Jamani naonewa, jamani naibiwa....
Mmh! umeitoa wapi picha ya rafiki yangu Mod ..., simtaji naogopa BAN,ila ndo yeye hapo kushoto,nilimpiga hiyo pic 2007 maeneo ya Mbweni!
king'ast wee acha tu, unajiuliza hili toto nimelitoa wapi?! (kimoyomoyo lakini!!)Aisee, a touching one. Kuna mitoto inakula sausage na mayai for breakfast, inabeba chipsi na juice shule, inakuwa picked na skul bus, afu inafeli! Mungu akusaidie dogo.