'Who created God' is an Illogical Question!

Usikwepe kujibu swali.Thibitisha ubaya uko vipi.Kwa nyenzo unayoiamini.
Wewe hujui hata uliposimamia.

Hata Quran huiamini wakati unasema ni Muislamu.

Ungekuwa unaamini Quran usingetaka uthibitisho kama kuna maovu.
 
The bible is full of contradictions. Why do you believe it is the word of God?
naona unahamisha goli. jibu kwa sababu all those statements are scientiffically correct. mbona unatoa majibu mepesi. rudi kwenye mtiririko if not God give me your assumptions. bible has never contradicted itself though it may look so according to your current knowledge . Jibu hoja kwa mtiririko urihamehame mkuu.
 
Kwa muislamu sio lazima aseme anaamini Qur'an,matendo yake ndio yatakayoambatana na kusema kama anaamini vitabu vya Mungu vyote.
Wewe matendo yako hayaoneshi kwamba unaamini Quran.

Unaomba uthibitisho kama mabaya yapo duniani wakati yameelezwa yapo katika Quran unayosema unaiamini.

Kwa nini unaomba uthibitisho wa kitu ambacho kimeelezwa katika kitabu chako mwenyewe cha dini?

Ina maana humuamini Mungu wako mwenyewe? Unataka mimi nithibitishe ubaya upo duniani wakati Mungu wako kasema hivyo katika Quran?

Huamini Quran?

Hivi unaelewa kama unaenda au unarudi wewe?

Unaamini Mungu yupo au huamini?

Unaamini Quran au huamini?
 
Halafu aseme kwa nini contradiction au lies ni vitu vibaya. Naona karuka kama hajaona vile 🙂
 
Tunarudi kulekule unajuaje kuwa kuku akimfanyia ubaya mwenzake hapati dhambi? Dhambi ni nini?

Kwa nini unapenda kuwafanya watu special kiasi hicho? Ushawahi kuingia ndani ya akili za kuku na kujua wanachofikiri?
 
Kiranga huna uthbitisho wa ubaya,unajigonga.Unapoambiwa utoe uthibitisho,utoe uthibitisho,usio utoe maelezo.
 
Kiranga huna uthbitisho wa ubaya,unajigonga.Unapoambiwa utoe uthibitisho,utoe uthibitisho,usio utoe maelezo.
Ni aina gani ya ubaya ulikuwa unautaka akutajie ... Nadhani kiranga alikuwa akimaanisha mambo kama vimbunga vinavyoua watu, matetemeko,Ugonjwa n.k
 
Ni aina gani ya ubaya ulikuwa unautaka akutajie ... Nadhani kiranga alikuwa akimaanisha mambo kama vimbunga vinavyoua watu, matetemeko,Ugonjwa n.k
Amethibitisha vipi kama ni vitu vibaya ,kwa nyenzo anazoamini yeye au wewe.
 
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote aumbe ulimwengu uliyo na imperfections?

Kama Mungu yupo kwa nini umtetee wewe na siyo ajitete mwenyewe?
Kama mambo hayapo kama tutakavyo ndiyo tusema hakuna mungu?
 
Kama mambo hayapo kama tutakavyo ndiyo tusema hakuna mungu?
Kama Mungu ni mkamilifu mbona kaumba vitu visivyo kamilifu?

Ina maana hakuna Mungu mkamilifu anayeweza kuumba vitu kwa ukamilifu.
 
Hiki unachoeleza unauhakika kuwa ndio ukweli halisi na siyo mawazo yako?

Je wafia dini wengine wakiulizwa swali hili watatoa jibu kama la kwako ama watafikiria jibu lingine?
hiyo ni kazi yako kuchakata. sikujibu ili niwe na usambamba wa maoni na unaowaita wafiadini, wala sikujibu ili uje umuamini Mungu hiyo ni kazi yako kuchagua mimi sihusiki.
 
Kama Mungu ni mkamilifu mbona kaumba vitu visivyo kamilifu?

Ina maana hakuna Mungu mkamilifu anayeweza kuumba vitu kwa ukamilifu.
Kwanza hivyo vitu ambavyo sio vikamilifu ni vp ambavyo vimeumbwa?

Halafu nieleze mahusiani ya hivyo na kutokuwepo kwa mungu.
 
.
Hapana, swali lake lina mantiki, hata kama hajajieleza kimantiki. Katika metaphysics tunaulizana: Is God Omnitemporal or atemporal? Huu ndio msingi wa swali lake. Mjadala sasa uendelee.

Kuhusu ukweli, unachoongelea ni “first principles of logic” kwa mfano, “no statement can be true and false”. Mbali na hizo kanuni, kauli nyingine zote zinahitaji ushahidi. Katika philosophy, “God is an uncause D cause” sio self-evident.

Mjadala uendelee.
 
Kama Mungu ni mkamilifu mbona kaumba vitu visivyo kamilifu?
Kwa nini ni vibaya vitu kutokuwa vikamilifu?

Ina maana hakuna Mungu mkamilifu anayeweza kuumba vitu kwa ukamilifu.
Kipimo chako cha ukamilifu ni nini?
1. Kama ni akili yako Je yenyewe ni kamilifu?
2. Kama ni maandiko ya/watu wengine, je wao ni wakamilifu?

Ukamilifu ukoje? na unaupimaje?
 
hiyo ni kazi yako kuchakata. sikujibu ili niwe na usambamba wa maoni na unaowaita wafiadini, wala sikujibu ili uje umuamini Mungu hiyo ni kazi yako kuchagua mimi sihusiki.
Sasa huoni kuwa kuna hatari ya kuababudu na kuamini mawazo ya fikra zako nikisema ni Mungu?

Wewe umewahi kumuona, kumhisi, kumshika au kumsikia Mungu physically au unafuata fikra za watu wa kale zenye kukinzana kwenye kitabu kinachodaiwa kuwa cha Mungu?
 
Kwanza hivyo vitu ambavyo sio vikamilifu ni vp ambavyo vimeumbwa?

Halafu nieleze mahusiani ya hivyo na kutokuwepo kwa mungu.
Dunia siyo well designed na ndio maana kuna majanga asilia. Kwa hiyo hakuna Intelligent designer mnayedhania yupo.

Kwenye miili ya viumbe hai kuna -ve mutation zenye kusababisha matatizo kibao, hivyo sii kweli watu waliumbwa na Intelligent designer mnayedai yupo.
 
.
Umejieleza vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…