Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,788
- 145,607
Umeelezwa na Utaendelea kuelezwa ingawa sio lazima uchague huo ushauri you were created with freedom of choice as satan adam and eve. Uwepo wa Mungu Unajidhihirisha kupitia Kazi zake. Yaani Approach nzuri ni down-up approach kutoka kwa kazi zake kwenda kwake. Na ndivyo anavyomweleza hata ayubu walipokuwa wakihojiana. Cha ajabu unaenda kutafuta vijusfication outdated kabisa(Euclid geometry) ili uufurahishe Moyo Wako.
Mungu Yupo kwa Ushahidi wa kazi zake, Na alivyovisema vyote ndivyo vinaonekana sasa kupitia sayansi. Kwa maana nyingine Akiamka Ayubu leo hatashangaa akiona Vitu ambavyo yeye aliambiwa kwa kwa maneno akaviamini Leo Dunia Inatumia matrillions ya dollar kuvigundua.
Wewe ndio unatakiwa watu wakushangae kwa kutumia vitu ambavyo ni irrevant na havina uhusiano kama proof ya kutokuwepo Mungu Huku basis ya proof ni Uwepo wa Mungu.
Proof ya Uwepo wa Mungu ni Kazi zake, Ila sio lazima Ukubali unaweza kuendelea na Utaratibu wako wa maisha.
Umeandika "you were created with freedom of choice".
Suppose nipo njiapanda, njia inagawanyika kwenda kulia na kushoto.
Kwa mujibu wako, nina uhuru wa kuamua niende kulia au kushoto.
Kabla sijachagua kwenda kulia au kushoto, Mungu wako anajua njia nitakayochagua?