SnapchatAmeanza kupigiwa wimbo wa Taifa YouTube?
SnapchatAmeanza kupigiwa wimbo wa Taifa YouTube?
Hana anayemuogopaPolepole alianika uchafu wake wote.. zee la hovyo sana lile.. baada ya kugundua amestukiwa kaona ajifiche...
Hatia inamtesa... pia ipo wazi ndiye kiongozi wa wahuni gang.. a.k.a wanamtandao... ana shutuma nzito lazima ajifiche tu...Hana anayemuogopa
Hana sababu ya kujificha.
Hana sababu ya kujificha.Hatia inamtesa... pia ipo wazi ndiye kiongozi wa wahuni gang.. a.k.a wanamtandao... ana shutuma nzito lazima ajifiche tu...
Rizi hawez kupata urais kwanza 2030 ni zam ya wakristo liaupasukeAnasukuma kete, Rizimoko 2030
kuiba kwake hakumfanyi asijihisi hatia, aibu na uoga kwa kile ambacho amefanya..Hana sababu ya kujificha.
Kama kuiba ameshaiba vingi, huenda kuzidi hata mahitaji yake kiasi kwamba haelewi hata afanye nini na mali alizoiba serikalini.
Huyo Polepole naye alikuwa mnafiki tu.kuiba kwake hakumfanyi asijihisi hatia, aibu na uoga kwa kile ambacho amefanya..
Kumbuka kwamba Polepole ni mwana CCM , alikuwa hasizingizii yale yote aliyozungumza online.... JK alihujumu uongozi wa JPM na alihusika na vifo vya viongozi awamu ya JPM aliwemo JPM mwenyewe.. tuhuma nzito sana hizo..
Hapo lazima uogope...
Ni sahihi, ni mawazo yako, kuna ambao walisikia habari za chini chini pasipo uhakika Polepole ni kama alikuja kuweka uhakika... na wengi waliamini...Huyo Polepole naye alikuwa mnafiki tu.
Ki msingi Sihitaji maneno ya Polepole au mwingine yoyote kutambua kwamba JK is an evil man who is recently backing up that woman from Isles
Mkuu JK akiamua Riz awe anakuwa bila kujali zamu sijui ya nani. Nadhani unaona wakatoliki wanavyopigwa zengwe siku hizi.Rizi hawez kupata urais kwanza 2030 ni zam ya wakristo liaupasuke
Hakuna kitu kama hicho, kwasasa ndiyo mzee wa ovyo kuliko wote ni vile mfumo unamvumilia tu. Pia amechangia pakubwa sana kumpoteza s100Mkuu JK akiamua Riz awe anakuwa bila kujali zamu sijui ya nani. Nadhani unaona wakatoliki wanavyopigwa zengwe siku hizi.
Ni kuomba tu JK abadilishe msimamo juu ya urais wa 2030 maana hatuna chombo cha kuzuia uovu, mi tangu jeshi lihusike kututembezea risasi raia October 29 sina Imani kabisa na vinavyoitwa vyombo vya ulinzi na usalama
Ni kweli uhovyo wake hakuna mtu asiyeujua ila vyombo vyetu wanatumikia matumbo na si nchi tena, na amani wangetanguliza maslahi ya taifa mbele tusingefikia hali tuliyonayo mpaka Sasa kama taifa. Tumekuwa taifa la kutolewa mifano mibaya kuliko wakati mwingine wowote na inaonekana hatuna wazalendo kutoka vitengo nyeti vya ulinzi na kama wapo aidha wamezidiwa ujanja na wezi au wameamua iwe hivi.Hakuna kitu kama hicho, kwasasa ndiyo mzee wa ovyo kuliko wote ni vile mfumo unamvumilia tu. Pia amechangia pakubwa sana kumpoteza s100