When You Kiss Me

Wewewewewe!!! Tasia utaalam ni jambo la muhimu sana kwenye sekta hiyo

Ni kweli Gaga,kuna watu wengine lol..
utajuta, anakujazia mimate tu mdomoni huku kakunja sura kweli.........................
 
Halafu wewe ulikuwa wapi siku zote hizi? kweli huu wimbo unani touch sana jaribu kutafuta usikilize,
yaaani kukiss kuna raha yake bana hasa mkikutana wote wataalam
olalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kina baba mpoooooooooo????????????????? Gaga na Asha leo wameamua kumwaga razi ! na sisi kinababa kama wapo mabingwa wa kupiga makiss hebu njooni hapa nanyi mjishebedue,bahati mbaya hili somo shule ya msingi mimi nililikimbia umande.
 
Aisee Tasia 1... katika relationship hakuna la muhimu kama SEX
na makolombwezo yake kama kweli mwataka kufurahia mahusiano yenu..
mkikutana mko fit katika SEX na tabia ku blend.... Usipime!!
mmmmhhhh leo!!
 
mmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1


Hivi Asha hebu niambie,
inakuwaje pale unapokuwa na mume/BF na unajua kabisa huyu kukiss fresh hajui,
lakini unakumbukumbu kabisa kuwa hapo nyuma uliwahi kuwa na good kisser..........
kuna siku akili inakutuma ukapate hiyo flash back?


Haya maswali ndo yalinikimbiza for nilinusa...lol..

Naamini katika mapenzi viwango vimetofautiana mkutanapo wawili hata woote
muwe ma Gwiji kiasi gani... ndo maana (watu don't admit this...) but mara nyingi
first trials na mtu usiemfahamu hua failure in most cases.. Siku zisongapo mnasomana
na kufundishana... hata Kiss ikiwa part of that process ingawa hawezi fikia mjuzi...

Hata hivyo Bacha siwezi olewa na mtu hayupo fit, for sex is a very important part of a relation ship...
 
olalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kina baba mpoooooooooo????????????????? Gaga na Asha leo wameamua kumwaga razi ! na sisi kinababa kama wapo mabingwa wa kupiga makiss hebu njooni hapa nanyi mjishebedue,bahati mbaya hili somo shule ya msingi mimi nililikimbia umande.

unajua bishanga, wakina dada huwa mara nyingi,
wanajiona wao ni good kisser kuliko wanaume,
sijui kwanini huwa wana mtizamo huo!!!!!!
Lakini kiukweli wao ndo huwa wanatuangusha sometimes,
wakina baba twaweza kukiss vizuri endapo
tunakutana na mdada anaejua kujiweka katika mkao ulio sahihi kabisa!!!
Asha ?Gaga naomba msije na hasira hapa..........................
 
Hivi Asha hebu niambie,
inakuwaje pale unapokuwa na mume/BF na unajua kabisa huyu kukiss fresh hajui,
lakini unakumbukumbu kabisa kuwa hapo nyuma uliwahi kuwa na good kisser..........
kuna siku akili inakutuma ukapate hiyo flash back?
kumfumfundisha mtu kukiss ni kitu rahisi sana, hana haja ya flash back wala nini
 
Aisee Tasia 1... katika relationship hakuna la muhimu kama SEX
na makolombwezo yake kama kweli mwataka kufurahia mahusiano yenu..
mkikutana mko fit katika SEX na tabia ku blend.... Usipime!!
mmmmhhh leo tusiojua kubusu tutakoma!
 
Haya maswali ndo yalinikimbiza for nilinusa...lol..

Naamini katika mapenzi viwango vimetofautiana mkutanapo wawili hata woote
muwe ma Gwiji kiasi gani... ndo maana (watu don't admit this...) but mara nyingi
first trials na mtu usiemfahamu hua failure in most cases.. Siku zisongapo mnasomana
na kufundishana... hata Kiss ikiwa part of that process ingawa hawezi fikia mjuzi...

Hata hivyo Bacha siwezi olewa na mtu hayupo fit, for sex is a very important part of a relation ship...


sikatai msimamo wako, naupenda na ninauheshimu!
lakini kama basi hicho ndo kigezo chako katika kuolewa,
Hivi ikitokea kuwa huyo mume/bwana mbele ya safari performance yake ikawa poor,
either kwa matatizo fulani fulani, utafanyaje?utamkimbia au?
kwani ushatuambia hapa kuwa hiyo kitu ndo super glue ya uhusiano wenu....................
 
ha ha ha .... Gaga had some obstacles but all is good now....

Kiss wacha iitwe Kiss, ndo maana waweza kuta una a guy you
would want to kiss na kutosha wala hata msiende another stage...
huu uzi ngoja nikimbie maana nitaharibu...lol
bora............
 
I hope uliamua ku edit hiyo signature kwa heri tu,
lah, kama kuna hatari ilikuwa inakusogelea basi pole mama,
Tunakupenda sana!!!!!!!


ha ha ha Bacha, hio sig ningekua nimebadilisha, nina sig inahusiana na
Budget but inanigomea kua it is too big... sijui hapa ya CPU au Mbu inakuwaje...

Mimi pia nawapenda saaaaaaaana! Nilitaka kuumwa these few weeks...lol..
 
unajua bishanga, wakina dada huwa mara nyingi,
wanajiona wao ni good kisser kuliko wanaume,
sijui kwanini huwa wana mtizamo huo!!!!!!
Lakini kiukweli wao ndo huwa wanatuangusha sometimes,
wakina baba twaweza kukiss vizuri endapo
tunakutana na mdada anaejua kujiweka katika mkao ulio sahihi kabisa!!!
Asha ?Gaga naomba msije na hasira hapa..........................



ha ha ha ... a person who controls a kiss and makes it memorable to me is 70% a mans effort!
 
kumfumfundisha mtu kukiss ni kitu rahisi sana, hana haja ya flash back wala nini

Mmm!hivi ni kweli katika maisha yetu haya halisi,
huwa tunafundishana haya mambo au tunajikuta,
kwamba kila mtu huwa anayafanya kwa jinsi anavyojua yeye,
na tunaona ni sawa!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom