binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,388
- 41,812
😅 Sidhani kama ni suala la ubishani nani anatokea wapi na nani anatokea wapi.Hao mashoga wa temeke wanatokea kinondoni
Mje na data muwapinge.
😅 Sidhani kama ni suala la ubishani nani anatokea wapi na nani anatokea wapi.Hao mashoga wa temeke wanatokea kinondoni
Usagaji sio big ishuHawajasema wanawake wanaoshiriki usagaji?
Hawajawahesabu mchicha mwiba naona!Kitaifa, idadi ya wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja nchini Tanzania inakadiriwa kufikia 37,229 ifikapo mwaka 2025.
2025 tena tunarud nyuma?
Kwa nini usagaji sio ishu kubwa ?Usagaji sio big ishu
Hili nakubaliana na wewe kuna wakati niliishi tabata, tabata nayo ikaanza kuharibiwa hasa tabata ilivogeuka uwanja wa starehe nikaona niokoe kizazi changu nikahamia kinyerezi miaka kadhaa mpaka nilipomaliza kujenga kwangu kibamba. Naambiwa pale tabata ushoga siku hizi kama magomeni tuNimezaliwa kinondoni nimesoma kinondoni sijaona sehemu yenye ushoga kama kinondoni, sidhani kama temeke IPO kwenye peak ya ushoga kiasi hiki.
Kinondoni sio sehemu ya kulea watoto ndiyo maana nilihamia chamazi
Ukaribu wa wanawake unaweza kutambulika kama urafiki kuliko wanaume.Kwa nini usagaji sio ishu kubwa ?
Kinondoni hawawezi kuzidiwa na wilaya yeyote Daslm uchafu mwingi upo hapo..Kinondoni wanajiachia kabisa mambo kwa ushahidi lakini ajabu temeke ndiyo kinara 😆😆maana kuna ulakini na njia zao za kuzopata taarifa, hizi takwimu vitu vingi haijazingatiwa hata kama ni cooked data nani ana prove kuwa ni uhalisia na hivi watanzania ni wavivu kujisomea au kutafuti mkeletewa majibu mnayachukua kama yalivyo ni kama hile tume tu uliyoagizwa kuchunguza yaliyotokea kipindi cha uchaguzi
Wewe unajua😁😁😁 bora useme kino na viunga vyake ni hatari na miaka nenda rudi hiyo biashara imeanzia pale kwengibe wameigaKinondoni hawawezi kuzidiwa na wilaya yeyote Daslm uchafu mwingi upo hapo..
Laki 5?? Kweli pamechangamka37000???hizo takwimu fake watu wanapigana miti sio poa nahisi hata laki tano wanafika
Kino usiku ndio unageuka mchana wapo watu mwezi mzima wapo ndani ila usiku wanakesha nje huko Temeke maeneo ya kukesha machache sana..Wewe unajua😁😁😁 bora useme kino na viunga vyake ni hatari na miaka nenda rudi hiyo biashara imeanzia pale kwengibe wameiga
Sio madawa ya kulevya sio ushoga sio umalaya😁😁😁😁 watu wazito wapo hapo madelears wa madawa wapo hapo uniambie anasa ya ushoga usiongoze😁😁Kinondoni hawawezi kuzidiwa na wilaya yeyote Daslm uchafu mwingi upo hapo..
Ni kweli, sema hakuna changamoto kubwa kama kuwa na uhusiano na msagaji narudia hakuna changamoto kubwa sana kama kuwa na uhusiano na msagaji mbaya zaidi usiwe na uelewa kama alikuwa hivyo.Ukaribu wa wanawake unaweza kutambulika kama urafiki kuliko wanaume.
Mfano; Wanawake wawili wakibusiana na wanaume wakibusiana. Utawahi kujudge kina nani?
Ni rahisi msagaji kurudi kua mwanamke kamili na kujenga familia kuliko mashoga.
Changamoto ni zipiNi kweli, sema hakuna changamoto kubwa kama kuwa na uhusiano na msagaji narudia hakuna changamoto kubwa sana kama kuwa na uhusiano na msagaji mbaya zaidi usiwe na uelewa kama alikuwa hivyo.
Swala sio udini swala ni la kimataifa vizazi vingi vineharibika enzi na enzi sababu zipo nyingi ni utandawazi,mikumbo so hili janga linamvamia yoyote alikuwepo vurnalable lakini sio dini ndiyo kichocheo no tusifanye hivyo,dini na imani zetu zemasaidia sana kupunguza wimbo la ushoga kwa kusambaza na kuhubiri neno la MunguSasa wale wanaosema Dini fulani ndio ya mashoga. Wachukue hizo takwimu wakaangalie dini ipi inakimbiza.
Ni ngumu kuyaeleza hapa ila kama huna akili ya kiume unaweza ukaishia kujidharau mwenyewe.Changamoto ni zipi