Who is MIZENGO PINDA? (private & Public)

Pundit,

Unabore na mambo yako ya suti. Mnafuatilia hata mambo yasiyo ya maana halafu mnataka tusiwe na mafisadi?

Kama unataka bingwa wa kuvaa si tunaye rais? Unataka kila mtu ashinde kwenye shopping Harrods?

Huyu jamaa inaelekea ni muaminifu au sio mpenda sana utajiri. Hii ni sifa ndogo, kubwa lazima awe creative na kuja na ideas mpya. Hatutaki akina KAWAWA wengine ambao hawaharibu kitu lakini pia hawafanyi lolote la maana.

Binafsi afadhali kuwa na mtu anayekuja na mawazo mapya na yakafeli kuliko mtu aliyekaa kama kisiki bila crfeativity.

Kwenye dunia ya globalization what matters is about ideas, new ways of thinking and creativity.

So longer hatembei uchi mimi sina matatizo kabisa na anavaa nini.

Ndiyo maana mliandikwa watoto wa Nyerere mnajipangusia makamasi kwenye nguo, this is just a top notch format.Kwa hiyo wewe unaona sawa PM kutinga jacket na vest siyo? Kwa taarifa that says a lot about our country na inaweza kuwa na repercussions.

There is a reason why we have protocols, dress codes and etiquette. Sasa kama mtu hawezi kufuata kitu kidogo kama dress code na etiquette ataweza kufuata protocol za nchi? Usichoelewa ni kwamba simaanishi mtu avae vitu flashy (nishaeleza juu hili) ila vitu vinavyokubalika, unaweza kuvaa Kaunda suit made in bongo lakini imepangiliwa inavyotakiwa tukaona PM huyu.Kesho atakwenda kwenye a formal evening some places au msibani huku kavaa inappropriately fedheha kwa taifa.I am not saying we should base our pick on cosmetics (thats what got us Kikwete) but among other things this should be considered, au hawa watu wasaidiwe kabla ya kujiaibisha.

Jamaa bonge la Mkalamba tu, na siyo kwa sababu ya dress code, alivyoanza kujiua yeye mwenyewe kuhusu Mkapa kumkandia kuwa hawezi ubunge mi nikaona tayari PM tunaye.

Kwa kifupi Kikwete ametaka Sumaye wake, yessir man atakayemfiligua anavyotaka.
 
sasa kama bado anavaa suti kama maofisa wa Uslama wa Tifa what do you expect?

Suti mikono mifupi na singlendi za kashata ndani

then again what did you expect topka kwa mtu wa bara?

lakini lets wait akianza kuvaa Armani basi tutajua kama keshaanza kuiba naye huyu
 
Huyu jamaa inaelekea ni muaminifu au sio mpenda sana utajiri. Hii ni sifa ndogo, kubwa lazima awe creative na kuja na ideas mpya. Hatutaki akina KAWAWA wengine ambao hawaharibu kitu lakini pia hawafanyi lolote la maana.

Binafsi afadhali kuwa na mtu anayekuja na mawazo mapya na yakafeli kuliko mtu aliyekaa kama kisiki bila crfeativity.

Mtanzania,
Si nia yangu kukuvunja moyo. Lakini nimepata nyeti kuwa huyu jamaa ni very close kwa Mkapa. Hata kwenye spichi yake kalitaja hilo. Sasa suali linakuja hizi skendo za BOT, Kawira, etc zitakapozuka atakuwa na msimamo gani? Huo ndio mtihani mkubwa
 
Hilo la kuwa hana MKE ni kweli najua huyu jamaa hana mke lakini sijui kama ni MHUNI na sijui kilichomuua mkewe ni nini zidi tu ya kujua kuwa alikufa baada ya "kuugua kwa muda mrefu"(whatever that means nowadays)

Sasa hili litazusha maneno ya kila namna na najua kuwa mnaotaka kumjua kwa kila namna mtaanza kuuliza membo mengi tuu ila mindhali kila mtu anauliza maswali basi nami nimeona si vibaya nikauliza:

JE TUNA UHAKIKA NA AFYA YA WAZIRI WETU MKUU MPYA?

JE HAWA MAWAZIRI NI NANI ANAWAKATIA LIFE INSURANCE ?

