Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,831
- 145,677
Hujajibu swali langu.Wewe waamini Qur'an?
Mimi nataka kwenda na mfumo unaouamini wewe.
Kwa sababu ninaweza kukutajia mfumo usiouamini ukawa hukubali jibu langu.
Wewe unaamini Mungu yupo.
Nimekuuliza unaamini Quran?
Ni swali dogo tu. Lijibu.