William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

Wayameni Mb wa viti maalumu kupitia Chadema Mh. Leticia Nyerere ndo inasemekana anaratibu kampeni ze mutuz, baharia, @NY.com, sauti ya umeme kuwania ubunge wa EAC, akisaidiana na mama Anna Kilango.

Kwa mama Kilango inaeleweka, ze mutus sasa hivi ni mzigo mkubwa kwa familia, wadadisi wa siasa ndo wanajiuliza with all the people Leticia Nyerere kulikoni?
 
Nadhani sasa ni wakati wa wanaArumeru kufanya chaguzi wa kweli,kweli ubunge arumeru ndo iwe ya kurithiana?
 
Mkuu kuna sehemu nawahi niatakuunga mkono baadae, hili jamaa ni kubwa kiumri lakini bure kabisa!
Asante mkuu tuko pamoja, ban yangu niliipata kutoka kwa SuperMan baada ya kumkosoa hadharani kuhusu dosari za shindano lake, anyway wacha maisha yaendelee, nimejifunza kuwapotezea tu watu wengine.....
 
Hivi hilo lijamaa lina umri gani sasa hivi'halafu jamaa kilaza kweli hivi alishindwa kuja ku invest kwenye biashara anahangaika na siasa za bongo?sasa miaka yote newyork analeta siasa??wabongo bana!
Clowns show with mediocre in night circus. Liangalie jingas lingine hili.
[h=6]Nape Nnauye
[/h][h=6]Nikipiga drums na vijana wa Twanga leo, Msafiri Diouf akiimba...... Kazi na dawa!!![/h]
 
msanii wa ukweli!
Huyu kwenye siasa ni mganga njaa tu ana shughuli nyingine zinazomfaa, maana hata baba yake alikuwa ni mpiga kinanda.
15.JPG 13.JPG
 
Wakuu naomba mwenye kusema Taizo la Willium Malecela ni nini hasa? Tujenge tabia ya kum-judge mtu kutokana na hoja/mtazamo wake towards Tanzania's Position in EAC.Haya mambo mengine madogo madogo yanaweza kuwa majungu na chuki tu unnecessarily!
 
Nyepesi nyepesi zilizotanta mitaa ya Mvumi, Mtera, Tegeta na Upanga ni kuwa baharia Mzee sauti ya umeme aka bwana William J. Malecela anajiandaa kugombea ubunge wa afrika mashariki kupitia No 1.


The best he can do to utilize what he was doing in USA is to contest for Parliamentary seat? Let give him General Tyre or Kilimanjaro machine tools to prove his elite instead of member of parliament.
 
Kwani ile meli ya samaki iliyotaifishwa imeshapata mabaharia?si aende huko wakampe unahodha?
 
Wakuu naomba mwenye kusema Taizo la Willium Malecela ni nini hasa? Tujenge tabia ya kum-judge mtu kutokana na hoja/mtazamo wake towards Tanzania's Position in EAC.Haya mambo mengine madogo madogo yanaweza kuwa majungu na chuki tu unnecessarily!

- Mkuu Ben heshima mbele sana bro, maneno mazito angalau una-prove kwamba sio wananchi wote humu JF wanafikirishwa kama bendera, yaani kuna uhuru wa kufikiri hapa sio watu wanaendeshwa kama upepo wa bendera,

-HOWEVER: Talking about EAC, ni muhimu sana tukapeleka Mbunge ambaye atawaamsha wananchi wa Tanzania kwamba kuna hili bunge kwani wengi inaonekana hawajui kuwepo kwa bunge hilo, na ishu muhimu zinazolikabili bunge hilo kama Ardhi, Ajira, Sarafu Moja na Uchumi kwa ujumla!

- Tunataka Mbunge atakayesimamia haki za Taifa letu ndani ya EAC kwa nguvu zote, na pia awe mjasiri anayeweza kusimama kidete na kusema wazi kwamba Wa-Kenya wengi mno hapa kwenye Ajira zetu hapa Tanzania je na huko Kenya sisi tunazo ajira kama wao walivyo hapa kwetu? Kama sio why? wakati mkataba wa EAC unaruhusu kuwepo na balance on the ishu?

