'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Yes.

By logical contradiction.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ni contradiction. Hujaweza kuiondoa contradiction hii.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Unaweza kuondoa hiyo contradiction?
We si unasemaga haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo?
 
Yes.

By logical contradiction.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ni contradiction. Hujaweza kuiondoa contradiction hii.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Unaweza kuondoa hiyo contradiction?
Hujathibitisha.Umujuwaje kama kuna mabaya.Imethibitisha vipi kama ni mabaya.
 
Nimeuliza kwa nini Mungu aniumbe nikiwa limited?
Kwa nini unataka uwe unlimited.
Mungu aliumba limited universe ambayo sio hiyo tu bali hata wewe mwenyew hujajijua 100% na kila kitu ambacho ungehitaji kwenye maisha yako na ambacho kipo within your limit sio wewe tu dunia nzima wameshagundua asilimia chini ya moja. wabishi wote wanapochunguza malimwengu wanakutana na maswali yasiyo na majibu. why claim for unlimitedness while you know nothing on things that are within your limit. he created you to be limited for his own glory and for you to enjoy the world
 
We umeniambia kuwa kwa sababu siwezi kuthibitisha kitu ninachokiamini hivyo naamini kitu chenye contradiction.

Au sikukuelewa vizuri?
Hapana.

Hujanielewa kama kawaida yako.

Nimekwambia unaamini kitu ambacho huwezi kukithibitisha na chenye contradiction.

Hivi ni vitu viwili tofauti.

Sina tatizo sana na mtu anayeamini kitu ambacho hawezi kukithibitisha. Kimsingi vitu vyote ambavyo tunakubali vitatokea katika muda ujao ni vitu tunavyoamini bila kuwa na uwezo wa kuvithibitisha. Muda ndio unatusaidia kuthibitisha. Hivyo mimi ninapoamini jua litachomoza kesho naamini kitu ambacho leo siwezi kukithibitisha. Nitaweza kukithibitisha kesho.

Hilo sina tatizo nalo. Hata mimi kuna vitu ambavyo naamini ambavyo siwezi kuvithibitisha kama hilo la jua kuchomoza kesho.

Lakini hilo halina contradiction. Mtu akisema "naamini jua litachomoza kesho" hakuna contradiction yoyote katika imani hiyo. In fact imani hiyo ina msingi mzuri tu katika rekodi ya jua kuchomoza kila siku bila kushindwa kuchomoza hata siku moja katika maisha yake yote huyu mtu.

Ila mtu anaposema "naamini kuna Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ambaye alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kutokea, lakini hakuumba ulimwengu huo akaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea" habari hii ina contradiction.

Contradiction ni mambo mawili yanayojipinga.

Kusema "naamini jua litachomoza kesho" hakuna mambo mawili yanayojipinga.

Kusema "naamini kuna Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote aliyekuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani lakini kaumba ulimwengu huu ambao mabaya yanawezekana" kuna contradiction.

Upande mmoja Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba dunia ambayo mabaya hayawezekani, upande wa pili Mungu huyu anaamua kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana. Kwa nini? Mungu anajipinga mwenyewe huyu.

Kama ana uwezo wote na upendo wote, kwa nini hajaumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Alitaka kuumba ulimwengu huo lakini akashindwa tu?

Kama alitaka na akashindwa tu, ni kweli ana uwezo wote?

Ama aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ila hakutaka tu?

Kama aliweza na hakutaka tu, je ni kweli ana upendo wote?

Je ni kweli Mungu huyu yupo au ni hadithi za watu tu?

Unaweza kuthibitisha yupo na kuondoa contradiction hii?
 
We si unasemaga haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo?
That statement is always qualified that one cannot prove something does not exist outside of a logical context.

We can prove certain mathematical equations do not have solutions.

Mathematics operates on logic.
 
Hujathibitisha.Umujuwaje kama kuna mabaya.Imethibitisha vipi kama ni mabaya.
Kwa hiyo unasema duniani hakuna mabaya?

Kama duniani hakuna mabaya Mungu wako anataka kuwahukumu watu kwa sababu gani?
 
Kwa nini unataka uwe unlimited.
Mungu aliumba limited universe ambayo sio hiyo tu bali hata wewe mwenyew hujajijua 100% na kila kitu ambacho ungehitaji kwenye maisha yako na ambacho kipo within your limit sio wewe tu dunia nzima wameshagundua asilimia chini ya moja. wabishi wote wanapochunguza malimwengu wanakutana na maswali yasiyo na majibu. why claim for unlimitedness while you know nothing on things that are within your limit. he created you to be limited for his own glory and for you to enjoy the world
Kabla ya kusema Mungu aliumba hivi na vile...

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Unafikir kumfagilia Mungu hivyo ndio kwenda peponi?? Unaweza ukampinga na ukaenda peponi pia... matendo ya mtu ndio kipimo... huenda nikawa naswali, huenda nikao kwa taratibu za kidini... but nikubaliane na kila ninaloambiwa. Ndio maana kwa ulimwengu wa sasa na ule uliopita zama hizo kuna tofauti kubwa mno...(kizazi cha jua linazunguka dunia). Vile namfikira babu yangu ambae alikuwa na jina la asili... je, alikuwa kwenye kundi gani.. its obvious ni kundi lile lililokuwa linaamin Mungu yuko juu.. kwenye anga ya blue. Yaani ukitoboa kwenye anga ya blue basi utakuwa kwenye imaya yake... waliamini mpaka wamekufa, wakiwa na hayo na mawazo... kitu ukiwa haikujui lazima utakiwaza tofauti na uhalisia. Mfano ukitajiwa Mungu ni jinsi gani unam-decode... unapata picha ya aina gani?? Physical au non physical... (unaposema yupo hai, tunazungumzia uhai kwa namna ipi kama ya kwetu sisi??) ... or hayupo hai wala mfu.... ni Mungu hawezi kuwa na attributes zangu...( his attributes must be unique...). Nadhani tunazungumzia concept ya Mungu but ikiwa na very big variations... which to me naona no nonsense. (If I can't use my brain kujaji... nitajuaje kwmba sheikh au padri ndie anaesema ukweli???)
hakuna anayemfagilia maana yeye hana haitaji hilo hata usipomkubali ana millions of galaxies with trillions of suns abd stars eith unnumbered planets and object all those are the work of his creation and appreciate him in wonderful way. whom am i a minute creature nimfagilie ili nipate favour. hapa ni kweli he is God. the creator of everything. it is upon any living being to accept or deny but that doesnt change the reality. angeshangaa sana kama kungekuwa na watu wasiouliza haya maswali ya wakina kiranga. ni haki yao kama living organism living as citizen of this universe
 
Kama hakuna cha ajabu basi badala ya jua kuchomoza mashariki kila siku na kuzama magharibi, lifanye jua lichomoze kutoka magharibi na kuzama mashariki angalau kwa siku moja.

Science does not create laws of nature, Science explains the laws of nature. Naweza kukwambia tu kwa nini jua linatokea mashariki kwenda magharibi....
 
Kabla ya kusema Mungu aliumba hivi na vile...

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
naona unazunguka kama pendulum bob. umeanza na swali hili. ikafika wakati scientifically proven there is supernatural being behind all these. nikakuomba ulete list ya weewe unadhani what can present his causative agent ili tuone kama unaoption beyond God with similar features. unarudi tena kule ulikotoka na swali lile.ni kama mtu alieamua kutafuta square root ya moja . twende tulipokomea
 
Wewe umenambia Mungu hayupo,ambaye hayupo atakuwaje na vitabu?
Mazee.

Nimetoka kukufundisha "immanent critique" muda si mrefu hapa.

Hujaielewa bado tu?

Jibu swali. Huyo Mungu unayemuamini kwamba yupo, vitabu vyake unaviamini au huviamini?
 
naona unazunguka kama pendulum bob. umeanza na swali hili. ikafika wakati scientifically proven there is supernatural being behind all these. nikakuomba ulete list ya weewe unadhani what can present his causative agent ili tuone kama unaoption beyond God with similar features. unarudi tena kule ulikotoka na swali lile.ni kama mtu alieamua kutafuta square root ya moja . twende tulipokomea
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo unarukia kusema Mungu kaumba hili na lile.
 
Back
Top Bottom