Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Wakuu,
Nasikitika zaidi ya kujua kuwa John Tendwa ni Msajili wa Vyama vya Siasa (Registrar of Political Parties) nchini lakini nashindwa kupata background yake kabisa.
Kama kuna wadau wanaweza kunisaidia (naamini itawasaidia wengine) kuweza kumjua vema ni nani, ametoka wapi, na hapa alipo tutarajie wapi ataelekea... (I doubt anaweza kuingia kwenye siasa na akawa upande wa chama 'flani').
Natanguliza shukrani kwa watakaonipa ushirikiano katika hili na huenda ikawasaidia wengi
==========
FROM HIMSELF (Tendwa):
Ametokea Mahakama ya Kazi ambapo alikuwa akifanya kazi kama Incharge alikotokea kuwa Msajili wa vyama vya siasa.
Amefanya kazi ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa muda wa miaka 23 (yeye ni mwanasheria, hakutoa details kwa kirefu; mwandishi wetu atahojiana naye na kutupa kwa undani)
Nasikitika zaidi ya kujua kuwa John Tendwa ni Msajili wa Vyama vya Siasa (Registrar of Political Parties) nchini lakini nashindwa kupata background yake kabisa.
Kama kuna wadau wanaweza kunisaidia (naamini itawasaidia wengine) kuweza kumjua vema ni nani, ametoka wapi, na hapa alipo tutarajie wapi ataelekea... (I doubt anaweza kuingia kwenye siasa na akawa upande wa chama 'flani').
Natanguliza shukrani kwa watakaonipa ushirikiano katika hili na huenda ikawasaidia wengi
==========
FROM HIMSELF (Tendwa):
Ametokea Mahakama ya Kazi ambapo alikuwa akifanya kazi kama Incharge alikotokea kuwa Msajili wa vyama vya siasa.
Amefanya kazi ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa muda wa miaka 23 (yeye ni mwanasheria, hakutoa details kwa kirefu; mwandishi wetu atahojiana naye na kutupa kwa undani)