- Tunataka Mbunge atakayeweka wazi kwa wananchi wetu ni kwa nini Jumuiya ya kwanza ilivunjika? Je zile sabab u hazipo sasa ambapo mojawapo ilikuwa Uchumi wa Taifa ambao ulikuwa haufanani between members states, je sasa unafanana?

- Tunataka Mbunge atakayetuam sha wananchi wa Tanzania on hatari za kuwa na sarafu moja huku tukiwa hatufanani kiuchumi kwam,ba ndio maana Greece ipo matatizoni, lakini Switzerland haipo matatizoni ni kwa sababu uchumi wa Greece haukuwa strong enough ku merge na uchumi wa matatifa mengine ya EU, sasa ni matatizo ya Greece na EU kwa ujumla, je Tanzania kwa kuingia kwenye sarafu moja EAC hatutajikuta tumekuwa kama Greece?

I mean Tanzania tunahitaji kuwa makini sana na huu umoja kwa sababu ulipovunjika ule wa kwanza sisi ndio tulioumia sana kuliko wengine wote, this time around tuwe makini na ndio maana tunahitaji kuepeleka wabunge wenye uwezo na wenye ujasiri wa kusimamia ukweli na hasa interest ya taifa letu! Facebook ni Social Network mahali pa members wake ku-share picha zao na maisha yao ya kila siku Vion gozi wakuu wa Dunia kama Obama na Putin wapo kule wakisema maisha yao ya kila siku na bado ni Viongozi wa Dunia, kwamba Facebook ndio inaweza kwua kipimo cha uwezo wa uongozi wa taifa letu! nafikiri ni overeaching na kutokwenda na wakati, Mungu anasema kuna wakati wa kila kitu, yaani wa kucheka na kulia, wakati wa Mvua na Kiangazi na kwenye maisha ni hivyo hivyo kuna wakati wa kila kitu, kuna wakati wa Social Life kule Facebook na kuna wakati wa Hoja wka Taifa na wananchi yaani huku JF, mtu akija huku JF akaleta mambo ya Ngwasumaa huyo hafai kuwa kiongozi ay kukosoa anything kwenye uongozi, tujifunze kuweka mambo yanapotakiwa!

- Maisha ya binafsi hayana anything to do na uwezo wa binadam kuongoza ndio maana Clinton ni the best ever President wa USA, ndio maana Edgar Hooover ni the best FBI Director US ever had, lakini ukitizama maisha yao ya binafsi hayafanani kabisa na uwezo wa juu sana wa kuongoza, JF tufike mahali turudie zile zama zetu za kukata ishu kiroho mbaya na kwa facts pamoja na Dataz, what happenend sasa tumeanza kuwa na maneno mengi empty bila hoja? Ungetegema hili taifa tumejifunza matatizo ya kuwa na Viongozi wasiokuwa na Social Life lakini kumbe bado kabisaa inasikitisha sana kwamba mtu anaweza kuamini kwamba Obama kuzungumzia Vacation yake Facebook akama anvyofanya mara kwa mara ni kujivuna, au kutafuta sifa, I mean Facebook sasa ni number one money getter kwenye Stock Exchange na Money Market za Dunia, haiwezi kuwa inaongozwa na wahuni au inamilikiwa na wahuni, hapana ni mahali pa watu wenye akili na inamilikiwa na watu wenye akili, sometimes tunakwenda mbali sana kwenye ku-confess chuki zetu kwa wananchi tusiwajua tena kwa kutumia viwango tusivyovijua kama Facebook!


HESHIMA MBELE WATU WOTE!


FMES!
 
..Hussein Bashe naye nasikia anataka kwenda kwenye bunge la EAC!!

..wa-Tanzania tunatakiwa kupeleka "the cream of the cream" ktk bunge la EAC.

..kuna mambo mazito yanajadiliwa na kuamuliwa huko na ni vizuri tukapeleka wasomi, tena wale makini kwelikweli.

nakubaliana na wewe; kuiwakilisha Tanzania kwenye Bunge la Afrika ya Mashariki siyo jambo la kuchukulia mzaha mzaha. Kwa sasa hivi Tanzania inawakilishwa na wababaishaji tu; baadhi yao wakiwa na udakatari wa kununua ambapo hawawezi hata kujenga hoja ya nguvu katika kutetea taifa. Wako pale ili kushibisha matwaka yao zaidi ya matakwa ya taifa.

