DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Fungua pazia la wikileaks uone kilichopo nyuma yake. Nafikiri USA wamesoma udhaifu wetu na sasa wameanza kazi yao. Kumbuka raisi wetu alikuwa wa kwanza kwenda kumuona Obama, 2009. Haya mambo yamefanyika kabla ya hapo, je kuna nini sasa?
Hata Baba wa Taifa Nyerere alikuwa wa Kwanza kwenda kumuona Jimmy Carter Mwaka 1977