AT WHAT COST?

hayo tu ndio maswali yangu kwa sasa
 
Jasusi mi nasema the entire confirmation process was a sham.

Kama kungekuwa na maswali labda tungemsikia angejibuje, but then again Kikwete kashasema "muacheni apumzike" what do you expect?

Kwangu mimi kumu appoint mtu wa usalama wa Taifa wakati huu ambao BOT imegubikwa na scandals za usalama wa taifa inaniletea picha ya cover up to.

This guy may very well end up being our next president for god's sake!
 
Kwangu mimi kumu appoint mtu wa usalama wa Taifa wakati huu ambao BOT imegubikwa na scandals za usalama wa taifa inaniletea picha ya cover up to.

Pundit,
You have said it all. Sina la ziada.
 
Kwa jinsi hii thread ilivyoanza na inakoelekea sijui ikifika Jumapili mchana itakuwaje

Kumbe ni swahiba wake Mkapa?
 
upande wa personal life,jamaa ni mtu wa watoto kama mimi..alishawahi kumtaka demu wa rafiki yangu wakati tuko dom,ila tulimzima.ila tusimlaumu sana kwa hili coz anafuata sera ya 'wakubwa' katika kusaka watoto,another thng jamaa ni nyoka wa muda mrefu..ndio maana alipendekezwa mapema,ni mtendaji na si mtu wa blaah blah,ila natoa ombi apunguze vidosho kwa sasa..namu6ba pia atuambie KAMA KWELI RIDWANI aliamua kuuza hisa zake ktk RDC..NI HAYO TU
 
Mmeanza wana JF,hata hamtoi nafasi ya kuangalia kinachoendelea,saa nyingine ni sisi wenyewe wabongo ndio tunasababisha viongozi wetu wawe wezi. Kulikoni alivyovaa pinda? ni watu wangapi baba zao hapa wanaenda kwenye mikutano ya hadhara walivyovaa utacheka? mbona condoleeza Rice alivyovaa ule mkoti mrefu jana huko afghanstan hamjasema chochote? Kwa maana nyingine kuhoji sana juu ya watu walivyovaa,nyumba wanazoishi n.k ni kuwatuma waanze kuiba maofisini. Ndio tatizo letu bongo,mtu akiwa kwenye ofisi nyeti akatoka na utajiri wa kawaida tu au akawa na maisha ya mtanzania wa kawaida tunamwona fala,eti alizubaa wakati akiingia ofisini ana gari moja akatoka ana mashamba ekari 50,gari 6,nyumba 4 safi,suti kila kukicha na kitambi tunasema fisadi. Hebu tuchunge kauli zetu sometimes. Halafu ukichunguza sana utakuta sisi Afrika ndio huwa tunacomplicate sana mavazi kuliko hata viongozi wa mataifa makubwa duniani,ambao sometimes hata wanatokeza na tshirt in public.

nakuunga mkono mkuu kwa hoja hii.

Hivi kweli wana JF tunaanza kujadili vazi la mtu siku ya kwanza tu na ku discredit? kweli tuko makini kiasi gani? Kama ni sifa ya PM kuvaa vizuri, huyo aliyevaa vizuri ameufanyia nini umma wa waTanzania?

Hivi tunajua kweli tunachokihitaji sisi watanzania toka kwa viongozi wetu? Inawezekana kweli kiongozi avae vema, lakini lazima liwe jambo la kwanza kabisa ambalo kwa upeo wetu ndiyo tuanze kulitazama? haya mambo dada zetu kule sekondari ndo walikuwa wanagombania...kusemana kwa mavazi na kupendeza.

Pinda ni waziri wa TAMISEMI na mmoja kati ya mawaziri wachache waliohamia Dodoma. Siku ya kwanza tu watu mnataka awe kama hao mnaoishi nao USA, UK au Ufaransa?

Je tusingeweza kusema kuwa kuvaa kwake leo kunaonyesha kuwa si mpenda makuu, mtu mwenye maisha ya kawaida sana, japo ameitumikia Ikulu kwa muda mrefu sana? Je tusingeweza kumpa muda kidogo halafu tuone kama hatabadilika na kupiga mapigo ya ki PM, kama akipenda? JK anaapiga suti, kuna watu tunamwita mzee wa maonyesho ya suti...hivi tunataka nini lakini jamani?
 
