Usinikumbushe mwaka 1994 nilihudhuria mazishi wilayani Mpanda,kitongoji cha Makanyagio, basi viongozi walipomaliza taratibu zote nakuwaandaa vijana kumbeba marehemu ili wamuhifadhi basi marehemu akapiga chafya kisha akainika akaanza kujifungua sanda,wewe zaidi ya watu 20 walilazwa hospitali sababu ya kuvunjika miguu maana ilikuwa hakuna kuuliza ukiona wa mbele yako ni mvivu wa kukimbia basi ni kumpitia tu.Kwa wanaoijua vizuri Mpanda tulikuja kuulizana tupo Mwangaza Sekondari,e bana vipi amefufuka kweli au ni kiini macho.Sasa ninachojiuliza mpaka leo ni kitu gani huwa kinawafanya watu wamkimbie marehemu inapojitokeza hali kama hiyo wakati walikuwa wanamlilia..
wanawake gani haoKuna wanawake ambao nilishaweka nadhiri kuwa hata kama utanikabidhi dollars milioni moja ili niwe nina uhusiano naye basi nitakuambia bora uondoke na hela yako kuliko mimi kuwa na mtu wa aina hiyo..
wanawake gani hao
Duh! Hii ni kali! Sasa huyo aliyefufuka aliendelea kuishi ama amefufuka na kufa tena!
wake zao wana bahati,wanaume wa JF mjifunze na nyie kusaidia wake zenu at least jioni ikifika ukidai tunda kutakuwa hakuna kisingizio cha kuchoka.
Aliishi kama wiki mbili akafa tena na katika muda wote huo alioishi hakuweza kuzungumza na mtu yeyote..
Hapo ndipo anapotafutwa mchawi, huchelewi kusikia bibi wa miaka 68 kauliwa
Hapo hadi muendesha ibada amekula kona
Kama ulikuwepo kaka na hiki ndicho kilichotokea na ni kisa cha kweli kabisa ila sitaweza kutaja majina kwa kuwa sina haki hiyo..
Kama ulikuwepo kaka na hiki ndicho kilichotokea na ni kisa cha kweli kabisa ila sitaweza kutaja majina kwa kuwa sina haki hiyo..