Kwanini msajili wa vyama vya siasa huwa habadilishwi mara kwa mara?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
46,618
66,801
Tangu nimepata akili za kufuatilia siasa wasajili wa vyama vya siasa ninaowafahamu ni John Tendwa na huyu wa sasa Francis Mutungi,

Sina kumbukumbu kama katika kipindi cha miaka 15 kumekuwa na wasajili wa vyama vya siasa zaidi ya hao wawili, lakini sijawahi kuona tengeua tengeua katika hiyo nafasi yao. Hii nafasi ya msajili ina ulinzi wa kazi(job security) kama CAG, jaji au gavana wa BoT? Au kwa nini hawatenguliwi mara kwa mara?
 
Tangu nimepata akili za kufuatilia siasa wasajili wa vyama vya siasa ninaowafahamu ni John Tendwa na huyu wa sasa Francis Mutungi,

Sina kumbukumbu kama katika kipindi cha miaka 15 kumekuwa na wasajili wa vyama vya siasa zaidi ya hao wawili, lakini sijawahi kuona tengeua tengeua katika hiyo nafasi yao. Hii nafasi ya msajili ina ulinzi wa kazi(job security) kama CAG, jaji au gavana wa BoT? Au kwa nini hawatenguliwi mara kwa mara?
Mbona hapo kati baada ya tendwa nafikiri alihudumu Liundi kama sikosei!
 
Mkuu, weekend uwe unatembelea investment za familia, hizo ndio zako, haya mambo ya siasa hata yakiwa mazuri, yatamfaidi mbowe na genge lake. Hutamuona akija kukupa hata buku. Jikite kwenye kilimo na ufugaji, hata wa nguruwe, ndani ya miaka mitano utagundua kwamba kumbe tatizo sio CCM wala Katiba wala Chadema, ila tatizo ni fikra za kimaendeleo.

Kuna watu wamekuwa matajiri lakini wanatoka katika nchi zenye Katiba ya hovyo na uta wala wa kidikteta. Kuna wazee wetu, enzi ya sheria za ukoloni bado walikuwa matajiri, hawakusubiri Katiba ndio wawe matajiri
 
Mkuu, weekend uwe unatembelea investment za familia, hizo ndio zako, haya mambo ya siasa hata yakiwa mazuri, yatamfaidi mbowe na genge lake. Hutamuona akija kukupa hata buku. Jikite kwenye kilimo na ufugaji, hata wa nguruwe, ndani ya miaka mitano utagundua kwamba kumbe tatizo sio CCM wala Katiba wala Chadema, ila tatizo ni fikra za kimaendeleo.

Kuna watu wamekuwa matajiri lakini wanatoka katika nchi zenye Katiba ya hovyo na uta wala wa kidikteta
Hakuna barabara ya lami kwenda kwenye investments za familia.
 
Tunataka ijenge lami hadi vijijini mashambani sasa kama uRaya.
Tozo ya miamala ya simu ulipaza sauti mpaka koo likataka kupasuka, unadhani hela ya kujenga hiyo lami itayoka wapi?

Unajua historia ya ulaya ilivyojaa ujambazi wa mali za mataifa mengine? Walikuwa wanajichotea lami bure mataifa mengine, na kujenga kwao, wanachota raslimali za mataifa mengine bure, wanajenga kwao. Tanzania hatuna fursa hiyo ya kuiba katika mataifa mengine, na hata kama ipo, hatuitaki. Acha Rwanda waibe Congo, sisi ni taifa safi
 
Tozo ya miamala ya simu ulipaza sauti mpaka koo likataka kupasuka, unadhani hela ya kujenga hiyo lami itayoka wapi?

Unajua historia ya ulaya ilivyojaa ujambazi wa mali za mataifa mengine? Walikuwa wanajichotea lami bure mataifa mengine, na kujenga kwao, wanachota raslimali za mataifa mengine bure, wanajenga kwao. Tanzania hatuna fursa hiyo ya kuiba katika mataifa mengine, na hata kama ipo, hatuitaki. Acha Rwanda waibe Congo, sisi ni taifa safi
Basi barabara za lami vijijini kama Korea Kusini
 
Haya wamebadilika ama bado na kipindi hicho ulikuwa hujazaliwa kwa hiyo wewe akili zako na ufahamu wa mambo ya siasa umeanzia kwa tendwa!
Wewe akili za siasa umezipata lini kama unasema Liundi alikuwa msajili baada ya Tendwa?!
 
Tangu nimepata akili za kufuatilia siasa wasajili wa vyama vya siasa ninaowafahamu ni John Tendwa na huyu wa sasa Francis Mutungi,

Sina kumbukumbu kama katika kipindi cha miaka 15 kumekuwa na wasajili wa vyama vya siasa zaidi ya hao wawili, lakini sijawahi kuona tengeua tengeua katika hiyo nafasi yao. Hii nafasi ya msajili ina ulinzi wa kazi(job security) kama CAG, jaji au gavana wa BoT? Au kwa nini hawatenguliwi mara kwa mara?
Hakuna mbadala wake
 
Back
Top Bottom