'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

proof nyingine ukiacha ambazo umeshaeleweshwa na kukwepa. ni kushindwa kwako kuprove Hayupo bila kuassume Yupo kwanza ili upate uhalali wa kutengeneza hypothesis zenye contradictio. Maana yake bila uwepo wa Mungu huwezi kuja na unrelated theorem to prove kutokuwepo kwake. Mungu Yupo.
Umeandika "proof nyingine ukiacha ambazo umeshaeleweshwa..."

Kabla sijaijibu hii uliyoitaja, hizo nyingine ambazo nishaeleweshwa ni zipi?

Mbona hakuna hata moja inayoyumkinika, achilia mbali kueleweka?
 
Umeandika "proof nyingine ukiacha ambazo umeshaeleweshwa..."

Kabla sijaijibu hii uliyoitaja, hizo nyingine ambazo nishaeleweshwa ni zipi?

Mbona hakuna hata moja inayoyumkinika, achilia mbali kueleweka?
Nafikir kuna haja ya kuagree kudisagree.... manake wanakwambia bora uamini yupo na usimkute kuliko usimuamin alafu umkute... why Mungu achukie kwa viumbe visivyoamin uwepo wake???
 
Nafikir kuna haja ya kuagree kudisagree.... manake wanakwambia bora uamini yupo na usimkute kuliko usimuamin alafu umkute... why Mungu achukie kwa viumbe visivyoamin uwepo wake???
Unaambiwa uamini Mungu wa kamali!
 
Kuna aliyethibitisha Mungu yupo humu?
Hawa watu wana matatizo makubwa mno.Wamejitengenezea dude lao kichwani ambalo haliwezi kuwepo physically and logically.Wanalirithishana na kuliogofya usiku na mchana.

Ukiwauliza ushahidi wa uwepo wake hawakupi jibu la kueleweka zaidi ya confusion(huwezi kuwalaumu sana maana ni product ya wanachokifanya)

Yaani wanazunguka kila field ya taaluma kulitetea hilo dude, kwa nini lisijitokeze na kujithihirisha lenyewe?
Eti mtu unamuuliza thibitisha kuwa Mungu yupo, yeye anakujibu thibitisha kama Mungu hayupo.Huo siyo uzezeta kweli? anayesema yupo anatakiwa atoe sababu kuwa Mungu yupo kwa vigezo hivi....Sasa wao wanaunganisha matukio/mambo yasiyoeleweka vema kusema eti huo ndio ushahidi wa kuwepo kwa Mungu.Kimsingi huo ndio undondocha wenyewe.
 
ungekuwa mtoto wa kwanza wa adam. hayamaswali yako yote yasingekuwepo.
unakubali udhaifu wa maelezo yako unathibitisha Mungu Yupo? kwa maana kwahekima ya maelezo yako kuna wakati vyote hivyo havikuwepo lkn Watu walikuwepo na Mungu alikuwepo.
Kwa hiyo kama mimi siyo mtoto wa kwanza wa Adam siwezi kupata majibu ya hayo maswali?

Onesha ni jinsi gani udhaifu wa maelezo yangu(ambao ni kwa mujibu wa hisia zako) unavyothibitisha uwepo wa Mungu?

Jibu swali nililokuuliza,....Kama Mungu yupo na ni mmoja, kwa nini ziwepo Imani tofauti zinanzo kinzana ambazo zinamwabudu huyo Mungu mmoja?
 
kwa maelezo haya unataka kusema hayupo kwa sababu alimuumba shetani hahahahaa.
sasa mbona unazidi kuprove Yupo. yaani huwezi kuprove hayupo bila kwanza kuwepo akuchanganye ndio useme hayupo.
kweli kazi ipo.
Hayo ni maelezo niliyokupa baada ya wewe kutetea hoja yako ya kwa nini Mungu alimuumba shetani.Nami nikasema kama Mungu alimuumba shetani huenda akawa hana upendo(asingemuumba mwaribifu wa wanadamu) au hana ujuzi wa kujua jambo kabla halijatokea(hakujua kama Shetani atakuja kuasi na kuleta madhara makubwa).

