Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Zitto.. you are really getting ahead on this one... 2010 kitatokea ambacho hakijadhaniwa....
mimi ya 2010 haina maandalizi sana, BTW under the sun the impossibles can be possible.
Zitto Kabwe for President 2015, umri sijui utakuwa umetosha?
Mama umri hautakuwa kuwa umetosha. Tufikiri hii ya 2010, naona kama kuna ka mwanga hivi.
Jana nilikuwa katika moja ya miadi yangu hapa New York katika ziara yangu. Nikajikuta ninaandika bila kufikiri kwa kina maneno haya katika notebook yangu.
'suluhisho sio CCM kutoka madarakani, bali ni kubadili mfumo wa uendeshaji wa nchi. CCM haiwezi kubadili mfumo huo hivyo inabidi ikae pembeni ili chama chama kingine chenye mawazo, fikra na mwono mpya kiweze kubadili mfumo. Chama hicho ni CHADEMA. CHADEMA nayo haiwezi peke yake, lazima ishirikiane na vyama vingine, Asasi za Kijamii na Watanzania wengine wenye nia njema na nchi yetu'
Sijui kisera fikra hii ya bila kufikiri kwa dhati ina maana gani. Lakini nimeipenda kweli. Si kweli hili? Wana JF
'suluhisho sio CCM kutoka madarakani, bali ni kubadili mfumo wa uendeshaji wa nchi. CCM haiwezi kubadili mfumo huo hivyo inabidi ikae pembeni ili chama chama kingine chenye mawazo, fikra na mwono mpya kiweze kubadili mfumo. Chama hicho ni CHADEMA. CHADEMA nayo haiwezi peke yake, lazima ishirikiane na vyama vingine, Asasi za Kijamii na Watanzania wengine wenye nia njema na nchi yetu'
Sijui kisera fikra hii ya bila kufikiri kwa dhati ina maana gani. Lakini nimeipenda kweli. Si kweli hili? Wana JF
Salim Ahmed Salim
The President delayed
...anaweza kuwa drafted na Watanzania wanaomwona aweza kuwa Rais mzuri kwa Taifa letu....... Draft Salim, 2010.
Salim-Slaa ticket kinda possible!!!!!! Tuendelee kujadili
Zitto Kabwe, Mheshimiwa Mbunge;
Kwa taadhima na unyenyekevu mkuu nashukuru kwa huduma yako.
Kambi ya upinzani na mwamko mzima wa mageuzi ukuelewe vipi unapo mpaka mafuta mtu wa CCM hadharani kama anaweza kuwa Rais? Tuswalishe kujitoa kwako katika huo mwamko?
Waliokuja nyuma na uongozi kama wako wakina Mrema, Marando na wengine wengi mpaka leo hawajaweza kufuta muhuri uliopigwa mgongoni mwao unaosema 'Kachero wa CCM.' Na kina Lamwai na Nyakyoma wakadhihirisha.
Kujitoa kwako kwenye mageuzi kumetukuka kweli?
Mkandara,
..sijahoji uwezo wa Salim Salim ktk masuala ya diplomasia na siasa za kimataifa.
..kinachonikwaza mimi ni kwamba Salim Salim hana rekodi inayopimika ya kushughulikia matatizo ya wananchi wa kawaida. pia hana rekodi ya kupimika ya kushughulikia matatizo ya kiuchumi.
..kuhusu Tazara kuna mambo mengi sana yaliyopelekea kupatikana kwa mradi ule.
..hivi una uhakika kwamba bila Salim Salim wachina wasingetupa msaada wa reli?
..Kuhusu Salim Salim kuwa Mjamaa, which i doubt, hizi siyo zama za Itikadi. Kama ni Maraisi Wajamaa tulishakuwa nao, tena wakereketwa kuliko huyo Salim Salim.
..Tatizo langu na Salim Salim ni kwamba sioni kama ana interest na siasa za ndani za Tanzania, other than seeking the country's highest office. kama Salim angekuwa na interest na siasa za ndani basi baada ya kushindwa Uraisi angetafuta jimbo akagombee ubunge.
NB:
..niliwahi kuonya zama zile kwamba Kikwete hatatufaa. nasikitika kwamba utabiri huo unaelekea kuwa kweli.
Yaleyaleeeeeee mada imesha haribika kabisa sasa .
Yaleyaleeeeeee mada imesha haribika kabisa sasa .
Tatizo hujasoma kichwa cha mada vizuri...MASHUJAA WETU: - Salim Ahmed Salim
Siasa za kweli na safi , siasa za maendeleo na mwelekeo ni zile mtu unamoa mtu sifa kama unaona anafaa bila ya kujali Chama chake .Hizi ndiyo siasa endelevu na pevu.Zitto kasema maoni yake na labda ana imani kwamba Salim angaliweza ama anaweza .Kusema kaunga mkono CCM ni mgando mkubwa na uelewa finyu ndiyo haya ya CCM kuua Nchi kisa Chama chetu .Mpen mtu haki yake kama mna imani naye si lazima awe katika Chama chenu .
Pamoja na hayo mimi nampinga kwa nguvu zote Salim hawezi tena sasa na hata kabla asingaliweza .Kama nilivyo mpinga JK kabla kwamba hatawezi na sasa nasena hawezi .
hivi ukimsimamisha Salim kama mgombea wa CCM amid maskendo yote haya ya ufisadi na kwa upande wa upinzani wakaungana na kumpitisha Slaa kuwa mgombea wao mnadhani mchuano unaweza kuwa vipi?