WhatsApp imepata tatizo gani ?

WhatsApp imepata tatizo gani ?

Telegram si adi contact zako nao wawe nayo ndo mna chart au..
Hapana, Telegram hata bila contact za mtu unaweza ku chat naye. Telegram ni bonge la App, wanazungatia sana usalama. Hawana backdoors za kuweza kuruhusu hackers.
Russia baada ya kushindwa ku hack Telegram wakaamua kui piga ban nchini mwao.
 
anko punguza chai telegram imekua founded 6 yrs ago we ume tumia 8 yrs ama una zungumzia telegram zile za vimashine vidogo vya typing kama kwenye moviez za kivita za miaka ya 60's uko!!?
Hivi kuna watu bado mnatumia zwhstsapp hadi hivi sasa?
Anzeni kutumia Telegram, hamtajuta. Nimekuwa naitumia kwa mwala wa nane sasa, haijawahi kuniangusha.
 
anko punguza chai telegram imekua founded 6 yrs ago we ume tumia 8 yrs ama una zungumzia telegram zile za vimashine vidogo vya typing kama kwenye moviez za kivita za miaka ya 60's uko!!?
Usifanye hivyo. Naona jamaa kakomaa kuipa promo.
 
Wenye insta gb na yo whatsup mbna mambo yako fresh kabsa ...kwani mna teseka
naijatwittersavages-20190701-0002.jpeg
 
Back
Top Bottom