Sasa hapo ukubali tu kuwa Mungu hana sifa za kiungu(upendo wote & ujuzi wote) na kwa maana hiyo hakuna Mungu mwenye sifa hizo zaidi ya hii Miungu uchwara kama miti, miamba, miungu mtu, n.k.
 
Hawa watu wana matatizo makubwa mno.Wamejitengenezea dude lao kichwani ambalo haliwezi kuwepo physically and logically.Wanalirithishana na kuliogofya usiku na mchana.

Ukiwauliza ushahidi wa uwepo wake hawakupi jibu la kueleweka zaidi ya confusion(huwezi kuwalaumu sana maana ni product ya wanachokifanya)

Yaani wanazunguka kila field ya taaluma kulitetea hilo dude, kwa nini lisijitokeze na kujithihirisha lenyewe?
Eti mtu unamuuliza thibitisha kuwa Mungu yupo, yeye anakujibu thibitisha kama Mungu hayupo.Huo siyo uzezeta kweli? anayesema yupo anatakiwa atoe sababu kuwa Mungu yupo kwa vigezo hivi....Sasa wao wanaunganisha matukio/mambo yasiyoeleweka vema kusema eti huo ndio ushahidi wa kuwepo kwa Mungu.Kimsingi huo ndio undondocha wenyewe.
Huto Mungu wao angekuwepo ingekuwa wazi kiasi kwamba swali la kuuliza kama Mungu yupo lingekuwa halina mantiki kuliko kuuliza kama anayeuliza hilo swali yupo.
 
Kwa hiyo kama mimi siyo mtoto wa kwanza wa Adam siwezi kupata majibu ya hayo maswali?

Onesha ni jinsi gani udhaifu wa maelezo yangu(ambao ni kwa mujibu wa hisia zako) unavyothibitisha uwepo wa Mungu?

Jibu swali nililokuuliza,....Kama Mungu yupo na ni mmoja, kwa nini ziwepo Imani tofauti zinanzo kinzana ambazo zinamwabudu huyo Mungu mmoja?
Unataka kutengeneza justification ya kutokuwepo Mungu kwa Kuwepo kwa Dini nyingi zinazopingana. Sasa Ukirusidhwa kipindi hizo dini nyingi hazipo Na Mungu huyu wanaomuabudu hao walio na dini nyingi alikuwepo(Hauoni sio mfano sahihi na unadhihirisha udhaifu wa hoja zako ), Ili upate uhalali wa kuuliza hilo swali maana yake inabidi uanze kwa kuamini Mungu yupo kwanza. Vinginevy utakuwa umeassume Yupo ndio ukaleta maswali wakati Mungu sio Assumtion ni Reality. Hilo swali anapaswa kuuliza ambaye ameshaamini Mungu Yupo kwanza si anayeassume yupo ili apate ground ya kuuliza maswali. Wewe level yako ni kujenga argument ya kutokuwepo kwa kutumia outdated logics za kigiriki
 
Huto Mungu wao angekuwepo ingekuwa wazi kiasi kwamba swali la kuuliza kama Mungu yupo lingekuwa halina mantiki kuliko kuuliza kama anayeuliza hilo swali yupo.
Mwanzo kabisa nilisema kwanini tunajiuliza kama Mungu yupo?
Kwanini hatujiulizi kama Ziwa Victoria lipo?......jibu ni kwasababu Ziwa Victoria lipo na Mungu ni nadharia tu, siyo kweli.
 
Umeandika "proof nyingine ukiacha ambazo umeshaeleweshwa..."

Kabla sijaijibu hii uliyoitaja, hizo nyingine ambazo nishaeleweshwa ni zipi?

Mbona hakuna hata moja inayoyumkinika, achilia mbali kueleweka?
Jibu swali, maana nimeeleza hata kama umeelewa unajitoa fahamu ili kuonyesha consistence ya hizo soga unaozoamini bila kuelewa
 
