Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Thanks Guys kwa kukata issues za uongozi hapa. Lakini Ukweli unabakia pale pale siasa ni mchezo ambao rafu zake hukera. Siasa huweza kuibua watu usiowategemea na kuwadumaza watu usiotegemea.
Kwa siasa za Tanzania sasa hivi Salim ku qualify kuwa rais ni ndoto unless Tanzania mazingira ya ya kampeni na mitandao na rushwa vikome. fanya utafiti utagundua kuwa kuanzia serikali za mitaa, wabunge na hata Rais kuchaguliwa kwao si sera zao madhubuti bali ilitegemea walikata kiasi gani. Ufisadi umezidi pale ambapo kuchaguliwa kwako inategemea How much mfisadi you are. Viongozi madhubuti hawachaguliwi. kumbukeni kauli ya Kingunge wakati wa uchaguzi wa CCM. ALISEMA HAKUWA TAYARI KUTOA RUSHWA LILI ACHAGULIWE. Je Salim how keen is he in corruption? Pili viongozi walio wengi siasa ni proffession ya mkato kupata mali kwa chee and easy.
Salim ana CV nzuri, lakini wakati wake umeisha jamani. he is too old now. mwacheni apumzike sasa. Tangu akiwa na miaka 19 tu sijui 22 tayari balozi. Je ina maana alikuwa na udiplomasia kiasi gani kupata ubalozi? wakati wengine miaka 22 tuko form 2 wkati huo!!! sometimes BAHATI NAYO. Of course kwa salim alikuww anamwakilisha FAVOURS ZA BABA YAKE! vIONGOZI MADHUBUTI TUTAWAPATA SIKU WATANZANIA WAKING'AMUA KWA THITHIEM BOMU!na miungu wadogo eti kwa sababu ilitoka na TANU na ASAP vyama vilivyoleta uhuru wa TZ.(Hata Jongwe alileta uhuru zimbabwe lakin sasa hivi ahafi!!!) WAPINZANI WACHUKUE NCHI THEN KUANZANIA HAPO MAMABO YATAKUWA mswano SIO KULAMBANALAMBANA!!
ukweli ni kuwa huyo salim hana lolote, na alipata huo ubalozi wake kipindi kile nyerere kawafunga watu wasione mbali, hebu piga picha kama angekuwa kipindi hiki angepata hata ukatibu tarafa na miaka yake 22?
na kama kasoma na CV zake ni za kufa mtu je anaitumiaje elimu yake kwa kusaidia japo kukemea uharo unaofanywa na wenzie wa CCM? au elimu yake kanyamaza nayo tu huku anaangalia watanzania wanavyoteseka kila kukicha? sasa hii ni akili au ni matope?