mean this is funnny now!

William.

Mpaka sasa,

1-Hujajitofautisha na mtu kama Lusinde, na kwa kurudua rudia kwamba huheshimu diplomasia, umehakikisha madai ya mtoa mada kwamba wewe ni "disaster waiting to happen".
2- Hujatupa pros and cons za EAF
3- Hujatupa strategy yako towards the EAF question, hata kama kwa muhtasari tu
4-Hujaonyesha uelewa kwamba si kila mtu anataka uongozi na kwamba kudai uongozi bora ni haki ya Mtanzania yeyote, hata yule asiyetaka uongozi.
5-Hujaonyesha uelewa kwamba kumjadili "Lusinde" ni swala kubwa kuliko Lusinde, ni swala linalohusika na mfumo wetu mzima wa kuchuja wanaotaka uongozi katika mchakato mzima wa kupata merit based leadership. Unaona swala la Lusinde halihusiani na EAC wakati mie naona linahusiana kwa sababu tunahitaji viongozi wanaothamini diplomasia, sio kama wewe na Lusinde ambao wote hamthamini diplomasia.
 
- Mkuu wangu Nyani, mimi Mgombea Ubunge wa EAC niliyepitishwa na CC na Bunge la CCM niwe na bifu na mtu anayefikiri anaonyesha kua na akili sana kwa kujadili Lusinde kwenye mjadala wa EAC? Are you kidding me or what? ha! ha! ha! ha!

-HUJANITENDEA HAKI HAPO NYANI!

William.

Oh my bad!

Natumaini wamekusikia na wata-stick kwenye hoja za EAC na siyo Lusinde.
 
Back
Top Bottom