Wewewewewe!!! Tasia utaalam ni jambo la muhimu sana kwenye sekta hiyo
olalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kina baba mpoooooooooo????????????????? Gaga na Asha leo wameamua kumwaga razi ! na sisi kinababa kama wapo mabingwa wa kupiga makiss hebu njooni hapa nanyi mjishebedue,bahati mbaya hili somo shule ya msingi mimi nililikimbia umande.Halafu wewe ulikuwa wapi siku zote hizi? kweli huu wimbo unani touch sana jaribu kutafuta usikilize,
yaaani kukiss kuna raha yake bana hasa mkikutana wote wataalam
Thanks ushawahi kuusikia huu wimbo aisee ni bonge la songi lina touch moyo sana
Hamna lililo haribika i bliv....lol
mmmmhhhh leo!!Aisee Tasia 1... katika relationship hakuna la muhimu kama SEX
na makolombwezo yake kama kweli mwataka kufurahia mahusiano yenu..
mkikutana mko fit katika SEX na tabia ku blend.... Usipime!!
mmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Hivi Asha hebu niambie,
inakuwaje pale unapokuwa na mume/BF na unajua kabisa huyu kukiss fresh hajui,
lakini unakumbukumbu kabisa kuwa hapo nyuma uliwahi kuwa na good kisser..........
kuna siku akili inakutuma ukapate hiyo flash back?
Asha embu jibu haka kajiswali.
olalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kina baba mpoooooooooo????????????????? Gaga na Asha leo wameamua kumwaga razi ! na sisi kinababa kama wapo mabingwa wa kupiga makiss hebu njooni hapa nanyi mjishebedue,bahati mbaya hili somo shule ya msingi mimi nililikimbia umande.
kumfumfundisha mtu kukiss ni kitu rahisi sana, hana haja ya flash back wala niniHivi Asha hebu niambie,
inakuwaje pale unapokuwa na mume/BF na unajua kabisa huyu kukiss fresh hajui,
lakini unakumbukumbu kabisa kuwa hapo nyuma uliwahi kuwa na good kisser..........
kuna siku akili inakutuma ukapate hiyo flash back?
mmmmhhh leo tusiojua kubusu tutakoma!Aisee Tasia 1... katika relationship hakuna la muhimu kama SEX
na makolombwezo yake kama kweli mwataka kufurahia mahusiano yenu..
mkikutana mko fit katika SEX na tabia ku blend.... Usipime!!
Haya maswali ndo yalinikimbiza for nilinusa...lol..
Naamini katika mapenzi viwango vimetofautiana mkutanapo wawili hata woote
muwe ma Gwiji kiasi gani... ndo maana (watu don't admit this...) but mara nyingi
first trials na mtu usiemfahamu hua failure in most cases.. Siku zisongapo mnasomana
na kufundishana... hata Kiss ikiwa part of that process ingawa hawezi fikia mjuzi...
Hata hivyo Bacha siwezi olewa na mtu hayupo fit, for sex is a very important part of a relation ship...
bora............ha ha ha .... Gaga had some obstacles but all is good now....
Kiss wacha iitwe Kiss, ndo maana waweza kuta una a guy you
would want to kiss na kutosha wala hata msiende another stage...
huu uzi ngoja nikimbie maana nitaharibu...lol
I hope uliamua ku edit hiyo signature kwa heri tu,
lah, kama kuna hatari ilikuwa inakusogelea basi pole mama,
Tunakupenda sana!!!!!!!
unajua bishanga, wakina dada huwa mara nyingi,
wanajiona wao ni good kisser kuliko wanaume,
sijui kwanini huwa wana mtizamo huo!!!!!!
Lakini kiukweli wao ndo huwa wanatuangusha sometimes,
wakina baba twaweza kukiss vizuri endapo
tunakutana na mdada anaejua kujiweka katika mkao ulio sahihi kabisa!!!
Asha ?Gaga naomba msije na hasira hapa..........................
nimechoka kabisa,sisi tuliokulia mgombani haya mambo magumu sana kwetu!Iwe! wagambaki?
kumfumfundisha mtu kukiss ni kitu rahisi sana, hana haja ya flash back wala nini