Nafazi hizo ni muhimu sana kuwa zinapewa na watu wenye mwono wa mbali zaidi wa kitaifa.
 
Wanahtajika watu makini na wenye uwezo . Profesa Baregu na Dokta Kitila Mkumbo wako wapi? Jamani? Hao wanaweza ku2saidia sana...
 
Mwalimu Kichuguu,

- Heshima yako sana, uko very right inasikitisha sana kwamba toka EAC ianzishwe Mwaka 1999 mpaka leo hatujawahi kusikia Mbunge wetu yoyote wa huko akilia kuhusu ajira, pitia maofisi yetu hapa DSM mengi yamejaaa Wakenya, kutokana na moja ya makubaliano ya EAC, sasa ninajiuliza swali moja kwamba ni kweli tukienda Kenya tutakuta ni the same kwamba Wa-Tanzania wengi wapo kwenye ajira zao?

- I mean sio siri kwamba Nchi zingine zote za Jumuiya zina matatizo ya ardhi, kwa maana ya kwamba hawana ardhi kwa sababu yote waliyonayo imegawiwa tayari, sasa unaponazisha muungano ambao utakwua na Free movemment kwa wananchi wote wa EAC mbona kama kuna hatari ya ardhi yetu kuporwa? Sasa kwa nini hatujawahi kuwasikia wabunge wetu huko wakilia au kupiga kelele?

- Halafu ni kweli Tanzania tumetafakari ipasavyo kwa utaffiti wa kisayansi kwamba matatizo yaliyosababisha EAC kuvunjika in the first place, this time around haitakua the ishu tena?


I mean kuna ishu nyingi sana huko EAC zinazohitaji umakini na ujasiri, sasa kama tutajadili wanaotaka kwenda huko kutuwakilisha tuangalie uwezo na sio majina, unless kuna Mbunge mmoja tunayemjua aliyewahi kwenda huko EAC akapiga kelele sana kwamba kuna unbalanced ishus huko ambaoz zinahitaji Taifa na Wananchi kuzijua, ukweli ni kwamba hatujawahi kusikia hata siku moja, sasa tunasemaje fulani anafaa au hafai iwapo hata ishus za huko hatuziju? Sio siri kwamba hata Wananchi wengi hawajui kama hilo Bunge lipo, that is sad! Mpaka tutakapoamka usingizini Nchi za jirani zitaendelea kutuchezea na this kind of Jumuiya, na ni mpaka pale tutakapo-unite kama Taifa na kusimama kidete on our interest WA-Kenya wataendelea kuchukua ajira zetu, sisi tumebaki kuchafuana tu!

People tunahitaji kuamka sasa na tupeleke Wabunge wenye uwezo huko EAC, sio majina na hadithi za alfulela ulela ambazo ndio zinatukwamisha hili taifa, wewe kweli kwenye Taifa kama letu leo 2015 tuna Madaktari wanaogoma wka sababu ya kutaka Waziri ajiuzulu, ndio siasa za majina hizo na majitaka sio kujenga Instituion na Policies no badala yake tumekalia kutafutana tafutana uchawi, badala ya kujenga Taifa based on Policies ambazo Waziri akitoka au awepo isiwe tatizo sisi tumekalia majina, wakitoka na System ina-collapse, tizama Keenja alipotoka tu City akaondoka na City nzima maana yeye ndiye aliyekwua the System, jamani tujifunze na tujirekebishe tuache siasa za majitaka na majina!


MUCH RESPECT PEOPLE!

FMES!
 
''Dirisha hili hapa walilivunja'' alisema kiongozi wetu mbele ya waandishi wa habari. Sijui lilivunjika wapi....trust these politicians especially from CCM!!!!


WAZIRI+MALIMA+KWENYE+KANZU..JPG
 
Mwalimu Kichuguu,

- Heshima yako sana, uko very right inasikitisha sana kwamba toka EAC ianzishwe Mwaka 1999 mpaka leo hatujawahi kusikia Mbunge wetu yoyote wa huko akilia kuhusu ajira, pitia maofisi yetu hapa DSM mengi yamejaaa Wakenya, kutokana na moja ya makubaliano ya EAC, sasa ninajiuliza swali moja kwamba ni kweli tukienda Kenya tutakuta ni the same kwamba Wa-Tanzania wengi wapo kwenye ajira zao?

