wicknell chivayo

Wicknell Chivayo (born 22 November 1982) is a Zimbabwean businessman known for his involvement in government tenders, flamboyant lifestyle, and close associations with the ruling ZANU–PF party. He has garnered both admiration and criticism for his lavish spending and philanthropic gestures, often intertwined with political undertones.

View More On Wikipedia.org
  1. Nelson Kileo

    JamiiForums Tanzania HATARI ! sasa mtoto wa Kiume analindwa kwenye malezi kulliko mtoto wa Kike

    Katika dunia ya sasa, watoto wa kiume nao wanahitaji uangalizi na malezi ya karibu kama watoto wa kike. Changamoto za maisha, makundi mabaya, na ushawishi wa mitandao vinaweza kuwaathiri kirahisi. Malezi bora, maadili, na muda wa wazazi kwa watoto wao ni muhimu kwa kila mtoto bila kujali jinsia...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Sir Wicknell Chivayo has fraud records, but is still close to some African leaders. What is behind the curtain?

    To his hundreds of thousands of social media followers, Wicknell Chivayo is "Sir Wicknell"—a larger-than-life tycoon who flaunts luxury fleets, donates high-end vehicles to ruling party loyalists, and poses for photo-ops in front of towering piles of cash. But behind the curated facade of...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Cyril Ramaphosa amkana tajiri wa Zimbabwe Wicknell Chivayo

    Ila huyu jamaa analeta kizaza sana kwa baadhi ya viongozi wa Afrika haya yamemkuta sasa wa Afrika kusini ============ Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema hakujua kuwa alikuwa anakutana na tajiri wa Zimbabwe Wicknell Chivayo, anayesakwa nchini Afrika Kusini kwa tuhuma za utakatishaji...
  4. Yesha

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo Gifts CCC MP Brand New Car And $50,000.00

    Wicknell Chivayo Gifts Opposition MP Car and $50,000, Sparking Debate in Zimbabwe Zimbabwean businessman Wicknell Chivayo has ignited public debate after gifting a vehicle and cash to opposition lawmaker Susan Matsunga. The gesture followed her public praise of President Emmerson Mnangagwa...
  5. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Chivayo atembelea tena Tanzania na kupita Ikulu, unadhani maongezi yao yalihusu nini?

    Wakuu, Jana Chivayo alikuwa mjini, na kwenda kusalimia Ikulu kulingana na picha pamoja na melezo aliyoweka. Safari hii amepewa na maelezo ya kuandika kwenye caption. Unadhani ni mazungumzo gani yameendelea Ikulu ukizingatia tume ya Chande imemaliza kazi yake? ==== Tafsiri ya caption yake...
  6. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Controversial Zimbabwean businessman and socialite Wicknell Chivayo shares photos visiting President William Ruto at State House

    Controversial Zimbabwean businessman and socialite Wicknell Chivayo shares photos visiting President William Ruto at State House on Tuesday. "As always, I was treated to a WARM reception that never ceases to humble me. There is something deeply fulfilling about being afforded time within the...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Shuhudieni Mambo Makubwa Mazuri ya Bonge wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo! Je, Hapa Kwetu Alifanya Nini?

    Wanabodi Shuhudieni mambo makubwa mazuri ambayo ni super, ya huyu Bonge wa Zimbabwe, Bilionea Wicknell Chivayo wa Zimbabwe, akifanya mambo makubwa mazuri kwa nchi yake Zimbabwe!, Hili limjamaa, bonge la Zimbabwe, limekuja hapa nchini kwetu mara 4, likitua airport yetu kwa private jet yake na...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Kamanda wa Jeshi aungana na Wananchi dhidi ya Rais Mnangagwa; asema nchi sio ya wahalifu (kina Chivayo)

    Veterani wa vita aliyekimbizwa na mamlaka, Blessed Runesu Geza, anayejulikana pia kama “Cde Bombshell”, amewaomba Wazimbabwe waamke dhidi ya kile anachodai kuwa ni kunyakuliwa kwa dola na wizi wa rasilimali za taifa na Rais Emmerson Mnangagwa na wadanganyifu wake. Geza alisema raia wanapaswa...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Mamlaka kumchunguza Wicknell Chivayokwa Kesi za Rushwa na Ufisadi

    Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zimbabwe (ZACC), imetangaza kufungua upya jalada la Uchunguzi dhidi ya Mfanyabiashara Wicknell Chivayo kutokana na kuhusishwa kwake na masuala ya Rushwa na Ufisadi katika miradi aliyoifanya na Serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ZACC, imeeleza kuwa...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Polepole asikitishwa na JamiiForums kufungiwa, TCRA mngemkanya Wicknell Chivayo

    Balozi aliyejiuzulu na Katibu wa zamani wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, amesema kitendo cha TCRA kufungia Majukwaa ya JamiiForums wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 ni Udikteta, Unyanyasaji na Uvunjifu wa Uhuru wa kupata Taarifa. Polepole ameongeza kuwa...
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania Picha za Ikulu, Mitandao, na Maadili: Ni nani aliyevunja kanuni?

    Kusambaa kwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wa kiume Ikulu kumezua gumzo kubwa mitandaoni, likizua maswali mazito kuhusu heshima ya Ofisi ya Rais na maadili ya jamii. Hoja ya msingi si tu uwepo wa mgeni huyo, bali zaidi namna alivyovaa na mkao wake, ambao baadhi ya wananchi...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa picha mbalimbali za Kijana tajiri na maarufu sana barani Afrika Wicknell Chivayo

    Moderator uache Uzi huu uwe huru Tafadhali, mdau weka picha yako
  13. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo, mtakatishaji fedha maarufu barani Afrika alikuwa na agenda gani Ikulu jana (Agosti 12, 2025) kabla ya Harambee ya CCM?

    Tuna haki ya kuhoji: Mtu huyu ana rekodi chafu na ana kesi nchini Afrika Kusini lakini jana amebainisha mwenyewe kuwa alikuwa nchini, saa chache kabla ya Harambee ya CCM. Hapa kuna ujumbe gani kwetu?
  14. P

    JamiiForums Tanzania Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Salam Wakuu, Huyu jamaa ana mpaka rekodi ya kufungwa kutokana na utapeli! Huwa anapewa tenda ya vifaa vya uchaguzi na huko ndio anapata na mwanya wa kutoa michoro ya kuharibu uchaguzi kwa kuhonga watumishi na viongozi kuhakikisha kura zinaibwa bila kuleta kelele na shida yoyote. Jamaa...
Back
Top Bottom