Huyu jamaa inaelekea ni muaminifu au sio mpenda sana utajiri. Hii ni sifa ndogo, kubwa lazima awe creative na kuja na ideas mpya. Hatutaki akina KAWAWA wengine ambao hawaharibu kitu lakini pia hawafanyi lolote la maana.

Binafsi afadhali kuwa na mtu anayekuja na mawazo mapya na yakafeli kuliko mtu aliyekaa kama kisiki bila crfeativity.

Mtanzania,
Si nia yangu kukuvunja moyo. Lakini nimepata nyeti kuwa huyu jamaa ni very close kwa Mkapa. Hata kwenye spichi yake kalitaja hilo. Sasa suali linakuja hizi skendo za BOT, Kawira, etc zitakapozuka atakuwa na msimamo gani? Huo ndio mtihani mkubwa

Jasusi,

Ndio maana niliona leo Mkapa alikuwa na furaha kubwa kule Kenya? Kwa mimi mtu yeyote mwenye ukaribu na Mkapa sitaki hata kumsikia.

Mwanahaki kaongea mambo ya maana, kule kwenye halmashauri za wilaya kumeoza na ndiko kwenye upotevu mkubwa sana wa pesa. K,ama alikuwa huko, nina wasiwasi sana kama jamaa ana mawazo mapya.

Ila inabidi kumpa muda.
 
Huyu jamaa inaelekea ni muaminifu au sio mpenda sana utajiri. Hii ni sifa ndogo, kubwa lazima awe creative na kuja na ideas mpya. Hatutaki akina KAWAWA wengine ambao hawaharibu kitu lakini pia hawafanyi lolote la maana.

Binafsi afadhali kuwa na mtu anayekuja na mawazo mapya na yakafeli kuliko mtu aliyekaa kama kisiki bila crfeativity.

Mtanzania,
Si nia yangu kukuvunja moyo. Lakini nimepata nyeti kuwa huyu jamaa ni very close kwa Mkapa. Hata kwenye spichi yake kalitaja hilo. Sasa suali linakuja hizi skendo za BOT, Kawira, etc zitakapozuka atakuwa na msimamo gani? Huo ndio mtihani mkubwa

Nakubaliana na wewe kuwa the guv is honest and he is really hard working.

Ni kweli he was close to Mkapa but we don't know how close...kumbuka kuwa mzee JKN alijuwa anajua kuwa Mkapa ni mlafi lakini bado ali lobby kwa nguvu Mkapa apewe u rais......na hii kitu cha kubebana ni weakness kubwa kwetu wabongo lakini ukiangalia siasa za duniani ni kama hivyo angalia Bush alipopata madaraka naye akawapa watu wa karibu kazi.....ni kama Kikwete alivyofanya.....unaacha system ina kuja kuwachuja ndio yaliyompata Lowasa,Karamagi na Msabaha.

Pinda hawezi kumchukulia hatua yeyote Mkapa ni sheria ya nchi ambayo inaweza ikamleta mahakamani...kwa hoyo tusitegemee PM akafanya hayo.....tumpe muda na la muhimu ni kuona hio cabinet mpya.

Leo ni sherehe kwetu wabongo mafisadi wamepungua na tungoje hatua gani itafuatilia ju recover yale mapesa yetu
 
Kwa sabau hatuna confirmation process inabidi watu wawe critical kwenye kila angle.

By the way mimi siyo Mmarekani na ndiyo sababu sijamfuatilia Condi lakini akichemsha tunamblast naye tu.

Word is kuvaa kikalamba hivyo ndiyo dress code ya usalama wa taifa, some usalama wa taifa we have, flagging itself for the world to see.

Very smart indeed.Jamaa mkalamba tu, kuanzia speech mpaka suti na vest.
 
