Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

Hili nakubaliana na wewe kuna wakati niliishi tabata, tabata nayo ikaanza kuharibiwa hasa tabata ilivogeuka uwanja wa starehe nikaona niokoe kizazi changu nikahamia kinyerezi miaka kadhaa mpaka nilipomaliza kujenga kwangu kibamba. Naambiwa pale tabata ushoga siku hizi kama magomeni tu
Maisha ya DAR sio maisha kabisaa!!
 
Kinondoni wanajiachia kabisa mambo kwa ushahidi lakini ajabu temeke ndiyo kinara 😆😆maana kuna ulakini na njia zao za kuzopata taarifa, hizi takwimu vitu vingi haijazingatiwa hata kama ni cooked data nani ana prove kuwa ni uhalisia? na hivi watanzania ni wavivu kujisomea ! au tafiti mkeletewa mnayachukua kama yalivyo yani ni kama tu hile tume tu uliyoagizwa kuchunguza yaliyotokea kipindi cha uchaguzi
Labda wanatoka TMK wanakuja kino Kujiachia
 
Nenda kule Tandale, manzese, Kinondoni, Mtongani ya temeke mpaka mbagala kaangalie vijana wanaojihusisha mashoga ni dini ipi. Kisha turudi kwenye mjadala.
Makumbusho tu hapo vijana wengi wanaliwa
Sinza napo balaa
Wenyewe wanakuambia machk wana grade
Sasa watu kama wakina anko t,j.lokole Dr nani sijuwi
Wamepewa airtime watu wanawafatilia wanavutia na maisha yao lazima waingie huko

Ova
 
Hili nakubaliana na wewe kuna wakati niliishi tabata, tabata nayo ikaanza kuharibiwa hasa tabata ilivogeuka uwanja wa starehe nikaona niokoe kizazi changu nikahamia kinyerezi miaka kadhaa mpaka nilipomaliza kujenga kwangu kibamba. Naambiwa pale tabata ushoga siku hizi kama magomeni tu
Mkuu sasa unakimbia mpaka lini? Nasikia na kibamba umepigwa hodi, utahama Chalinze?🤣🤣
 
Back
Top Bottom