Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
- Na by the way vipi umeshapita ofisi za bongo ukaona Wa-Kenya walivyojaaa? Je unaamini na kule Kenya tukienda tutakuta Wabongo wamejaa kwenye maofisi yao?
Respect!
FMES!
Mtizamo wangu si vizuri mtu kuwa na aliases (sio IDs) kibao.......
Hilo la Wakenya ni zaidi ya uwezo wetu....hata humu ndani TZ tu makabila yanazidiana....nenda Tunduma ukute Wachagga ni wangapi TRA....ni lazima tukubali jamii kwa jamii huzidiana maarifa....Nakuombe jaribu kwenda Moshi kutafuta shamba