FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,799
- 46,916
Mi naona Bashite alete tu hivyo vyeti ili kumaliza utata
hahahah anasema hajawahi kutumia kilevi chochote... yuko hivi angekuwa mtumiaji?
hahaha bado jpm anaangalia tu
Huo mda wa hizo kelele Bora mngeenda shambani kulima manake umepotea bure,Bora hata mwenzenu atakua kaambulia sadaka.Siamini kama hii ni issue kubwa. Hivi Gwajima alitoa time frame kwamba kuna siku maalum atavitoa hadharani?
Kama kuna watu wanafungua kesi kuhusu suala hili hili, ni wazi kwamba kuna kitu. Hatujapiga kelele za bure.
Kwenye suala la elimu ninakubaliana na wewe.sio mkeo tu, wengi tu na marafiki, madada, mashemeji mpaka watu unaowaheshimu ambao unajua ni GT
Ukiwauliza evidence iko wapi.......
'Gwajima na Mange wamesema
' !!!! seriously
Tungekuwa marefarii na kukaa kati kati, tungelazimisha Gwajima avionyeshe...lakini wapi, same man aliyesema atamfufua Amina chifupa!!!
Nasema sawa, lakini kwa dunia hii huyo aliyeuza cheti yuko wapi?? hakuendelea na masomo mwaka 2000 na hiyo div 3 wakati huo ilikuwa so hot....kama aliendelea na shule alitumia jina gani?? hakuna mwenye jibu
Kuna serious problem with our society , CCM wameharibu mpaka ufikiri wa kizazi hiki, si wasomi si wasiosoma!!
kikubwa kuna chuki kali, kubwa ya ajabu ambayo inamfanya kila mmoja wetu kutokuwa salama wakati fulani!!
Fighting for a noble cause ni zaidi ya shamba lisilo na tija. Acha mifumo iwekwe ndio kilimo kitaleta maana.Huo mda wa hizo kelele Bora mngeenda shambani kulima manake umepotea bure,Bora hata mwenzenu atakua kaambulia sadaka.
Hizo kelele hazina tofauti na kumpiga mbwa rangi.Fighting for a noble cause ni zaidi ya shamba lisilo na tija. Acha mifumo iwekwe ndio kilimo kitaleta maana.
Anasuniri cku ya kuongea na familia take j2Yule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.
Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.
Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.
Hey Gwajima...where you at man?
Na kanisani kwake kutapwaya hata sadaka zitapungua maanaYule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.
Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.
Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.
Hey Gwajima...where you at man?
Unajua kuna kitu mimi sikielewi kabisa.
Paul Makonda keshaonyesha kila dalili kwamba hataki kuonyesha vyeti vyake. Sawa.
Ila huyu Gwajima mwenyewe kwa mdomo wake alisema kuwa anavyo vyeti vyake yeye Makonda na Bashite.
Na simsingizii. Msikilize mwenyewe. Alisema anavyo hivyo vyeti ofisini kwake. Msikilize hapo chini.
Anzia dakika ya 9.
Sasa kama Gwajima anavyo [na kayatoa hayo madai karibu wiki ya tatu sasa] kwa nini asituonyeshe?
Au hana hivyo vyeti huyo?
Au anavyo lakini hana uhakika kama ni vya kweli au la?
I don't get it man! I really don't.
Kwa hiyo wife wako nae ni......?[emoji12]Gwajima ni mzushi au Inawezekana akawa mkweli Lakini kinachoniumiza ni jinsi watanzania hata wasio Waumini wake kumwamini kiasi kile yaani nilishindwa kuamini hadi mke wangu kwenye simu Yake ETI kajaza clip za Gwajima anaskia Muda wote. Nikamuuliza vipi mbona unadata ETI akawa anashangilia ooh makonda kashikwa huku hachomoki Kwa Gwajima. Nikabaki najiuliza kumbe watu shida yao makonda ashikwe tu yaani mtu hajawahi kukukosea unakuwa na chuki naye? Nikabaki najiuliza kwanini makonda apigwe vita Sana nikagundua wauza madawa wako na nguvu Sana wako na Mbinu nyingi Sana mpaka za kucheza na akili za watu. Nilifuta clips zote maana ni ujinga mkubwa mtu umekaa unamfuatilia Gwajima hadi Kanisani kwake uende kisa anabishana na mwanasiasa mkuu wako wa mkoa. Pumba Sana watanzania wengi
Umesimama mbele ya camera mkuu [emoji4][emoji4][emoji4]Siyo Lisu tena?
Mkuu hata usemeje sisi tunataka vyeti tuuuuuuuuuuuuuYule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.
Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.
Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.
Hey Gwajima...where you at man?
Alisha sema anayo mazagazaga mengi tu ya Bashite, muda ukifika ataweka wazi.Bashite alete vyeti ili Gwajima afunikwe otherwise Gwajima still anaonekana hero flani hivi