Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,138
- 16,202
Dah, haya yote kasababisha mjaluo.
lol! Kitambo ilitokea msiba moshi, watu wamezunguka jeneza na kaburi. Candles zikakutana na perfumes zilizopuliziwa maiti, ikatokea kama explosion. Watu walikimbia hadi waliokuwa wameshikiliwa wakawapita washikiliaji!
Lol! Kitambo ilitokea msiba Moshi, watu wamezunguka jeneza na kaburi. Candles zikakutana na perfumes zilizopuliziwa maiti, ikatokea kama explosion. Watu walikimbia hadi waliokuwa wameshikiliwa wakawapita washikiliaji!
Usinikumbushe mwaka 1994 nilihudhuria mazishi wilayani Mpanda,kitongoji cha Makanyagio, basi viongozi walipomaliza taratibu zote nakuwaandaa vijana kumbeba marehemu ili wamuhifadhi basi marehemu akapiga chafya kisha akainika akaanza kujifungua sanda, wewe zaidi ya watu 20 walilazwa hospitali sababu ya kuvunjika miguu maana ilikuwa hakuna kuuliza ukiona wa mbele yako ni mvivu wa kukimbia basi ni kumpitia tu.Lol! Kitambo ilitokea msiba Moshi, watu wamezunguka jeneza na kaburi. Candles zikakutana na perfumes zilizopuliziwa maiti, ikatokea kama explosion. Watu walikimbia hadi waliokuwa wameshikiliwa wakawapita washikiliaji!
Amepose apigwe picha akiwa na hiyo bunduki
Mbuzi mzee wacha uzushi. Unaleta habari za ajabu ajabu......