- Ngongo nipo sana mkuu na heshima yako sana, ukweli ni kwamba Wananchi wengi hawajui hata kama kuna bunge la EAC, wacha hoja na ishus zenye utata huko, sasa swali linakuwa huko EAC tumekwua tukiwakilishwa na nani toka mwaka 1999 EAC ilipoanzishwa Rasmi na nchi tatu na 20007 baadaye zilipojiunga nchi zingine mbili?
- Sasa ukisoma hoja nyingi humu za kupinga Mkulu William kugombea kama akiamua kugombea, ni kumlinganisha na Mbunge gani wa huko EAC aliyewahi ku-raise any of these ishus za Ajira, Uchumi, na Forodha pamoja Siasa? Wananchi wa Tanzania wanahitaji kujua kila ishu ya huko EAC na interest yake wka Taifa lao, so ni lazima iwe moja ya mujibu wa Wabunge wetu tunaowapeleka huko, wapite wka wananchi na kuwaelimisha kuhusu EAC na pia hata kutafuta maoni ya wananchi kabla ya kuingia mikataba ya iana yoyote na members wengine wa EAC, ni more common sense kuliko matusi na kejeli ambazo hazina tija wka Taifa na wananchi, kwani wakati tunachafuana wenzetu wanapaiga plan za namna ya kufaidika na kuchafuana kwetu!
- Ningefurahi sana kusikia kuna member wa JF anayetaka kugombea nafasi ya uongozi wa Taifa maana yake ni moja tu kwamba JF ni strong instituion inayoweza kutoa Viongozi wa Taifa, lakini kukaa kuchafuana hapa tena kwa members wenyewe kwa wenyewe tunakuwa kama siasa za makundi zinazoikwamisha taifa letu, I mean JF anaposimama kutafuta uongozi tunatakiwa kumpa support kwa sababu kuingia kwake ni kuingia kwetu wote hapa, sometimes tujifunze kuangalia big picture people badala ya Short terms interests!
MUCH RESPECT!
FMes!