Unataka kutengeneza justification ya kutokuwepo Mungu kwa Kuwepo kwa Dini nyingi zinazopingana. Sasa Ukirusidhwa kipindi hizo dini nyingi hazipo Na Mungu huyu wanaomuabudu hao walio na dini nyingi alikuwepo(Hauoni sio mfano sahihi na unadhihirisha udhaifu wa hoja zako ), Ili upate uhalali wa kuuliza hilo swali maana yake inabidi uanze kwa kuamini Mungu yupo kwanza. Vinginevy utakuwa umeassume Yupo ndio ukaleta maswali wakati Mungu sio Assumtion ni Reality. Hilo swali anapaswa kuuliza ambaye ameshaamini Mungu Yupo kwanza si anayeassume yupo ili apate ground ya kuuliza maswali. Wewe level yako ni kujenga argument ya kutokuwepo kwa kutumia outdated logics za kigiriki
Nikianza kuamini Mungu yupo na kuamini kwenye dini, lazima nitaonesha partiality.Nitakuwa natetea dini yangu na kuiona ndio ya kweli machoni pa Mungu.

Ila kwa sasa ndilo swali la msingi kuuliza kama Mungu yupo mbona anawaongoza watu wake kiutofauti? kwa nini afanye hivyo?
Kuwepo kwa dini mbalimbali ni ushahidi kuwa dini ni man made enterprises.Dini zilizotengenezwa na watu zina malengo yaliyotengenezwa na binadamu(akiwepo Mungu).

Swala la kuwa na dini nyingi zenye kutofautiana lakini zinazopretend kuwa na lengo moja, ni moja kati ya maelfu ya sababu zenyekudhihirisha kuwa hakuna Mungu.
 
Lakini kumbuka pia
"Dai lisilo na ushahidi linaweza kupingwa bila ushahidi pia"
Nadhani Kutokuweza kuonesha kuwa Mungu hayupo hakufanyi awepo.
ligo20160211_Tn.jpg

Hiyo mkuu labda ni sheria, Ila ukija kwenye science vise versa pia ni sawa kabisa.
Mfano hai: Albeit Einstein 1915 akielezea Relativity na uwepo wa Gravitation Waves Lakini hakukuwa na ushahidi wa hiki kitu na ilionekana haina uhalisia, Lakini September 14, 2015 at 5:51 a.m kwa kutumia LIGO detectors kwa mara ya kwanza Gravitational waves zilikuwa detected na kubadilisha sura ya ulimwengu wa sayansi ya Anga.
Kwa hiyo to some extend Absence of Evidence is not the evidence of Absence. This should stimulate more search for Facts and learning and not turning 180* against the matter of fact.
Nadhani Kutokuweza kuonesha kuwa Mungu hayupo hakufanyi awepo.
Kwa nini Hiki kisikufanye kutafuta zaidi badala ya kuwa against. Na ukimuuliza Mungu mwenyewe kupitia vitabu vyake anakurudisha kwa nature na His creative work analysing them in depth You will be assured of his presence. Wanasayansi wanafanya utafiti kwa nji hii wanayoyaona wanapata kigugumizi kuwa Mungu hayupo. Why choose the direction of ancient uninformed and outdated Greece philosophic logics just to satisfy yourown deception.
 
Jibu swali, maana nimeeleza hata kama umeelewa unajitoa fahamu ili kuonyesha consistence ya hizo soga unaozoamini bila kuelewa
Kwa nini nikujibu swali wewe wakati wewe hujanijibu?

Wapi uliponielewesha kama unavyodai?
 
Fact:

Hakuna aliyethibitisha kwamba Mungu yupo mpaka sasa.
 
ligo20160211_Tn.jpg

Hiyo mkuu labda ni sheria, Ila ukija kwenye science vise versa pia ni sawa kabisa.
Mfano hai: Albeit Einstein 1915 akielezea Relativity na uwepo wa Gravitation Waves Lakini hakukuwa na ushahidi wa hiki kitu na ilionekana haina uhalisia, Lakini September 14, 2015 at 5:51 a.m kwa kutumia LIGO detectors kwa mara ya kwanza Gravitational waves zilikuwa detected na kubadilisha sura ya ulimwengu wa sayansi ya Anga.
Kwa hiyo to some extend Absence of Evidence is not the evidence of Absence. This should stimulate more search for Facts and learning and not turning 180* against the matter of fact.
Nadhani Kutokuweza kuonesha kuwa Mungu hayupo hakufanyi awepo.
Kwa nini Hiki kisikufanye kutafuta zaidi badala ya kuwa against. Na ukimuuliza Mungu mwenyewe kupitia vitabu vyake anakurudisha kwa nature na His creative work analysing them in depth You will be assured of his presence. Wanasayansi wanafanya utafiti kwa nji hii wanayoyaona wanapata kigugumizi kuwa Mungu hayupo. Why choose the direction of ancient uninformed and outdated Greece philosophic logics just to satisfy yourown deception.

