Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,594
- 53,375
It simple mkuu cheki tafiti mwanamke hulizika zaidi na mpapaso ukimalizia na pentration unakua umemaliza haja zake,so kama ni msagaji swali kubwa linalokujia ni kwamba mpapaso humfikisha lakini wewe una advantege ya kupenetrate i think hao huwa wanalizika zaidi akikutana na mwanaume, na ndiyo maana huwa hawafanyi mpapaso tu huwa wanatumia na vifaa maalumu kuongeza farajaKimsingi ili umridhishe ni lazima umtimizie kama ambavyo alikuwa anafanya otherwise wakati wa tendo atajikuta tu anajiongeza mwenyewe (kujichezea tena sanaa) sasa ole wako uwahi kumaliza atakuja kukuona kero tu mtaachana tu kuna vitu kuviacha si rahisi kama watu wanavyotaka kuamini.
Yote ya yote usagaji na ushoga ni katazo na chukizo toka kwa mwenyezi Mungu ni kukiendekeza siwezi kuacha akili za kishetani