....kumbuka kuwa mzee JKN alijuwa anajua kuwa Mkapa ni mlafi lakini bado ali lobby kwa nguvu Mkapa apewe u rais......na hii kitu cha kubebana ni weakness kubwa kwetu wabongo

Mwanatanu,'
JKN hakujua ufisadi wa Mkapa until it was too late. Mwaka 1995 Mkapa alikuwa na Mercedes Benz moja tu (used) aliyonunua ubalozi wa Ujerumani na pick up ya dola elfu tano.
Alikuwa na nyumba moja tu. Kwa kulinganisha na akina Lowassa, Kikwete, he was cleaner.
Lakini JKN hakujua dhamira na tamaa ya Che Nkapa na ndio maana alisafiri taifa zima akisema Mkapa ni msafi. Mkapa akaja kumwuuza katika suala la NBC. Hapo ndipo JKN alipokata tamaa kabisa.
 
upande wa personal life,jamaa ni mtu wa watoto kama mimi..alishawahi kumtaka demu wa rafiki yangu wakati tuko dom,ila tulimzima.ila tusimlaumu sana kwa hili coz anafuata sera ya 'wakubwa' katika kusaka watoto,another thng jamaa ni nyoka wa muda mrefu..ndio maana alipendekezwa mapema,ni mtendaji na si mtu wa blaah blah,ila natoa ombi apunguze vidosho kwa sasa..namu6ba pia atuambie KAMA KWELI RIDWANI aliamua kuuza hisa zake ktk RDC..NI HAYO TU

Kwa hiyo hilo la mkewe kufa na UKIMWI ni kweli?
 


Kumbe ni swahiba wake Mkapa?

Mkuu, CV yake inaonyesha amefanya kazi Ikulu toka zama za JKN, AHM, na BWM kama Private Sec. Kama ni ukaribu na Mkapa ni kwa kikazi, na si kama inavyotafsiriwa. Jamaa hana time na mambo makubwa, ni mtu wa low profile na maisha ya kawaida sana. Kwa hiyo kama ukaribu na BWM basi yu karibu pia na JKN aliyemtoa Sheria na kupeleka Ikulu, ila tu yeye ni marehemu.
 
Mkuu, CV yake inaonyesha amefanya kazi Ikulu toka zama za JKN, AHM, na BWM kama Private Sec. Kama ni ukaribu na Mkapa ni kwa kikazi, na si kama inavyotafsiriwa. Jamaa hana time na mambo makubwa, ni mtu wa low profile na maisha ya kawaida sana. Kwa hiyo kama ukaribu na BWM basi yu karibu pia na JKN aliyemtoa Sheria na kupeleka Ikulu, ila tu yeye ni marehemu.

he is part of the establishment

nothing new zaidi ya jina lake
 
Mwanatanu,'
JKN hakujua ufisadi wa Mkapa until it was too late. Mwaka 1995 Mkapa alikuwa na Mercedes Benz moja tu (used) aliyonunua ubalozi wa Ujerumani na pick up ya dola elfu tano.
Alikuwa na nyumba moja tu. Kwa kulinganisha na akina Lowassa, Kikwete, he was cleaner.
Lakini JKN hakujua dhamira na tamaa ya Che Nkapa na ndio maana alisafiri taifa zima akisema Mkapa ni msafi. Mkapa akaja kumwuuza katika suala la NBC. Hapo ndipo JKN alipokata tamaa kabisa.

Kumbuka Mkapa alipokuwa foreign,alikuwa one of them ministers ambaye alitumana watoto wake private college USA kwa mshahara wa uwaziri can you afford?na mzee alikuwa anajua....usisahau alikuwa student wake pale Pugu....(kubebana wabongo ni norm).

Kikwete yuko muda mrefu katika system je kuna mtu anaye data zake za kujilimbikizia mimali ya wamasikini kama Lowasa,Mramba,Meghji,Mgonja.Msuya,Mungai the list is ndefu.
 
Huyu jamaa inaelekea ni muaminifu au sio mpenda sana utajiri. Hii ni sifa ndogo, kubwa lazima awe creative na kuja na ideas mpya. Hatutaki akina KAWAWA wengine ambao hawaharibu kitu lakini pia hawafanyi lolote la maana.

Binafsi afadhali kuwa na mtu anayekuja na mawazo mapya na yakafeli kuliko mtu aliyekaa kama kisiki bila crfeativity.

Mtanzania,
Si nia yangu kukuvunja moyo. Lakini nimepata nyeti kuwa huyu jamaa ni very close kwa Mkapa. Hata kwenye spichi yake kalitaja hilo. Sasa suali linakuja hizi skendo za BOT, Kawira, etc zitakapozuka atakuwa na msimamo gani? Huo ndio mtihani mkubwa

Kuna serious recirculation going on. Ngoja tuone baraza. But nuttin a gwaan here.
 
Back
Top Bottom