Who cares

Who cares

[h=3]
297140_1448319248107_1236960632_31216926_594982459_n.jpg
[/h]
 
teh teh mbona hata waafrica wanabebwa hapo,ni hela yako tu...sema waafrica ni wabahili wako radhi wasilipe waogelee humo kny maji.:loco::loco:
 
Hihihiii, Mie nilibebwa sana tu enzi zangu.

Ngosha enzi hizo napiga Punk la nguvu kichwani, Totoz zote zinanipapatikia.

Ukiongeza na huku kupanda juu kidogo, aka Mwanawane, kubebwa kwa sana tu.

Huyo kijana angelikuwa anajua lugha, na yeye USIKU angelibebwa. Tena ile ya tufungane kanga, hihihiii......
 
Mapenzi ni kitu muhimu sana hapo njemba inaona bora nikoge mimi mchuchu asije kulowa duh,tuna kibarua wanaume..
 
waswhili wanaona noma kupigwa picha ya kubebwa nao hubebwa pia.
 
Dadadadeeeeki wallah! hadi waandamane UK kwa niaba yetu,huku viongozi wetu Njegele hawajui lolote! SHAME ON ME!!
 
Mmh! umeitoa wapi picha ya rafiki yangu Mod ..., simtaji naogopa BAN,ila ndo yeye hapo kushoto,nilimpiga hiyo pic 2007 maeneo ya Mbweni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom