When You Kiss Me

When You Kiss Me

gaga thanx
hiyo nyimbo dedication yako leo hii
from me
wo wo wo! the boss!
juzi ulisema stread za mapenzi humu ndani zishakuchosha.
nikakujibu KUWA U-reset your frequency then you will be in the truck.
nashukuru ufuata ushauri wangu BOSS.
 
wo wo wo! the boss!juzi ulisema stread za mapenzi humu ndani zishakuchosha.nikakujibu KUWA U-reset your frequency then you will be in the truck.nashukuru ufuata ushauri wangu BOSS.
Threads za mapenzi zile za kuomba ushauri ndio zinazoboa bwana! Check hii ya Gaga inavyotupa raha!
 
wo wo wo! the boss!
juzi ulisema stread za mapenzi humu ndani zishakuchosha.
nikakujibu KUWA U-reset your frequency then you will be in the truck.
nashukuru ufuata ushauri wangu BOSS.
Unachokonoa mkubwa wewe shauri yako
 
unajua bishanga, wakina dada huwa mara nyingi,
wanajiona wao ni good kisser kuliko wanaume,
sijui kwanini huwa wana mtizamo huo!!!!!!
Lakini kiukweli wao ndo huwa wanatuangusha sometimes,
wakina baba twaweza kukiss vizuri endapo
tunakutana na mdada anaejua kujiweka katika mkao ulio sahihi kabisa!!!
Asha ?Gaga naomba msije na hasira hapa..........................

Bacha every woman loves a kiss hicho ndio kinachowafanya wanawake wengi kuwa good kissers na wanauwezo mkubwa waku-connect emmotionaly kuliko wanaume. Kingine wanaume wengi ambao sio good kisser huwa pia they are not so good in bed, hawana mautundu, Alichosema Gaga na Asha ni kweli i support them
 
Habari ya jumatatu wanajamii wote haswa wa MMU,
Jumatatu ya leo ningependa kuwapa dedication wale wote
wapendanao, na wenye mapenzi mema kwa wenza wao

Chek huu wimbo wa Shania Twain, kwa mie huwa nakumbuka
mbali sana, ni siku nyingi nilimpa la aziz wangu kama dedication
na yeye since then amekuwa akiusikiliza mara kwa mara apatapo nafasi

Naomba ku share na nyinyi



"When You Kiss Me"

This could be it, I think I'm in love
It's love this time
It just seems to fit, I think I'm in love
This love is mine

I can see you with me when I'm older
All my lonely night are finally over
You took the weight of the world off my
shoulders (the world just goes away)

[Chorus:]
Oh, when you kiss me

I know you miss me--
and when you're with me
The world just goes away
The way you hold me
The way you show me that you
adore me--oh, when you kiss me
Oh, yeah

You are the one, I think I'm in love
Life has begun

I can see the two of us together
I know I'm gonna be with you forever
Love couldn't be any better

[Repeat Chorus]

[Instrumental Solo]

I can see you with me when I'm older
All my lonely nights are finally over
You took the weight of the world off my
shoulders (the world just goes away)

[Repeat Chorus]

And when you kiss me
I know you miss me
Oh, the world just goes away
When you kiss me

gaga bwana huishi ma vituko...sasa hebu twambie when he kisses you na sio when shania twain kisses her own..
 
halafu babu wewe? si ndio inatakiwa hivo halafu tunda mpaka harusi? au ni kosa nilifanya?
Yawezekana ulifanya kosa....mwenzio labda alikuwa anataka kuhakiki kama unayo baioloji.....itakuwaje siku ya harusi ndo mnaingia honeymoon unamkuta mwenzio hana baioloji au ana baioloji mbili........ au ukute ana baioloji kama ya punda..........au ukute mtarimbo umelala doro........au ukute ana kibamia kama bamia ya bagamoyo iliyokosa samadi............hatarrr sana hii......bora utest kwanza bana

kama namuona na vimapengo vyake
Na babu na mkongojo wake......panakuwa hapatoshi

Umemstukia mtoto huyu hakuchangamkia tenda eee
Hahahaha....tenda imesepa mtoto analalama..... wamemchukulia wajanja...
 
Unachokonoa mkubwa wewe shauri yako
Rule no 1 says always the boss is right! then they follows several rules..........rule no.6 says if the boss is not right then go to rule no 1.
 
ha ha ha... Gaga nishakujua saizi, na hii yoote ni morning glory umepata...

Thank you dear... At least anakumbuka the kiss ilivyo maana wengine
hawajui ku kiss (most wakaka wanafikiri ukiwa mtaalam kwenye 6 kwa 6 inatosha....lol)
Enways there a people wanajua kukiss bana!

baby, ivi gaga si ndo alisemaga huwa anasmile kwen gari the whole way akienda kazini ikiwa amepata the so called "morning glory" au vipi...
 
baby, ivi gaga si ndo alisemaga huwa anasmile kwen gari the whole way akienda kazini ikiwa amepata the so called "morning glory" au vipi...


Darling thank God someone else remembers...lol
angalia mda alotuma post and connect the dots....
 


...nice! ...wimbo umetulia na msg delivered aisee...pheeewww!
Gaga, ubarikiwe!

quote_icon.png
Originally Posted by Chauro

Somo la usafi wa kinywa linahusu sana kwenye hii post.


Chauro, acha uchuro bana! waturusha stimu ilhali toothpaste, mouthwash, na dental floss zimejaa madukani?


 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom