Panya walikuwa wamejificha shimoni hadi paka alivyoondoka sasa ndio wanatoka ndani ya shimo wanakula mahindi yaliyohifadhiwa stoo na mbaya zaidi wanakunya huko hukoHuyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla sana? Kutwa anacheza kwenye viunga kama kwake. Hivi alikua wapi enzi za Mjomba Magu?