Kaka, mbona unatuangusha. Hauniangushi mimi, bali unaliangusha taifa zima. Unaangusha chama chako, unamuangusha, mkeo wanao pamoja na familia. Ni bor autabumbue kwamba unapigana na kivuli chako mwenyewe. Watu wanakuchora na wengi wataanza kujiuliza kuhusiana na afya yako hasa akili. Fanya hima mkuu haya mambo uachane nayo. hayana tija.
Jaribu kuweka mikakati ya kujijengea heshima katika jamii. Kwani ukinyamaza watakulazimisha kuongea. Najua una mengi moyoni na akilini, ila unavyozidi ugomvi mtandaoni ndivyo mengi mazuri uliyonayo yanavyozidi kupukutika. Unapojaribu kuwa kiongozi, unakuwa kioo cha jamii. Jioni wewe kama kioo ambacho vijana wengi wadogo humu wanatumia kujitazama mapungufu yako. Tafadhali hachana na huu upuuzi. Wengine tuna mengi na tumenyamaza hadi hapa ni vyema utafakari kwamba umefika mbali
Asante
Lumato
- Lumato, naomba nijaribu kukuelewa as I can, kwanza nilikuw nieamua kukuacha lakini kuna kitu kimefanya na somebody kwenye post yako ndio kimenifanya nikujibu,
1. Kwanza unasema nimekuangusha wewe na taifa, how? Unasema anaposhambuliwa member wa hapa JF kwa matusi ya nguoni na majungu, eti ninakuelew avizuri kwamba wengine wote tunatakiwa kunyamaza maana kurekebisha ukweli ni kujishusha hadhi? Really? Wewe Lumato na mimi FMES sasa tunamuangusha nani na majina yetu ya bandia?
2. And then unaongelea mke na watoto wangu, FMES wewe unawajua toka lini? I mean unasema kwa haya wewe unajijengeea heshima katika jamii? mimi sikujui na wala mke wako simjui lakini nitajijenge heshima kwa kukubali what matusi anayotukanwa the person I know kuwa ni uongo mtupu wakati najua anayemtukana ndiye mwenye matatizo mpaka shungoni unasema kwa kujibu ukweli ninajivua heshima? So be it JF unasema tuajivua heshima kwenye jamii kwa kukemea maovu ya Viongozi? Unasema haya hayana tija lakini umeandika a looong article just bto deal na something wiht no tija? REally?
3. FMES unasema ni kiooo cha jamii na kwamba kwa kumtetea mtu ninayejua anachafuliwa bure hapa ninakuwa mjinga na kwamba ninajishusha hahdhi? ha! ha! ha! Brother tupo hapa JF kukosoa Taifa kwa facts, evidence na dataz ndivyo tulivyoanza hapa JF, hivi majuzi nilikutana na RO he had a lot to say na how we used to be, sio sasa matusi mengi na majungu, tuliposhambulia Richmond, IPTL, MEREMETA, na mengineyo tulikuwa na facts, datz, evidence sio majungu na matusi, sasa wewe unasema kujibu matusi yenye uo0ngo na majungu ni kujishusha hahdi na heshima?
4. Unashauri ninyamaze, kwa nini hushauri JF inyamaze ili tuwe na heshima kwenye jamiii? Mitandaoni hakuna ugomvi, hapa tuna hoja, na viroja na ni lazima yote yajibiwe iwapo kuna wenye ukweli kutofautisha facts na majungu, huu uliokufanya uuuandikie all this big post sio upuuuzi kama unavyosema, kubali nia na madhumuni ya kuona member mwenzetu anachafuliwa imekwama na sasa unajaribu kuatfuta maneno ya sympathy na wengine humu kwa kujifanya msamaria mwema sana ukiwa unasahau how long we have been here in this game!
- Ninachokijua kuwa ni ukweli sijawahi hata siku moja kunyamaza eti ili nijijengee heshima na jamii, siku zote huwa ninasimama na kusema wazi ukweli na kuuweka wazi uongo ulipo, ninasema tena na tena majungu na uongo hapa kwangu hayana nafasi, wote tuna mapungufu lakini sio ya kulazimishana kwa nguvu ni fair kabisa kumfungua yoyote yule anayetukana wengine yaani wanajamiii bila sababu za msingi,
Again ninaomba nikuhahakikishie kwa Miungu yangu yoe kwamba tokea jana nimeamua kulivalia njuga hili la matusi humu, kuna siku nilikutana na wabunge kina mama, it was very embarrassing hata kujisema mimi ni member hapa kutokna na waliyoniambia, ninasema sasa nipo hapa bongo ambako everyhting is possible, nikiona matusi kwa mtu anaonewa au yoyote akinililia kutukanwa hapa bila sababu as they do, nitatumia kila ninalolijua kuhakikisha ninamtafuta yule mtukanaji na kumpa haki yule anyetukanwa bila sababu, hiyo sio kazi ya JF ni kazi ya wananchi wasiopendezewa kama mimi na wengine wengi jana nilikutana nao pale City Garden abnd believe I mean what I say kama kwa kutetea wanaotukanwa bila sababu ninajishusha hadhi na heshima so be it!
Otherwise, mimi FMES sigombei anything wala sina mpango wa kugombea anything will always remain Wazee Wa sauti ya umeme!
UWE NA SIKU NJEMA NA kumbuka sikutaka kukujibu lakini nimeona agenda kwenye post yako kuwa modified na mkono wa mmtu flani hivi ha! ha! ha! ha! ndio nikaamua kukujibu, sitanyamaza hata siku moja, Viongozi wakikosea nitasema kama kawa na wananchi hapa wakikosea nitasme kama nilivyofANYA KWENYE HII THREAD kama wewe ni kiranja au unatumiwa na watu kuchafua watu humu karibu sana ila,be ready cause utachafulwia pia!
Es!