Hawa chekechea hapo chini ndo wanajua ugomvi, wao hapo tayari wamekubaliana kila mmoja avue viatu,afu hakuna mateke,afu ngumi wanarusha kwa awamu,afu hakuna kupiga kwenye MAJICHO,wakimaliza hapo hakuna Bif tena!
Lol! Kitambo ilitokea msiba Moshi, watu wamezunguka jeneza na kaburi. Candles zikakutana na perfumes zilizopuliziwa maiti, ikatokea kama explosion. Watu walikimbia hadi waliokuwa wameshikiliwa wakawapita washikiliaji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.