sio mkeo tu, wengi tu na marafiki, madada, mashemeji mpaka watu unaowaheshimu ambao unajua ni GT
Ukiwauliza evidence iko wapi.......
'Gwajima na Mange wamesema
' !!!! seriously
Tungekuwa marefarii na kukaa kati kati, tungelazimisha Gwajima avionyeshe...lakini wapi, same man aliyesema atamfufua Amina chifupa!!!
Nasema sawa, lakini kwa dunia hii huyo aliyeuza cheti yuko wapi?? hakuendelea na masomo mwaka 2000 na hiyo div 3 wakati huo ilikuwa so hot....kama aliendelea na shule alitumia jina gani?? hakuna mwenye jibu
Kuna serious problem with our society , CCM wameharibu mpaka ufikiri wa kizazi hiki, si wasomi si wasiosoma!!
kikubwa kuna chuki kali, kubwa ya ajabu ambayo inamfanya kila mmoja wetu kutokuwa salama wakati fulani!!