Yombayomba
JF-Expert Member
- Aug 23, 2006
- 818
- 214
Nyepesi nyepesi zilizotanta mitaa ya Mvumi, Mtera, Tegeta na Upanga ni kuwa baharia Mzee sauti ya umeme aka bwana William J. Malecela anajiandaa kugombea ubunge wa afrika mashariki kupitia No 1.
Mkuu kuna sehemu nawahi niatakuunga mkono baadae, hili jamaa ni kubwa kiumri lakini bure kabisa!Yaani CCM ndio mtadhihirisha kuwa nyie ni bomu kabisa...huyu jamaa hayuko sawa,sijui nyie uwa mnamuonaje.Tembelea profile yake ya facebook ndio utajua naongea nini...kazi yake ni sifa za kijinga kijinga mno.Mara you know,you know nyiiiingi.Sidhani kama atafanikiwa kupata hata kura moja.Mimi namshauri kama kweli ana nia hiyo aweke pembeni kabisa,yeye zake sifa na asijaribu siasa.
Mkuu kuna sehemu nawahi niatakuunga mkono baadae, hili jamaa ni kubwa kiumri lakini bure kabisa!
WaTZ ndio nchi pekee ambayo kila mwananchi anazaliwa na kipaji cha siasa.
Wabunge wa bongo:-
waganga,waimba kwaya,waimba taarabu,mabaharia...! hii nchi bure kabisa.
..Hussein Bashe naye nasikia anataka kwenda kwenye bunge la EAC!!
..wa-Tanzania tunatakiwa kupeleka "the cream of the cream" ktk bunge la EAC.
..kuna mambo mazito yanajadiliwa na kuamuliwa huko na ni vizuri tukapeleka wasomi, tena wale makini kwelikweli.
WaTZ ndio nchi pekee ambayo kila mwananchi anazaliwa na kipaji cha siasa.
Wabunge wa bongo:-
waganga,waimba kwaya,waimba taarabu,mabaharia...! hii nchi bure kabisa.
Yaani CCM ndio mtadhihirisha kuwa nyie ni bomu kabisa...huyu jamaa hayuko sawa,sijui nyie uwa mnamuonaje.Tembelea profile yake ya facebook ndio utajua naongea nini...kazi yake ni sifa za kijinga kijinga mno.Mara you know,you know nyiiiingi.Sidhani kama atafanikiwa kupata hata kura moja.Mimi namshauri kama kweli ana nia hiyo aweke pembeni kabisa,yeye zake sifa na asijaribu siasa.
mijadala gani anayoweza changia?labda kuisifia Fm Academia.salaam,
kama kutakuwa na ukweli kwenye hili,ukizingatia exposure anayoonekana kuwa nayo kimataifa,may be ataweza kutusaidia kwenye mijadala ya bunge hilo kwa upana zaidi .
Mkuu kuna sehemu nawahi niatakuunga mkono baadae, hili jamaa ni kubwa kiumri lakini bure kabisa!