Fb na whatsup nilisikia mmiliki ni mmoja.Yeap hadi fb![]()
Ila sasa insta sijui. I thought it was just me.
Fb na whatsup nilisikia mmiliki ni mmoja.Yeap hadi fb![]()
Jamaa kachukua 50% instaFb na whatsup nilisikia mmiliki ni mmoja.
Ila sasa insta sijui. I thought it was just me.
Mac alinunua zote (insta nd whatsp).... Mfano insta ilianza na insta story... Whatsp ikaja na status... Fb ssa iv nayo ina story... Nd on the coming year whatsp itakuwa na ads kwenye status kama insta..Fb na whatsup nilisikia mmiliki ni mmoja.
Ila sasa insta sijui. I thought it was just me.
Basi kuna tatizo mahali.Jamaa kachukua 50% insta
Duuh ameshika kila mahali. Ndiyo tatizo vikifeli vinafeli vyote.Mac alinunua zote (insta nd whatsp).... Mfano insta ilianza na insta story... Whatsp ikaja na status... Fb ssa iv nayo ina story... Nd on the coming year whatsp itakuwa na ads kwenye status kama insta..
Mimi nilishaanza kuulaumu mtandaoBasi kuna tatizo mahali.
Tunatest mitambo ya kuhack kabla ya 2020Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .
Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?




Sisi huku kama kawa mzigo unafanya kazi tunajipimia vile tutakavyo mkuuYeah... But at layman perspective... Labda anatumia sever moja...Duuh ameshika kila mahali. Ndiyo tatizo vikifeli vinafeli vyote.
Mimi nilizima WiFi nikaunga mobile data nikijua labda ndiyo tatizo!Mimi nilishaanza kuulaumu mtandao
Hivi inawezekana ni tatizo kwa leo?
Mie kuna mtu kanitumia ramani WhatsApp imekataa kabisa kufunguka lakini documents za kawaida zinafunguka vizuri
HATAMara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .
Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?
Anatufelisha sana sisi wafanyabiashara.Yeah... But at layman perspective... Labda anatumia sever moja...
nmefanya bado tatizo lipo