Sasa mkuu nduo uzuri wa sayansi kuwa kitu kina semwa kwa calculations na kinakuja kugundulika kuwa ni kweli. Uwepo wa Mungu umesemwa miaka zaid ya 1000 hata trace zake tuu hazipatikani.
Na suala la vitabu vya Mungu ndii tatizo kabisa, vitabu hivo ni vya watu kama wewe walikaa wakafikiria waka viandika so hata wewe unakuwa decived mkuu, kufikiria Mungu alikuwa ana ongea na mfanyabishara mmoja huko saudi Arabia, au mzee mmoja huko Israel.
 
Sasa mkuu nduo uzuri wa sayansi kuwa kitu kina semwa kwa calculations na kinakuja kugundulika kuwa ni kweli. Uwepo wa Mungu umesemwa miaka zaid ya 1000 hata trace zake tuu hazipatikani.
Na suala la vitabu vya Mungu ndii tatizo kabisa, vitabu hivo ni vya watu kama wewe walikaa wakafikiria waka viandika so hata wewe unakuwa decived mkuu, kufikiria Mungu alikuwa ana ongea na mfanyabishara mmoja huko saudi Arabia, au mzee mmoja huko Israel.
Haya ni maelezo yasio na uthibitisho,wenye kuondoa kiu,ya kuthibitisha kama Mungu hayupo.
 
Nikianza kuamini Mungu yupo na kuamini kwenye dini, lazima nitaonesha partiality.Nitakuwa natetea dini yangu na kuiona ndio ya kweli machoni pa Mungu.

Ila kwa sasa ndilo swali la msingi kuuliza kama Mungu yupo mbona anawaongoza watu wake kiutofauti? kwa nini afanye hivyo?
Kuwepo kwa dini mbalimbali ni ushahidi kuwa dini ni man made enterprises.Dini zilizotengenezwa na watu zina malengo yaliyotengenezwa na binadamu(akiwepo Mungu).

Swala la kuwa na dini nyingi zenye kutofautiana lakini zinazopretend kuwa na lengo moja, ni moja kati ya maelfu ya sababu zenyekudhihirisha kuwa hakuna Mungu.
Wasioamini Mungu ili hoja zao,ziwe na nguvu,lazima wamtegemee Mungu.Hawana pa kushika,kwa vile hoja zao wanakinzana. Wasioamini Mungu wako makundi 17,wkiwa katika set 7,zinazokinzana,kwa kupingana,mikwamo isio na kikomo,yenye kujikwamisha yenyewe.
 
Kwa nini nikujibu swali wewe wakati wewe hujanijibu?

Wapi uliponielewesha kama unavyodai?
Umeelezwa na Utaendelea kuelezwa ingawa sio lazima uchague huo ushauri you were created with freedom of choice as satan adam and eve. Uwepo wa Mungu Unajidhihirisha kupitia Kazi zake. Yaani Approach nzuri ni down-up approach kutoka kwa kazi zake kwenda kwake. Na ndivyo anavyomweleza hata ayubu walipokuwa wakihojiana. Cha ajabu unaenda kutafuta vijusfication outdated kabisa(Euclid geometry) ili uufurahishe Moyo Wako.
Mungu Yupo kwa Ushahidi wa kazi zake, Na alivyovisema vyote ndivyo vinaonekana sasa kupitia sayansi. Kwa maana nyingine Akiamka Ayubu leo hatashangaa akiona Vitu ambavyo yeye aliambiwa kwa kwa maneno akaviamini Leo Dunia Inatumia matrillions ya dollar kuvigundua.
Wewe ndio unatakiwa watu wakushangae kwa kutumia vitu ambavyo ni irrevant na havina uhusiano kama proof ya kutokuwepo Mungu Huku basis ya proof ni Uwepo wa Mungu.
Proof ya Uwepo wa Mungu ni Kazi zake, Ila sio lazima Ukubali unaweza kuendelea na Utaratibu wako wa maisha.
 
Back
Top Bottom