dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,700
- 9,849
Tunakusemea kwa baba yako 😁Mti wenye matunda lazima upigwe mawe 😂
Tunakusemea kwa baba yako 😁Mti wenye matunda lazima upigwe mawe 😂
Msije mkakimbia mechi ikiisha 😁😂😂😂 kipigo cha mbwa mpaka tuwavunje na shingo kabisa
Ndio bwashee, uchachu wake ndio utamu wake, Huwez kulalamika pilipili inawasha wakati ndio utamu wake 😂Hata malimao nayo ni matunda bwashee
Manjesta tunaenda kuua mtuMashabiki wa MAN U kuweni makini na maneno yenu yatawaponza.
halafu kingine acheni kujilisha upepo.
HakikaNdio bwashee, uchachu wake ndio utamu wake, Huwez kulalamika pilipili inawasha wakati ndio utamu wake 😂
Huu uzi n batili, haiwezekani hakuna mtu aliyenitaja mpaka sasa.Tunakusemea kwa baba yako 😁
zingatia post yangu utakuja kujishukuru badae..mbeumo.Manjesta tunaenda kuua mtu
Wewe ndiyo uanze kuandaa hizo mbio 😂Msije mkakimbia mechi ikiisha 😁
hajaanza ile safari kweli?
Tushamwonya hiyo safari kuwa UKIMWI ni nnje nje kama ma bodi ya nyani.hajaanza ile safari kweli?
The bestNitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr
Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu.
Wataje wengine🫵
Mkuu huyo kwa sasa ni mteja wetu tutaenda kushirikiana na Mjusi Sharobalo kwenye tiba za kiroho upande wa pili!Tushamwonya hiyo safari kuwa UKIMWI ni nnje nje kama ma bodi ya nyani.
Nitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr
Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu.
Wataje wengine🫵
Manjesta tunaenda kuua mtuMan u naona wamepata moto ngoja leo wafungwe warudi bandani kama kawaida yao..
Vin anao upole flani hata kama ni mkorofi ila ni mwepesi wa kutafuta amaniVincenzo Jr ??? Hebu kwanza nicheke....kweli haka kajamaa ka Kigamboni kanasingiziwa mengi mazuri
Halafu kumbe dosho12 ni guy? Najuaga ni wa kike huyu
Kwangu mie japo sikutani nae sana jukwaani lakini mara zote nazomuona sijawahi...i mean sijawahi hata kwa bahati mbaya kukuta anatupiana maneno na mtu Detective J
Ngoja uchezee leo ndio utajua!Man UTD for everybody 🔥🔥