Wiki hii Gwajima naona kafunikwa

Wiki hii Gwajima naona kafunikwa

Afu ukisema tume...mchoka useme wewe na nani,usisemee watu,,,weka cheti acha povu
 
Gwajima ni mzushi au Inawezekana akawa mkweli Lakini kinachoniumiza ni jinsi watanzania hata wasio Waumini wake kumwamini kiasi kile yaani nilishindwa kuamini hadi mke wangu kwenye simu Yake ETI kajaza clip za Gwajima anaskia Muda wote. Nikamuuliza vipi mbona unadata ETI akawa anashangilia ooh makonda kashikwa huku hachomoki Kwa Gwajima. Nikabaki najiuliza kumbe watu shida yao makonda ashikwe tu yaani mtu hajawahi kukukosea unakuwa na chuki naye? Nikabaki najiuliza kwanini makonda apigwe vita Sana nikagundua wauza madawa wako na nguvu Sana wako na Mbinu nyingi Sana mpaka za kucheza na akili za watu. Nilifuta clips zote maana ni ujinga mkubwa mtu umekaa unamfuatilia Gwajima hadi Kanisani kwake uende kisa anabishana na mwanasiasa mkuu wako wa mkoa. Pumba Sana watanzania wengi
Muhimu cheti
 
Minyumbu ya fisiem inasapotiana ujinga.....
Bashite jambazi mla rushwa.....Bashite hana marinda....Bashite amehongwa magari na wauza unga....Bashite amefoji vyeti.....Bashite zero brain yaani ni fa fa fa fa.....Bashite hana uzazi.!!!
Unafikiri wanaomtetea ni watu wa aina gani???
Tuwasamehe bure tu.
 
Yule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.

Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.

Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.

Hey Gwajima...where you at man?
Umefunikwa wewe
 
Nadhani hilo jukumu kamuachia bint mbeba box na week hii anaimilik yeye nadhan kuna muda naona aibu sana kua mwananch wa hapa kwenye nchi
Mkuu wee acha tu only if I can change my country of origin. How I hate to be!
 
Yule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.

Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.

Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.

Hey Gwajima...where you at man?
Wewe nae division zero shimo analopiga gwajima lina nyoka wengi na wewe ni mmoja wao hiyo English yako si mchezo
 
Wewe nae division zero shimo analopiga gwajima lina nyoka wengi na wewe ni mmoja wao hiyo English yako si mchezo

Yeah mi ni divisheni ziro na najivunia ziro yangu maana ndo uwezo wangu huo.
 
MH TUMSUBIRI YULE MEYA JUMANNE SIO MBALI.LAKINI KABLA YA HAPO JUMAPILI GWAJIMA ATATUPA VITU VIPYA
 
Yule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.

Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.

Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.

Hey Gwajima...where you at man?
Popote ulipo chukua kinywaji bili juu yangu 😀😀...
Watanzania tuna chuki iliyojificha nyuma ya tabasamu ni muda tu unaotusaidia ionyesha hadharani!..
Unafunga safari koromije>dsm kwenda shabikia life ya mtu kanisani really!?...
 
Tunaenda Arusha jumapili tuko kanisani kwa Askofu Gwajima kuendeleza mapambano, chezea sisi!
 
Gwajima ni mzushi au Inawezekana akawa mkweli Lakini kinachoniumiza ni jinsi watanzania hata wasio Waumini wake kumwamini kiasi kile yaani nilishindwa kuamini hadi mke wangu kwenye simu Yake ETI kajaza clip za Gwajima anaskia Muda wote. Nikamuuliza vipi mbona unadata ETI akawa anashangilia ooh makonda kashikwa huku hachomoki Kwa Gwajima. Nikabaki najiuliza kumbe watu shida yao makonda ashikwe tu yaani mtu hajawahi kukukosea unakuwa na chuki naye? Nikabaki najiuliza kwanini makonda apigwe vita Sana nikagundua wauza madawa wako na nguvu Sana wako na Mbinu nyingi Sana mpaka za kucheza na akili za watu. Nilifuta clips zote maana ni ujinga mkubwa mtu umekaa unamfuatilia Gwajima hadi Kanisani kwake uende kisa anabishana na mwanasiasa mkuu wako wa mkoa. Pumba Sana watanzania wengi
Mkuu kama ni hivyo basi mkeo kakuzidi sana kiakili.
 
Yule askofu msanii naona wiki hii hana kiki kabisa.
Yuko kimya sana. Sasa sijui ni kwa sababu gani.

Au labda ni ile hulka yetu ya kudandia dandia vitukio huku na kule na kusahau ndani ya muda mfupi.

Dizaini tushamchoka na hayo madai yake ya kumiliki vyeti vya Paul Makonda na Daudi Bashite [hivi kweli kuna mtu aliyeamini kwamba huyo Gwajima anavyo hivyo vyeti ofisini kwake?] na hao mashahidi wake wa kutoka Koromije huko.

Hey Gwajima...where you at man?
Where you at man teheeeeee teheeeee
 
Back
Top Bottom