Yombayomba
JF-Expert Member
- Aug 23, 2006
- 818
- 214
- Thread starter
- #21
Wayameni Mb wa viti maalumu kupitia Chadema Mh. Leticia Nyerere ndo inasemekana anaratibu kampeni ze mutuz, baharia, @NY.com, sauti ya umeme kuwania ubunge wa EAC, akisaidiana na mama Anna Kilango.
Kwa mama Kilango inaeleweka, ze mutus sasa hivi ni mzigo mkubwa kwa familia, wadadisi wa siasa ndo wanajiuliza with all the people Leticia Nyerere kulikoni?
Kwa mama Kilango inaeleweka, ze mutus sasa hivi ni mzigo mkubwa kwa familia, wadadisi wa siasa ndo wanajiuliza with all the people Leticia Nyerere kulikoni?