Wicknell Chivayo (born 22 November 1982) is a Zimbabwean businessman known for his involvement in government tenders, flamboyant lifestyle, and close associations with the ruling ZANU–PF party. He has garnered both admiration and criticism for his lavish spending and philanthropic gestures, often intertwined with political undertones.
Katika dunia ya sasa, watoto wa kiume nao wanahitaji uangalizi na malezi ya karibu kama watoto wa kike. Changamoto za maisha, makundi mabaya, na ushawishi wa mitandao vinaweza kuwaathiri kirahisi. Malezi bora, maadili, na muda wa wazazi kwa watoto wao ni muhimu kwa kila mtoto bila kujali jinsia...
To his hundreds of thousands of social media followers, Wicknell Chivayo is "Sir Wicknell"—a larger-than-life tycoon who flaunts luxury fleets, donates high-end vehicles to ruling party loyalists, and poses for photo-ops in front of towering piles of cash. But behind the curated facade of...
Ila huyu jamaa analeta kizaza sana kwa baadhi ya viongozi wa Afrika haya yamemkuta sasa wa Afrika kusini
============
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema hakujua kuwa alikuwa anakutana na tajiri wa Zimbabwe Wicknell Chivayo, anayesakwa nchini Afrika Kusini kwa tuhuma za utakatishaji...
Wicknell Chivayo Gifts Opposition MP Car and $50,000, Sparking Debate in Zimbabwe
Zimbabwean businessman Wicknell Chivayo has ignited public debate after gifting a vehicle and cash to opposition lawmaker Susan Matsunga. The gesture followed her public praise of President Emmerson Mnangagwa...
Wakuu,
Jana Chivayo alikuwa mjini, na kwenda kusalimia Ikulu kulingana na picha pamoja na melezo aliyoweka.
Safari hii amepewa na maelezo ya kuandika kwenye caption. Unadhani ni mazungumzo gani yameendelea Ikulu ukizingatia tume ya Chande imemaliza kazi yake?
====
Tafsiri ya caption yake...
Controversial Zimbabwean businessman and socialite Wicknell Chivayo shares photos visiting President William Ruto at State House on Tuesday.
"As always, I was treated to a WARM reception that never ceases to humble me. There is something deeply fulfilling about being afforded time within the...
Wanabodi
Shuhudieni mambo makubwa mazuri ambayo ni super, ya huyu Bonge wa Zimbabwe, Bilionea Wicknell Chivayo wa Zimbabwe, akifanya mambo makubwa mazuri kwa nchi yake Zimbabwe!,
Hili limjamaa, bonge la Zimbabwe, limekuja hapa nchini kwetu mara 4, likitua airport yetu kwa private jet yake na...
Veterani wa vita aliyekimbizwa na mamlaka, Blessed Runesu Geza, anayejulikana pia kama “Cde Bombshell”, amewaomba Wazimbabwe waamke dhidi ya kile anachodai kuwa ni kunyakuliwa kwa dola na wizi wa rasilimali za taifa na Rais Emmerson Mnangagwa na wadanganyifu wake.
Geza alisema raia wanapaswa...
Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zimbabwe (ZACC), imetangaza kufungua upya jalada la Uchunguzi dhidi ya Mfanyabiashara Wicknell Chivayo kutokana na kuhusishwa kwake na masuala ya Rushwa na Ufisadi katika miradi aliyoifanya na Serikali.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ZACC, imeeleza kuwa...
Balozi aliyejiuzulu na Katibu wa zamani wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, amesema kitendo cha TCRA kufungia Majukwaa ya JamiiForums wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 ni Udikteta, Unyanyasaji na Uvunjifu wa Uhuru wa kupata Taarifa.
Polepole ameongeza kuwa...
Kusambaa kwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wa kiume Ikulu kumezua gumzo kubwa mitandaoni, likizua maswali mazito kuhusu heshima ya Ofisi ya Rais na maadili ya jamii.
Hoja ya msingi si tu uwepo wa mgeni huyo, bali zaidi namna alivyovaa na mkao wake, ambao baadhi ya wananchi...
Tuna haki ya kuhoji: Mtu huyu ana rekodi chafu na ana kesi nchini Afrika Kusini lakini jana amebainisha mwenyewe kuwa alikuwa nchini, saa chache kabla ya Harambee ya CCM.
Hapa kuna ujumbe gani kwetu?
Salam Wakuu,
Huyu jamaa ana mpaka rekodi ya kufungwa kutokana na utapeli! Huwa anapewa tenda ya vifaa vya uchaguzi na huko ndio anapata na mwanya wa kutoa michoro ya kuharibu uchaguzi kwa kuhonga watumishi na viongozi kuhakikisha kura zinaibwa bila kuleta kelele na shida yoyote.
Jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.