Kwa ambaye hajaliona ziwa Victoria,atauliza uwepo wake,hata kama lipo lakini hajaliona.Ikiwa umeona unyao wa simba,japo hujamuona huyo simba,utajuwa eneo hili lina simba.
Unapoona dunia na vilivyomo,ni kwa mwenye uelewa mdogo tu,ndio anayeshindwa kuelewa kama lazima atakuwako aliyeyafanya hayo,na hakuna aliyefanya hayo ila Mungu tu.
Uwepo wa Mungu,hautaji darubini,uko ndani ya mwili wa mwandamu,jinsi ulivyoumbwa na mwili unavyofanyakazi.Ambapo wanasayansi wanakiri,usagaji wa chakula,kwenye mwili wa mwanadamu,kama wangeweza kutengeza mashine,kama mwili unavyosaga chakula,machine hiyo ingechukuwa dunia nzima kwa ukubwa wake.
Hakika ni mwenye uelewa mdogo tu,ndio anayesema hakuna Mungu.