- I mean sio siri kwamba Nchi zingine zote za Jumuiya zina matatizo ya ardhi, kwa maana ya kwamba hawana ardhi kwa sababu yote waliyonayo imegawiwa tayari, sasa unaponazisha muungano ambao utakwua na Free movemment kwa wananchi wote wa EAC mbona kama kuna hatari ya ardhi yetu kuporwa? Sasa kwa nini hatujawahi kuwasikia wabunge wetu huko wakilia au kupiga kelele?

- Halafu ni kweli Tanzania tumetafakari ipasavyo kwa utaffiti wa kisayansi kwamba matatizo yaliyosababisha EAC kuvunjika in the first place, this time around haitakua the ishu tena?


I mean kuna ishu nyingi sana huko EAC zinazohitaji umakini na ujasiri, sasa kama tutajadili wanaotaka kwenda huko kutuwakilisha tuangalie uwezo na sio majina, unless kuna Mbunge mmoja tunayemjua aliyewahi kwenda huko EAC akapiga kelele sana kwamba kuna unbalanced ishus huko ambaoz zinahitaji Taifa na Wananchi kuzijua, ukweli ni kwamba hatujawahi kusikia hata siku moja, sasa tunasemaje fulani anafaa au hafai iwapo hata ishus za huko hatuziju? Sio siri kwamba hata Wananchi wengi hawajui kama hilo Bunge lipo, that is sad! Mpaka tutakapoamka usingizini Nchi za jirani zitaendelea kutuchezea na this kind of Jumuiya, na ni mpaka pale tutakapo-unite kama Taifa na kusimama kidete on our interest WA-Kenya wataendelea kuchukua ajira zetu, sisi tumebaki kuchafuana tu!

People tunahitaji kuamka sasa na tupeleke Wabunge wenye uwezo huko EAC, sio majina na hadithi za alfulela ulela ambazo ndio zinatukwamisha hili taifa, wewe kweli kwenye Taifa kama letu leo 2015 tuna Madaktari wanaogoma wka sababu ya kutaka Waziri ajiuzulu, ndio siasa za majina hizo na majitaka sio kujenga Instituion na Policies no badala yake tumekalia kutafutana tafutana uchawi, badala ya kujenga Taifa based on Policies ambazo Waziri akitoka au awepo isiwe tatizo sisi tumekalia majina, wakitoka na System ina-collapse, tizama Keenja alipotoka tu City akaondoka na City nzima maana yeye ndiye aliyekwua the System, jamani tujifunze na tujirekebishe tuache siasa za majitaka na majina!


MUCH RESPECT PEOPLE!

FMES!

Hivi huyu ni pacha wa @ New York? maana uandishi na aina ya maneno na utetezi unaonesha ni mtu yuleyule, kinachonishangaza ID hii ilikuwa kimya muda mrefu imekuja kuibukia kwenye utetezi huu!!
 
- Safari Safari, kama majina ndio kipimo cha uwezo wa binadam kufikiri basi JF tusingekwua tulipo kwenye chati ya juu kwenye Taifa, maana siamini kwamba majina mengi humu yana maana, lakini muhimu ni hoja kwanza sio jina!

- Na by the way vipi umeshapita ofisi za bongo ukaona Wa-Kenya walivyojaaa? Je unaamini na kule Kenya tukienda tutakuta Wabongo wamejaa kwenye maofisi yao?

Respect!

FMES!
 
- Matola muhimu ni hoja, it does not matter nani anasema na nani hasemi na muda gani amekuwepo na hakuwepo, hoja mkuu wangu vipi unakubali Tanzania tuingie kwenye Sarafu moja na Kenya na Uganda? Nini faida na hasara zake je wabunge tulionao huko wanajua hili? Au sisi wanannchi tunajua haya kwamba Greeece imeingia matatizo ya ajabu kwa sababu kama hii ya Sarafu moja kwenye Jumuiya?

- Kama ni michango hapa wewe unajua how much I have worked my back kwenye huu uwanja, muhimu ni hoja sio nani amesema hoja!


Otherwise, heshima mbele sana bro!

Es!
 
Back
Top Bottom