Ni upumbavu kukataa kukubali kuwa kikwete anajaribu kumpa maelekezo,labda hata tishio na au rushwa akipata urais tendwa aule zaidi.na tendwa kama hakimu anakutana vipi faragha na mtuhuhumiwa? Au elimu yake ni ualimu wa chekechea tuliowaona akiwafundisha?
Nadhani hizi ni dalili za kuishiwa hoja, toa hoja yako na wewe tukusikie. Wasomaji yetu macho mwaka huu!!!!